Ni kweli kuwa Mbowe aliondoa ukomo wa uongozi kwenye katiba ya CHADEMA kwa hila?

Ni kweli kuwa Mbowe aliondoa ukomo wa uongozi kwenye katiba ya CHADEMA kwa hila?

Sawa, na ni kweli kabisa..

Sawa, na ni kweli kabisa...

Ni kweli mabadiliko hayo yalifanyika

Una uhakika?....... Wewe na wenzako thibitisheni hili...

Three facts za kukujulisha kuwa hizi ni propaganda za kijinga kutoka kwa wajinga:

1. Ina maana Freeman Mbowe alifanya kikao kingine na kuondoa kipengere hicho?

2. Au alikuwa anachapa (kuichapicha) yeye hiyo katiba na kisha Kwa makusudi akaacha kukichapa kipengere hicho?

3. Je, ina maana toka wakati huo (yaani mwaka 2006 yalipofanyika mabadiliko hayo) hakujawahi kufanyika kikao kama hicho chenye mamlaka ya kufanya mabadiliko ya katiba na ili nyie wajumbe muhoji hiki unacho kihoji wewe leo na wajinga wenzako?

4. Je, si kweli kuwa mambo hayo huhojiwa kwenye vikao rasmi? Kama ulihoji ulijibiwaje? Kwanini unaleta umbea hapa?

Baada ya maelezo hayo hapo juu, wewe unaonaje? Ni kweli au ni ujinga na upumbavu wa wachache tu?

Labda na wewe u miongoni mwao..!!
Pengine ndiyo maana kuna watu wanawaita nyumbu.
 
Namaanisha haikua deal yaani Kama chauma,mwenye chauma akibadili Katiba nani atahamaki!?
Bado hujanielewa; haikuwa deal kwa nani? wanachama? Ok.

Hata kama haikuwa deal kwa wanachama, then kwanini wajumbe wa mikutano yao nao wasiulizie hilo suala kwenye vikao vyao?
 
Tunapopambania katiba mpya kuimarisha demokrasia lazima tuanze kwenye vyama vyetu hilo la chadema ni doa sio kwa ngazi ya mwenyekiti tu bali nafasi karibu zote ni walewale miaka yote.mabadiliko ya viongozi ni muhimu sana kuleta maendeleo ya vyama
 
Kumbe hata ww hujui ?? Basi achana na mambo ya kijiweni mkuu... Baraza kuu la chadema ndo lilipitisha kuondolewa kwa hicho kifungu, na sababu za kuondolewa hicho kifungu ilikuwa ni kutokana na uhaba wa wanachama wanaoweza kuwa viongozi shupavu ...kumbuka sio kila mwanachama anaweza kuwa kiongozi, Bali kila raia anaweza kuwa mwanachama ... kwahiyo hao wanaosema hivyo kwanza sio wanachadema , wanachadema wanajua fika kwnn hicho kipengele kiliondolewa
Mpaka leo hakuna kiongozi shupavu ambaye anaweza kuwa mwenyekiti pale Chadema?
 
Hatuna MAJI wala UMEME hapa home Ukonga sababu Mbowe alibadili katiba na kuwa Mwenyekiti wa kudumu CDM?

CCM wakiona tunajadili mambo kama haya na kuacha kuwa hold accountable kwa huu uchumi mbovu,huwa wanatucheka sana
Wakati mnataka katiba nzur ya nchi basi tengenezen katiba njema ya vikundi vyema.
 
Nimeona hii habari huko Twitter. Inasema kuwa Mbowe alikuwa mwenyekiti wa CDM mwaka 2004. Wakati huo katiba ya chama ilikuwa imezungumza kuwa kutakuwa na ukomo wa miaka kumi kwa mwenyekiti.
Ni kweli Mbowe alipoingia kuwa Mwenyekiti wa Chadema, katiba ya Chadema ilikuwa na ukomo wa uongozi mwisho ni vipindi 2 vya miaka 5 jumla ni miaka 10.
Mwaka 2006 yalifanyika mabadiliko ya katiba. Lakini suala la ukomo wa uongozi halikuzungumzwa kwenye mkutano.
Ni kweli 2006 Chadema walifanya mabadiliko ya katiba na ni kweli kipengele hicho hakikujadiliwa.
Inasema kuwa katiba ilipoendwa kuchapwa, Mbowe akaondoa kipengele cha ukomo wa uongozi kinyemela. Hii ndiyo hadi leo mwaka wa 20 bado ni mwenyekiti.

