Nikifa MkeWangu Asiolewe
JF-Expert Member
- Feb 26, 2024
- 6,944
- 14,351
- Thread starter
- #41
Hii uhakika asee.Hakuna haja ya kufukazana na wakulima wa bangiBangi ihalalishwe kuweza kutumika, Ila iruhusiwe aina hii tu, nasimama na Tuntemeke wa Iringa
Mrembo anakiwashaa hapa tuendelee kuburudikaawww.jamiiforums.com