To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
🤣🤣🤣nimepaliwa chai mwenzio ujue🤣🤣🙌🏿Kumbe na wewe tapeli 🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣nimepaliwa chai mwenzio ujue🤣🤣🙌🏿Kumbe na wewe tapeli 🤣🤣
🤣🤣🤣Ile kitu ikiliwa tu ndio kwisha
Labda UISHONE afu ukate nyuzi
Ndg waziri wa michezo katutania na wewe unaendeleza utani ,hii nchi imegeuka nchi ya utani utani ,tuwe seriousWasalaam madaktari na wahenga...
Ninaandika uzi huu nikiwa na maswali mengi yakinichanganya akili.
Nina mchumba wangu ni single mother pia amenizidi hadi umri.
Kwanza ameokoka na katika uchumba wetu, aligoma tusifanye mapenzi kabla ya ndoa otherwise hatutafikia hatua ya malengo yetu, nilitika kishingoupande ila sikukubali kwakua wanawake wa mjini ni janja janja saana. Niliendelea kumchombeza mwishoe akajaa akahitaji tu sex.
Alinipa taadhari kwamba ni miaka mitatu hajafanya mapenzi hivo anahisi atakua kama bikra. Nilifurahi kusikia hivo.
Basi siku tunakutana sikuamini alijifanya kuhangaika na kuomba atandike kitenge chake ili asijechafua shuka la hotel, nilianza kuona vitu vya ajibu kama discharge zenye u kijani nikasema ngoja ni stop nijifute, kuja kufuta zikabadilika rangi na kua nyekundu mithili ya damu, kumcheki na yeye kwenye uke kuna damu? Kumuuliza anasema anashangaa hata yeye hajui pengine ni bikra ivo nimemtoa bikra upyaa.🙄🙄🙄
Akaniambia amekua akiskia maumivu nilipokua na muingilia kwakua ni mda mrefu, hata ivo amekua mtu wa maombi saana kiasi ya kwamba mtumishi wake alimwambia anaweza rudisha bikra yake atakama alisha zaa.
Kifupi damu zilitoka nyingi hadi kero lakini chaajabu sijaona ugumu katika kumwingilia, yaani nikama nilikua nafanya mapenzi na mwanamke mzoefu... nikabaki najiuliza je ni bikra fake (maana naskia zipo) au ni mgonjwa??
MADAKTAR mnisaidie sio mgonjwa kweli?? Na ka mgonjwa atakua anaumwa nn?? Na je hajaniambukiza?
Na nikweli bikra ya nyuzi inaweza kurudi ndani ya miezi mitatu?
Makungwi pia nisaidieni hapo?
kuhusu period hakua tarehe za period
natanguliza shukrani🙏
Si ndo atakua kaniwin maana hapa anataka twende hospital na yeye alishaenda boch wamemduibitishia alikua bikrafika naye hosp kwa ushauri zaidi. uzi ufungwe.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣nimepaliwa chai mwenzio ujue🤣🤣🙌🏿
Mzee sitanii ishu nimekutana nayo live.... na kilichonichanganya zaidi ni kuniambia et madaktari wanedhibitisha ni bikra kweliEven akiwa amezaa au ajazaa akishatilewa bikra tu ya kwanza ndio basi sasa huyo hadi katotoa dah ila mleta mada sijui anatania au yuko seriously
Wallah mi sio ndumbaruNdg waziri wa michezo katutania na wewe unaendeleza utani ,hii nchi imegeuka nchi ya utani utani ,tuwe serious
Wanawake wana siri nzito saananakazia mkuu hata mim hii kitu iliwahi nitokea
badae yalimshida akaniambia nilifanya abortion
Nimetoka kumla juzi kwa mara ya kwanza na sitorudia tenaNa bado unam kula
Mama Jayaron ulimuagaNimetoka kumla juzi kwa mara ya kwanza na sitorudia tena
Sasa fala mm au yeye???Huyo mwanamke kakuona fala.si kwelikweli[emoji23][emoji23]
Anyway hongera kwa kutoa bikra
Nishaachana nae ndo mana nahangaikaMama Jayaron ulimuaga
Hapana mkuu ili ni jambo jipya maishani mwangu ndo mana nimesharePole man!
Umeacha kuwaza mitikasi ya Hela unawaza kipigo Cha akili hicho!!
Ushangaike sana ukaukwaaNishaachana nae ndo mana nahangaika
Ndo natafuta wakuntuliza maana mnayokutana nayo ni makubwa mnoooUshangaike sana ukaukwaa
HakikaNdo natafuta wakuntuliza maana mnayokutana nayo ni makubwa mnooo
Wacha wee!!🤣🤣🤣nijulie wapi nami naangaika na bikra yangu