Madai haya yanaukweli wowote?
Ni kweli katiba ilipoenda kuchapwa, hicho kipengele hakikuwepo, kiliyeyuka ila aliyekiyeyusha sio lazima awe ni Mbowe.

Hili jambo tuliisha lijadili humu kwa kirefu, Tuhuma Hii: CHADEMA kendeshwa kwa Katiba "Fake" ikithibitishwa, CHADEMA inaweza kufutwa
Dr. Slaa alikuwa KM na alichangia Tuhuma Hii: CHADEMA kendeshwa kwa Katiba "Fake" ikithibitishwa, CHADEMA inaweza kufutwa

na JJ Mnyika akiwa Mkurugenzi wa Habari wa Chadema pia alichangia Tuhuma Hii: CHADEMA kendeshwa kwa Katiba "Fake" ikithibitishwa, CHADEMA inaweza kufutwa
Nyuzi nyingine zinazohisiana na hili ni hizi Hatma ya Freeman Mbowe CHADEMA Elections 2015 - CHADEMA ikipewa Nchi, Oktoba 2015, Hakuna Hatari Kugeuka Utawala wa Kidikteta? Nauliza Tuu! ila juzi kati hapa hili jambo Lissu kalifafanua vizuri kabisa Tundu Lissu kama JPM, ni mtu mkweli. Asema ukweli jinsi ukomo wa uongozi ulivyoyeyuka CHADEMA

P
 
Ni kweli Mbowe alipoingia kuwa Mwenyekiti wa Chadema, katiba ya Chadema ilikuwa na ukomo wa uongozi mwisho ni vipindi 2 vya miaka 5 jumla ni miaka 10.

Ni kweli 2006 Chadema walifanya mabadiliko ya katiba na ni kweli kipengele hicho hakikujadiliwa.

Ni kweli katiba ilipoenda kuchapwa, hicho kipengele hakikuwepo, kiliyeyuka ila aliyekiyeyusha sio lazima awe ni Mbowe.

Hili jambo tuliisha lijadili humu kwa kirefu, Tuhuma Hii: CHADEMA kendeshwa kwa Katiba "Fake" ikithibitishwa, CHADEMA inaweza kufutwa
Dr. Slaa alikuwa KM na alichangia Tuhuma Hii: CHADEMA kendeshwa kwa Katiba "Fake" ikithibitishwa, CHADEMA inaweza kufutwa

na JJ Mnyika akiwa Mkurugenzi wa Habari wa Chadema pia alichangia Tuhuma Hii: CHADEMA kendeshwa kwa Katiba "Fake" ikithibitishwa, CHADEMA inaweza kufutwa
P
wewe ni legend
 
Nimeona hii habari huko Twitter. Inasema kuwa Mbowe alikuwa mwenyekiti wa CDM mwaka 2004. Wakati huo katiba ya chama ilikuwa imezungumza kuwa kutakuwa na ukomo wa miaka kumi kwa mwenyekiti. Mwaka 2006 yalifanyika mabadiliko ya katiba. Lakini suala la ukomo wa uongozi halikuzungumzwa kwenye mkutano. Inasema kuwa katiba ilipoendwa kuchapwa, Mbowe akaondoa kipengele cha ukomo wa uongozi kinyemela. Hii ndiyo hadi leo mwaka wa 20 bado ni mwenyekiti.

Madai haya yanaukweli wowote?
Kwanini usiulize kuwa ni kweli MAGUFULI aliagiza Tundu lussu Auawe?
 
Back
Top Bottom