Sidhani kama kuna polisi asiyetaka rushwa labda wenye vyeo vikubwa,ila hawa tunaopishana nao wanaishi kwa rushwa na magendoHalafu hii ni police wote tz nzima sijuwi huwa wanavikao wanaambiana na imedumu kwa sana
Nani wa kuacha pesa? HAKUNA.Sidhani kama kuna polisi asiyetaka rushwa labda wenye vyeo vikubwa,ila hawa tunaopishana nao wanaishi kwa rushwa na magendo
Jumuiya ya NETO ina usajili Mwayego ?!!Wavuta bangi sio threat kwa watawala ila jumuia kama neto ndio huwafanya watawala wasilale kwani huamsha mbumbu wengi waliolala kama akina lucas,Tlaatlaah, chiembe na chawa wengine wanaoshinda kwenye coridor za lumumba kusubiri mzee wasi ajisaidie wao wakatupe pampas jalalani
Peleken maoni huko juu bangi iwe rasmiTunavijua na sisi huwa tunavuta
Mvuta bangi hana madhara yoyoye Bali wala ungaTuna rumande za kuwajaza hao wavuta bhange ?!!
Tuna magereza ya vyuo vya "mafunzo" ya kuweza kuwaweka na kuwalisha hao wavuta bhange mpaka mwisho wa vifungo vyao ?!!!
Kama tuko vizuri basi tujiandae MAHAKIMU WETU kuendesha hizo kesi za mibangi tu na magereza zijae hao VISOI WAPULIZAJI.......
Uko sahihiSidhani kama kuna polisi asiyetaka rushwa labda wenye vyeo vikubwa,ila hawa tunaopishana nao wanaishi kwa rushwa na magendo
...anayoMvuta bangi hana madhara yoyoye Bali wala unga
Green guard ina usajiliJumuiya ya NETO ina usajili Mwayego ?!!
Ilikuwa nayo....imeshafutwa....imebaki UVCCM tu,sawa ?!!Green guard ina usajili
Allstar zimeanikwa juu ya nyaya za umeme....Hata hapo chini hawaoni?Kuna mambo mengine yanachekesha sana na kutafakarisha sana imagine mjini kuna vijwe vya wavuta bangi lukuki tena karibia kila mtaa na vina fahamika. Ajabu ni kwamba kuna baadhi ya police wanaishi maeneo hayohayo wanapita wanaona na hawajari.
Kuna mahali tulipita na jamaa tukakuta shina la bangi kubwa kimo cha mtu na lina picha ya luck Dube imening'inizwa pale.
Huwa na jiuliza police hamuoni hivyo vijiwe au ni makusudi tu na hamna habari?
Mimi nijuavyo bangi kuizuia ni ngumu sana kwani WANA ni wengi mno vigogo kwa vidagaa yaani kuanzia msingi hadi paa WANA ni wengi mno sema wanavuta kwa kujificha.
Kuna ulazima gani wa kuizuia bangi kulimwa ili hali kuvutwa inavutwa peupe kabisa...Humu tumepiga kelele sana kuwa bangi iruhusiwe.Maana kuthibiti mmeshindwa mimi tangu najitambua hadi nimekua mtu mzima bangi ni haramu lakini wavutaji ni wengi kuliko wavuta tumbuku hili nina uhakika nao.
Ni ngumu sana kumkuta kijana anavuta sigara ya tumbaku ila ni rahisi sana kijana hiyo kumbaini ana vuta msuba..
Vijiwe vingi vya wavuta bangi vinavyoogopwa mara nyingi sio bagi tu inavutwa hapo mara nyingi bangi kama mlainisho lakini vijiwe vingi wanatumia unga.
Bangi ni sawa na SACRAMENT ya marasta
Una uhakika imefutwa?Ilikuwa nayo....imeshafutwa....imebaki UVCCM tu,sawa ?!!
It means drug shipment is here.
Ndio...hatutambuliwi tena....imebaki UVCCM......Sawa ?Una uhakika imefutwa?
Kuna mambo mengine yanachekesha sana na kutafakarisha sana imagine mjini kuna vijwe vya wavuta bangi lukuki tena karibia kila mtaa na vina fahamika. Ajabu ni kwamba kuna baadhi ya police wanaishi maeneo hayohayo wanapita wanaona na hawajari.
Kuna mahali tulipita na jamaa tukakuta shina la bangi kubwa kimo cha mtu na lina picha ya luck Dube imening'inizwa pale.
Huwa na jiuliza police hamuoni hivyo vijiwe au ni makusudi tu na hamna habari?
Mimi nijuavyo bangi kuizuia ni ngumu sana kwani WANA ni wengi mno vigogo kwa vidagaa yaani kuanzia msingi hadi paa WANA ni wengi mno sema wanavuta kwa kujificha.
Kuna ulazima gani wa kuizuia bangi kulimwa ili hali kuvutwa inavutwa peupe kabisa...Humu tumepiga kelele sana kuwa bangi iruhusiwe.Maana kuthibiti mmeshindwa mimi tangu najitambua hadi nimekua mtu mzima bangi ni haramu lakini wavutaji ni wengi kuliko wavuta tumbuku hili nina uhakika nao.
Ni ngumu sana kumkuta kijana anavuta sigara ya tumbaku ila ni rahisi sana kijana hiyo kumbaini ana vuta msuba..
Vijiwe vingi vya wavuta bangi vinavyoogopwa mara nyingi sio bagi tu inavutwa hapo mara nyingi bangi kama mlainisho lakini vijiwe vingi wanatumia unga.
Bangi ni sawa na SACRAMENT ya marasta
Hahahaaa kumbe nachat na greenguardNdio...hatutambuliwi tena....imebaki UVCCM......Sawa ?
Wanajua sana sema wanawaacha vijana waliongezee taifa kipato kupitia GREEN ECONOMYKuna mambo mengine yanachekesha sana na kutafakarisha sana imagine mjini kuna vijwe vya wavuta bangi lukuki tena karibia kila mtaa na vina fahamika. Ajabu ni kwamba kuna baadhi ya police wanaishi maeneo hayohayo wanapita wanaona na hawajari.
Kuna mahali tulipita na jamaa tukakuta shina la bangi kubwa kimo cha mtu na lina picha ya luck Dube imening'inizwa pale.
Huwa na jiuliza police hamuoni hivyo vijiwe au ni makusudi tu na hamna habari?
Mimi nijuavyo bangi kuizuia ni ngumu sana kwani WANA ni wengi mno vigogo kwa vidagaa yaani kuanzia msingi hadi paa WANA ni wengi mno sema wanavuta kwa kujificha.
Kuna ulazima gani wa kuizuia bangi kulimwa ili hali kuvutwa inavutwa peupe kabisa...Humu tumepiga kelele sana kuwa bangi iruhusiwe.Maana kuthibiti mmeshindwa mimi tangu najitambua hadi nimekua mtu mzima bangi ni haramu lakini wavutaji ni wengi kuliko wavuta tumbuku hili nina uhakika nao.
Ni ngumu sana kumkuta kijana anavuta sigara ya tumbaku ila ni rahisi sana kijana hiyo kumbaini ana vuta msuba..
Vijiwe vingi vya wavuta bangi vinavyoogopwa mara nyingi sio bagi tu inavutwa hapo mara nyingi bangi kama mlainisho lakini vijiwe vingi wanatumia unga.
Bangi ni sawa na SACRAMENT ya marasta
Ndio maana nakwambia haiko tena ,umeelewa sasa ?!!Hahahaaa kumbe nachat na greenguard