Ni kweli kuwa watu wote walioko kwenye ndoa au waliooana wanapendana?

Ni kweli kuwa watu wote walioko kwenye ndoa au waliooana wanapendana?

3. Kupika - msichana kila mkipanga date anakupa/anaomba offer ya kula nje, huwezi jua kama anaweza kupika au la. Na kwa kuwa mapenzi yako fire fire wala mwanaume hawezi kushituka kulazimisha kwamba anataka kula chakula kilichopikwa na mpenziwe. Na kama msichana ni mtoto wa geti kali, ukianza kumwambia kupika unahisi mtapoteza muda zaidi badala ya kuendelea na yale mambo mengine ya chumbani ama kukaa pamoja mkipiga stori.


Keil....mie wakakti naanzana na shem wako yeye alikuwa anaishi arusha mie moshi, wakakti huo kila wkeend nina semina arusha...lol, kupika lilikuwa jaribio langu la kwnza, nikiwa kwake hakuna cku tutasema tunaenda kula hotel/nyama choma bar...nope, tutakula home tunaenda kunywa bar!...huo mtihani nilifanikiwa kwa asilimia 100, sasa baadhi ya wadada wa cku hizi wao ni ooh tupitie cjui steers, cjui best bite hakuna walijualo...
 
Hapo kwenye blue sikuwa nimeona kitu, wewe umeonaje au umeongeza mwenyewe??

Kuna mambo watu wanaandika hapa lakini ukweli uko pale pale,... ni vigumu kujihakikishia kuwa huyu mtu ndo Mr au Mrs right wangu. Kuna element kubwa sana ya kamari katika ndoa. Wale wanaoishia kuliwa na kuumia basi tuwafariji na kuwapa pole.
Sawa kabisa kamanda. Ndoa ni ndoano.

Ndio maana waliokuwemo wanataka kutoka na wasiokuwemo wanataka kuingia.

Ila kiukweli kama unaoa/onaolewa na mtu Usiyempenda. Hiyo ndoa haitakaa idumu kwa sababu Upendo huvumilia yote, hata yale yajitokezayo ndani ya ndoa. Bila kumpenda mtu, huwezi kumvumilia katika yale unayoyaona ni kikwazo kwako. Kwangu mimi naamini ndoa zote zilizodumu ni kwasababu wanandoa WANAPENDANA.
 
tatizo cku hizi ni mpaka wakaka wapate cjui mdada mwenye kukaribia kurusha ndege, cjui manager mahali, mtoto wa mjini anaejua viwanja vyote, ndio mana ndoa zipo zipo tu, hawataki wadada descent wanataka hao machakaramu anaemkuta na kila kitu na kazi ya mcmamo hana na hujiulizi amewezaje miliki vitu hivi kwa shughuli ndogo aliyonayo.

Ur right my dear!U nailed it.Hivi ulisomea shule maalumu(special school?)
 
chrispin ...........wanawake hata wakisema wanakupenda jua hiyo si sababu pekee ya kukubali/kutaka kuolewa na wewe

weshapiga hesababu nyengine hapo ................na mara nyingi influence ya wazee au jamii inaingia.

kuna wengine wanakataa kuolewa na fulani kwa sababu mama mdogo wake ameolewa kwenye ukoo huo huo ( hapa anaogopa ghadhabu za jamii tu ingelikuwa hili halipo angeolewa)
kuna wengine hawezi kuolewa na mtoto wa baba mkubwa ( kwa kuhofia jamii/ wazee ...........japo wanapendana)
mwengine ataolewa na mtu ambae jamii yake haimkubali lakini kwa kuwa anauhakika na security yake anakubali ( mapenzi + security hapa yanashika hatamu)

nitamalizia kwa kusema ................wanawake wanaolewa kwa Mapenzi tu (bila ya kufikiria faida nyengine ni wachache mno)
Hapo si unakubaliana na mimi kuwa hicho ndicho kinachosababisha ndoa nyingi kuvunjika?
 
chrispin ...........wanawake hata wakisema wanakupenda jua hiyo si sababu pekee ya kukubali/kutaka kuolewa na wewe

weshapiga hesababu nyengine hapo ................na mara nyingi influence ya wazee au jamii inaingia.

kuna wengine wanakataa kuolewa na fulani kwa sababu mama mdogo wake ameolewa kwenye ukoo huo huo ( hapa anaogopa ghadhabu za jamii tu ingelikuwa hili halipo angeolewa)
kuna wengine hawezi kuolewa na mtoto wa baba mkubwa ( kwa kuhofia jamii/ wazee ...........japo wanapendana)
mwengine ataolewa na mtu ambae jamii yake haimkubali lakini kwa kuwa anauhakika na security yake anakubali ( mapenzi + security hapa yanashika hatamu)

nitamalizia kwa kusema ................wanawake wanaolewa kwa Mapenzi tu (bila ya kufikiria faida nyengine ni wachache mno)

Can you say this again?
 
