Dabil
JF-Expert Member
- Sep 30, 2021
- 6,823
- 15,293
Sidhani kama kuna polisi asiyetaka rushwa labda wenye vyeo vikubwa,ila hawa tunaopishana nao wanaishi kwa rushwa na magendoHalafu hii ni police wote tz nzima sijuwi huwa wanavikao wanaambiana na imedumu kwa sana