Ni kweli kuto kusex miaka mitano kunarudisha bikra kwa mwanamke aliyezaa?

Ni kweli kuto kusex miaka mitano kunarudisha bikra kwa mwanamke aliyezaa?

Sasa zile damu ni za nn??
Damu sio bikraa kijanaa acha upumbavuuuuuu...!! Hata demu akianza period ukimlaa anatokaa na damuuu tena nyingiii.. Bikra haitoi damu nyingi kama unavyosema wew.. kama ulitaka bikra poleee maana umepotea njiaa jumla
 
Sorry but we ni jinga la majinga.

Miaka 5 mara mitatu hivi we unajua mtu anae kula akashiba kinachobaki huwa ni nini?

Acha kumtetea ili kujipa uhalali huyo ni malaya tu!

Anajificha kwenye kichaka cha dini eti ameokoka mara ni mtu wa maombi sana sijui aliambiwa akiomba sana bikira yake itarudi, shenzi sana. Eti akatindika kitenge kakutana na fala 1 kwa nini asitafute namna uingie kwenye 18 zake?

Jitu lilishazaa we nae eti ukijani umekuwa damu nyingi wakati huo kitu haibani ni bwawa we nae unakuja kuomba msaada kujua kama ndo bikira!

Ni hivi umepigwa wewe mtu anakuzidi umri huyo ni mzoefu wa mambo kuliko wewe kimbia hapo haraka sana.
 
Sorry but we ni jinga la majinga.

Miaka 5 mara mitatu hivi we unajua mtu anae kula akashiba kinachobaki huwa ni nini?

Acha kumtetea ili kujipa uhalali huyo ni malaya tu!

Anajificha kwenye kichaka cha dini eti ameokoka mara ni mtu wa maombi sana sijui aliambiwa akiomba sana bikira yake itarudi, shenzi sana. Eti akatindika kitenge kakutana na fala 1 kwa nini asitafute namna uingie kwenye 18 zake?

Jitu lilishazaa we nae eti ukijani umekuwa damu nyingi wakati huo kitu haibani ni bwawa we nae unakuja kuomba msaada kujua kama ndo bikira!

Ni hivi umepigwa wewe mtu anakuzidi umri huyo ni mzoefu wa mambo kuliko wewe kimbia hapo haraka sana.
Mkuu ka tunaogomvi vile
 
Damu sio bikraa kijanaa acha upumbavuuuuuu...!! Hata demu akianza period ukimlaa anatokaa na damuuu tena nyingiii.. Bikra haitoi damu nyingi kama unavyosema wew.. kama ulitaka bikra poleee maana umepotea njiaa jumla
Babuu elewa mi nilitaka kujua technology aliyetumia sio kwamba mi boya kiasi icho
 
Kuhusu Bikra kurudi sijui. Ninachojua ni kuna K mbili nimewahi kukutana nazo hawakuwa bikra ila mashine ilipita kwa tabu sana (ni kibamia😂) yani wale mademu hata baada ya bao la kwanza tulivoanza la pili bado iligoma kuingia mpaka uingize kwa tabu na walikua wanalia
 
Nimekuja kiunyeyekevu kuomba msaada mbona ka tunaugomvi ndugu yangu?? Eb jaribu kuvaa viatu vyangu plzzz
Watu wana machungu ya maisha Mkuu, wakati mwingine jambo kama hili la kiafya bora uwasiliane na Wataalamu wa afya nje ya humu Jamiiforums watu humu wamevurugwa sana Mkuu, mara 100 bora hata uulize ChatGPT unaweza ukapata majibu ya kueleweka
 
Watu wana machungu ya maisha Mkuu, wakati mwingine jambo kama hili la kiafya bora uwasiliane na Wataalamu wa afya nje ya humu Jamiiforums watu humu wamevurugwa sana Mkuu, mara 100 bora hata uulize ChatGPT unaweza ukapata majibu ya kueleweka
Hawa watu wa humu usiwape hisia kikubwa mtu ni kuwachuja tuu na mawazo yao
 
Nimecheka kabla sijasoma....
Bikra ni nini?
 
Back
Top Bottom