Hahahahaha! Haya bana, ila kitafika kipindi utagundua huu upupu naouandika huku kimasihara kuwa ni UKWELI tena UKWELI MTUPU. Time will tell.

Hahahahahaaaa. Itabidi twendwe PM kidogo.Tusijetoa siri za ndani........
 
Sawa kabisa kamanda. Ndoa ni ndoano.

Ndio maana waliokuwemo wanataka kutoka na wasiokuwemo wanataka kuingia.

Ila kiukweli kama unaoa/onaolewa na mtu Usiyempenda. Hiyo ndoa haitakaa idumu kwa sababu Upendo huvumilia yote, hata yale yajitokezayo ndani ya ndoa. Bila kumpenda mtu, huwezi kumvumilia katika yale unayoyaona ni kikwazo kwako. Kwangu mimi naamini ndoa zote zilizodumu ni kwasababu wanandoa WANAPENDANA.

Hiyo ni kweli, lakini walianza kupendana lini? Kabla au baada ya kuingia jela (kwenye ndoa)?.

Unanikumbusha kitu kinaitwa "marriage triangle" ambayo inajumuisha, LOVE, SEX (one body) na LEAVING (kuachana na baba na mama na kuishi na mume/mke). Je kwenye ndoa kipi kinatangulia (what is is the enty point)? Does it matter?
 
Marriage is not living with the person u luv, but living with the person you cant live without.
 
hapo sasa kidogo inakuwa ngumu kujibu kwa sababu ukitizama enzi za wazee wetu, pointi ya mapenzi haikuwepo kabisa (wengi wao waliolewa na watu ambao walijuana baada ya kuoana) na kutimiza wajibu kwa wazee na jamii ndio ilikuwa pointi muhimu sana. Licha ya hivyo ndoa tuliona kuwa zilidumu.

sasa hapa ama kuna mawili..........(au matatu)

1. kuwa wazee nao hawakutaka kuwa kwenye ndoa hizi na zingevunjika lakini hawakuwa na guts za kutosha ( labda nguvu za wazee na jamii ziliwazidi nguvu mno na kuachwa waliona kuwa aibu) lakini wanawake wa sasa hawaoni tabu wanavunja ndoa

2. kuolewa kwa ajili ya kuridhisha jamii PLUS kujiridhisha kwa kuchagua unaempenda sio sababu inayopelekea kuvunjika kwa ndoa.

3. Ndoa ambazo watu walioanana kwa Mapenzi TU naweza kusema sizijui kwa hiyo siwezi jua zinadumu kwa kiasi gani ( yaani hapa wamependana lakini wazee wamepinga na jamii ikawachukia)
 
Hiyo ni kweli, lakini walianza kupendana lini? Kabla au baada ya kuingia jela (kwenye ndoa)?.

Unanikumbusha kitu kinaitwa "marriage triangle" ambayo inajumuisha, LOVE, SEX (one body) na LEAVING (kuachana na baba na mama na kuishi na mume/mke). Je kwenye ndoa kipi kinatangulia (what is is the enty point)? Does it matter?
LOVE comes first!!!
 
Ur right my dear!U nailed it.Hivi ulisomea shule maalumu(special school?)


dearest, niliingia kwenye game bila kujua maana halic ya game, niliwahi kuingia kwenye game nikidhani ninavyompenda ndio maisha yote yatakuwa tambarare kama tulivyokuwa, ckuweka kichwani mambo ya familia mbili kuungana yaani niliingia ingia tu, imenifunza mambo mengi sana, pamoja na ya jamii inayonizunguka, bac nimejifunza mambo mengi, na mistakes wanazofanya ndugu, jamaa na marafiki ahh bac nikajua huu ulimwengu sio kama nilivyoujua mwanzoni.
 
Chrispin ...........wewe unazungumzia mtu kuolewa na mtu ASIYEMPENDA lakini akaridhisha jamii tu?! mimi nazungumzia mtu kuolewa na mtu ANAEMPENDA lakini akaridhisha na jamii pia.

hiyo ndio hoja yangu tokea mwanzo ..............kuwa mapenzi bila sababu nyengine pia hayapo kiuhalisia kwa wanawake karibia wote

sababu za ziada kwa wengi ni dini, wazazi, jamii, security, status............even money
 
Chrispin ...........wewe unazungumzia mtu kuolewa na mtu ASIYEMPENDA lakini akaridhisha jamii tu?! mimi nazungumzia mtu kuolewa na mtu ANAEMPENDA lakini akaridhisha na jamii pia.

hiyo ndio hoja yangu tokea mwanzo ..............kuwa mapenzi bila sababu nyengine pia hayapo kiuhalisia kwa wanawake karibia wote

sababu za ziada kwa wengi ni dini, wazazi, jamii, security, status............even money

Kwani hakuna watu ambao hizo sababu za ziada zinakuwa na uzito kuliko mapenzi?
 
