Ni kweli kuto kusex miaka mitano kunarudisha bikra kwa mwanamke aliyezaa?

๐Ÿ˜ณ๐Ÿฅด
Yaani umekuwa wa kwanza kumshangaa au? Badala umjibie!! Kwani wewe siyo kungwi? Au ameingizwa mkenge nini?

๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„ Hawa vijana wa dot.com hawa!! Ila hii dunia sasa, kazi kweli kweli๐Ÿƒ๐Ÿƒ๐Ÿƒ๐Ÿƒ
 
Jichangaaanye

Yaani mtu ni Single mother (Ina maana ameshazaa) halafu awe na bikira kisa tu hajashiriki tendo muda mrefu? ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚Labda nazeeka sijui
Nashangaa!! Ingekuwa ni kidonda kweli tungesema kikipona basi panazalisha ngozi mpya au kovu. Lakini naniliu!!!!๐Ÿคฆ
Siijui, tuwasubiri madaktari๐Ÿ™†
 
Mmh hapa umepigwa ndugu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