There is a reason why wanawake mmewekewa seal huko chini, chungeni sana hilo.Bwana Yesu apewe sifa.
Kuna sehem nimesoma kua kama mwanamke ameshatumika sana na wanaume. Ikitokea ameolewa basi hataweza tulia kwenye ndoa yake kabisa.
Mshkaji anasema sababu ni wanaume ambao huyo mwanamke atakua katana nao watakua wameshamtumia kwa njia zote wanazojua wao, wameshamhonga, kumtumia nauli za kutosha.
Eti kaka zangu ambao mko single nyie mnasemaje kuhusu hili?😁😁
Na wadogo na dada zangu pia mnasemaje kuhusu hili?😜
Hakikisha only mwenye mali ndo anatoa hiyo seal otherwise utakuwa jamvi la wageni, mafikio ya kila ajae na wote wanalicha hapo hapo likizidi kuchakaa siku hadi siku.