Kweli ila hiyo ndo halisi kwa watu tulio wengi au nadharia (ideal Vs. reality)? Binafsi nilianzia kwenye sex, then love kabla ya kujivisha kitanzi.

wanaume wengi huwa wanaanzia hapo, kwa sisi wanawake asilimia kubwa tunaanzia na love.
 
Chrispin na wewe ulioa kwa sababu ya nini?
Teamo Je ?
Na wewe bana, haya soma hapa chini nilishasema mbona.

Kabla sijamuoa huyu mama matesha wangu nilikuwa na mpenzi wangu niliyekuwa nampenda sana. Ki ukweli tulipendana sana. Na tuliachana bila kujua kimetokea nini. Niliumia sana, nilitaabika sana. Sikuwa nahitaji kuwa na uhusiano na mwanamke mwingine awaye yote. Nilitamani kuwa padre.

Mpaka alipotokea huyu rafiki yake nu huyo mpenzi wangu wa zamani. Alikuwa ananionea huruma sana, alikuwa ananifariji na kunipa moyo. (Tulipoachana na mpenzi wangu, mpenzi wangu huyo alitokomea kubeba mabox na mpaka leo hajarudi -RIP kama ameshakufa). Huyu rafiki yake ndio huyu mama matesha wangu.

Nadiriki kusema nashukuru niliachana na mpenzi wangu yule wa zamani kwa kuwa huyu mke wangu wa sasa ndio ulikuwa mpango wa Mungu awe mke wangu. She is beautiful, loving and caring. Sitajuta kuonana naye (sijawahi kujuta miaka yote 15 ya kufahamiana toka urafiki, upenzi, uchumba mpaka ndoa.

Hivi thread inasemaje?? Oooh Yes.... Mimi na mke wangu Tunapendana sana. Ndani ya ndoa yetu tunapendana. Period!!!
(Am sore leo sina hangover ya kutosha)
 
Chrispin na wewe ulioa kwa sababu ya nini?
Teamo Je ?

Kabla sijamuoa huyu mama matesha wangu nilikuwa na mpenzi wangu niliyekuwa nampenda sana. Ki ukweli tulipendana sana. Na tuliachana bila kujua kimetokea nini. Niliumia sana, nilitaabika sana. Sikuwa nahitaji kuwa na uhusiano na mwanamke mwingine awaye yote. Nilitamani kuwa padre.

Mpaka alipotokea huyu rafiki yake nu huyo mpenzi wangu wa zamani. Alikuwa ananionea huruma sana, alikuwa ananifariji na kunipa moyo. (Tulipoachana na mpenzi wangu, mpenzi wangu huyo alitokomea kubeba mabox na mpaka leo hajarudi -RIP kama ameshakufa). Huyu rafiki yake ndio huyu mama matesha wangu.

Nadiriki kusema nashukuru niliachana na mpenzi wangu yule wa zamani kwa kuwa huyu mke wangu wa sasa ndio ulikuwa mpango wa Mungu awe mke wangu. She is beautiful, loving and caring. Sitajuta kuonana naye (sijawahi kujuta miaka yote 15 ya kufahamiana toka urafiki, upenzi, uchumba mpaka ndoa.

Hivi thread inasemaje?? Oooh Yes.... Mimi na mke wangu Tunapendana sana. Ndani ya ndoa yetu tunapendana. Period!!!
(Am sore leo sina hangover ya kutosha)

Kweli ila hiyo ndo halisi kwa watu tulio wengi au nadharia (ideal Vs. reality)? Binafsi nilianzia kwenye sex, then love kabla ya kujivisha kitanzi.
To me Love has nothing to do with sex. Ndo maana nilimpenda mamito wangu kwa zaidi ya miaka mitatu ndo tukasex. Niliposex tu, hapo hapo nikatangaza nia. I got what I wanted!!
 
Kwani hakuna watu ambao hizo sababu za ziada zinakuwa na uzito kuliko mapenzi?

wapo wengi tu...............mijini unakuta ni sababu za pesa zaidi na vijijini ni sababu za wazazi na jamii.

ila hapa nilikuwa naweka sawa tu kuwa mwanamke kuolewa kwa mapenzi tu haiko ...........ataolewa kwa mapenzi plus alpha. sasa sisi tuliotoa orodha ya sababu za kukubali kuolewa (hatukutaja mapenzi pekee) tusionekane wa ajabu sana. mapenzi bila alpha hiyo ni almost hayapo kwa wengi waliolewa

japokuwa alpha bila ya mapenzi ( atleast mwanzo wa ndoa) ipo sana tu katika jamii
 
LOVE comes first!!!

Kuna mifano mingi tu ya watu ambao walikuwa wanapendana sana tu.Na hata kujuana tabia vizuri,lakini baada ya muda wakiwa ndani ya ndoa upendo unaisha,tena wanakuwa maadui wakubwa(ninao mfano hai) Hii inatokana na nini wakuu?
 
Back
Top Bottom