Ni kweli kuwa Polisi hamvitambui vijiwe vya wavuta bangi mitaani au makusudi?

Ni kweli kuwa Polisi hamvitambui vijiwe vya wavuta bangi mitaani au makusudi?

Nikifa MkeWangu Asiolewe

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2024
Posts
6,944
Reaction score
14,351
Kuna mambo mengine yanachekesha sana na kutafakarisha sana imagine mjini kuna vijwe vya wavuta bangi lukuki tena karibia kila mtaa na vina fahamika. Ajabu ni kwamba kuna baadhi ya police wanaishi maeneo hayohayo wanapita wanaona na hawajari.

Kuna mahali tulipita na jamaa tukakuta shina la bangi kubwa kimo cha mtu na lina picha ya luck Dube imening'inizwa pale.

Huwa na jiuliza police hamuoni hivyo vijiwe au ni makusudi tu na hamna habari?

Mimi nijuavyo bangi kuizuia ni ngumu sana kwani WANA ni wengi mno vigogo kwa vidagaa yaani kuanzia msingi hadi paa WANA ni wengi mno sema wanavuta kwa kujificha.

Kuna ulazima gani wa kuizuia bangi kulimwa ili hali kuvutwa inavutwa peupe kabisa...Humu tumepiga kelele sana kuwa bangi iruhusiwe.Maana kuthibiti mmeshindwa mimi tangu najitambua hadi nimekua mtu mzima bangi ni haramu lakini wavutaji ni wengi kuliko wavuta tumbuku hili nina uhakika nao.

Ni ngumu sana kumkuta kijana anavuta sigara ya tumbaku ila ni rahisi sana kijana hiyo kumbaini ana vuta msuba..

Vijiwe vingi vya wavuta bangi vinavyoogopwa mara nyingi sio bagi tu inavutwa hapo mara nyingi bangi kama mlainisho lakini vijiwe vingi wanatumia unga.

Bangi ni sawa na SACRAMENT ya marasta
 
Police ndo wazee kuchukua mgao kutoka kwa vibaka

Ukimpeleka kibaka police ni sawa sawa na kujisumbua tu

Baada ya dakika tano anaachiwa ana Anza kukutisha tena

Kwa kifupi vibaka hushilikiana na police kufanya uhalifu ndo maana uhalifu hauwezi kuisha nchii hii
 
Police ndo wazee kuchukua mgao kutoka kwa vibaka

Ukimpeleka kibaka police ni sawa sawa na kujisumbua tu

Baada ya dakika tano anaachiwa ana Anza kukutisha tena

Kwa kifupi vibaka hushilikiana na police kufanya uhalifu ndo maana uhalifu hauwezi kuisha nchii hii
Daaah hii kodi nilikuwa siijui ndio maana vibaka maalufu huwa na viburi sana
 
Kwa uelewa wangu naona polisi wanavitambua vizuri sana.

Wanashughulika zaidi na vijiwe hatarishi Kwa usalama wa raia mfano vijiwe wanavyo kaba, kubaka n.k

Nimesema hivyo kwasababu uvutaji bangi ni addiction hivyo basi sio Kila mvuta bangi ni mtu mbaya na sio Kila kijiwe Cha wavuta bangi ni hatari, wengine wanakutana tu kwaajiri ya kuvuta na hawa hatarishi maisha ya raia.

Ndomaana serikali inawasaidia waraibu wa dawa za kulevya kupitia DCEA na METHADONE.

HAYO NI MAWAZO YANGU.
 
Kwa uelewa wangu naona polisi wanavitambua vizuri sana.

Wanashughulika zaidi na vijiwe hatarishi Kwa usalama wa raia mfano vijiwe wanavyo kaba, kubaka n.k

Nimesema hivyo kwasababu uvutaji bangi ni addiction hivyo basi sio Kila mvuta bangi ni mtu mbaya na sio Kila kijiwe Cha wavuta bangi ni hatari, wengine wanakutana tu kwaajiri ya kuvuta na hawa hatarishi maisha ya raia.

Ndomaana serikali inawasaidia waraibu wa dawa za kulevya kupitia DCEA na METHADONE.

HAYO NI MAWAZO YANGU.
Nikweli na % kubwa ya wavuta bangi sio vibaka. kibaka walio wengi kama sio wote wanatumia unga na ukiona kijiweni ni hatari basi unga pale hukoswi
 
Kuna mambo mengine yanachekesha sana na kutafakarisha sana imagine mjini kuna vijwe vya wavuta bangi lukuki tena karibia kila mtaa na vina fahamika. Ajabu ni kwamba kuna baadhi ya police wanaishi maeneo hayohayo wanapita wanaona na hawajari.

Kuna mahali tulipita na jamaa tukakuta shina la bangi kubwa kimo cha mtu na lina picha ya luck Dube imening'inizwa pale.

Huwa na jiuliza police hamuoni hivyo vijiwe au ni makusudi tu na hamna habari?

Mimi nijuavyo bangi kuizuia ni ngumu sana kwani WANA ni wengi mno vigogo kwa vidagaa yaani kuanzia msingi hadi paa WANA ni wengi mno sema wanavuta kwa kujificha.

Kuna ulazima gani wa kuizuia bangi kulimwa ili hali kuvutwa inavutwa peupe kabisa...Humu tumepiga kelele sana kuwa bangi iruhusiwe.Maana kuthibiti mmeshindwa mimi tangu najitambua hadi nimekua mtu mzima bangi ni haramu lakini wavutaji ni wengi kuliko wavuta tumbuku hili nina uhakika nao.

Ni ngumu sana kumkuta kijana anavuta sigara ya tumbaku ila ni rahisi sana kijana hiyo kumbaini ana vuta msuba..

Vijiwe vingi vya wavuta bangi vinavyoogopwa mara nyingi sio bagi tu inavutwa hapo mara nyingi bangi kama mlainisho lakini vijiwe vingi wanatumia unga.

Bangi ni sawa na SACRAMENT ya marasta
Wavuta bangi sio threat kwa watawala ila jumuia kama neto ndio huwafanya watawala wasilale kwani huamsha mbumbu wengi waliolala kama akina lucas,Tlaatlaah, chiembe na chawa wengine wanaoshinda kwenye coridor za lumumba kusubiri mzee wasi ajisaidie wao wakatupe pampas jalalani
 
Back
Top Bottom