NI kweli kuwa mwanamke aliyekuwa na mahusiano mengi hawezi kutulia akiolewa?

There is a reason why wanawake mmewekewa seal huko chini, chungeni sana hilo.

Hakikisha only mwenye mali ndo anatoa hiyo seal otherwise utakuwa jamvi la wageni, mafikio ya kila ajae na wote wanalicha hapo hapo likizidi kuchakaa siku hadi siku.
 
Kabla ya kufikiria kumuoa mwanamke wa hivyo ni vizuri mwanaume kujiuliza swali, Je ni sahihi mwanaume kuoa mwanamke malaya? why?
 
Binafsi naamini ni kheri mwanaume akaishi bila kuoa kuliko kuoa mwanamke malaya, na umalaya wa mwanamke tunaupima kuanzia kwenye background yake, mwache mwanamke awe huru kwenye maamuzi yake ili kesho nawe uwe huru kumuhukumu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…