Ni kweli kuwa Diamond anamuogopa King Kiba???

Status
Not open for further replies.

isho_boy

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2015
Posts
2,145
Reaction score
1,892
Je hilo swala ni la kweli kuwa diamond ameanza kuonyesha dalili za kumuogopa alikiba coz ukiangalia hata kwenye tamasha la fiesta alikimbili Nigeria pia kwenye tuzo za eatvaward kama kakimbia ivi coz nomination zimetajwa lkn cjaona jina lake ndo maana najiuliza je ameanza kuwa muoga anapoona dalili za king kuwepo????????

Mapovu yanaruhusiwa
 
Diamond katambua kabisa kuwa endapo ata-be nominated kwenye tuzo hizo huku wadhamini wakiwa Coca Cola na Vodacom Tanzania ambao wote hao Diamond ni Balozi wao,utasikia FIGISU mtaani kuwa kapendelewa kwa sababu ya Ubalozi wake.

Sasa ili kuepusha Zali mwache Kiba agombee mwenyewe.
 
Hiyo hoja yako haina mashiko
 
Kama hii ndii sababu dogo anajitambua na anajua biashara
 
Kama hii ndii sababu dogo anajitambua na anajua biashara
 
Kwani mada si kaanzisha Yeye, Jibu kile kilichopo kwenye mada yake achana na mambo ya kupuyanga
Umeona mkuu.....nilichouliza na alichojibu ni tofauti kabisa so kama ingekuwa mtihani ana 0.005%
 
Use your common sense ,alikiba anafanya showw jukwani watu wanaita simba smba simba ........ Kwa maana hiyo angekuwepo watu wangemzomea sana kiba fiesta team wanaakili walipo ona jamaa kapata promo wakamwachia vilevile kule kulikuwa na hela nyingi zaid ya fieasta kwa kheri ubuyuu
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…