Nyamayao
JF-Expert Member
- Jan 22, 2009
- 6,966
- 2,357
3. Kupika - msichana kila mkipanga date anakupa/anaomba offer ya kula nje, huwezi jua kama anaweza kupika au la. Na kwa kuwa mapenzi yako fire fire wala mwanaume hawezi kushituka kulazimisha kwamba anataka kula chakula kilichopikwa na mpenziwe. Na kama msichana ni mtoto wa geti kali, ukianza kumwambia kupika unahisi mtapoteza muda zaidi badala ya kuendelea na yale mambo mengine ya chumbani ama kukaa pamoja mkipiga stori.
Keil....mie wakakti naanzana na shem wako yeye alikuwa anaishi arusha mie moshi, wakakti huo kila wkeend nina semina arusha...lol, kupika lilikuwa jaribio langu la kwnza, nikiwa kwake hakuna cku tutasema tunaenda kula hotel/nyama choma bar...nope, tutakula home tunaenda kunywa bar!...huo mtihani nilifanikiwa kwa asilimia 100, sasa baadhi ya wadada wa cku hizi wao ni ooh tupitie cjui steers, cjui best bite hakuna walijualo...
Keil....mie wakakti naanzana na shem wako yeye alikuwa anaishi arusha mie moshi, wakakti huo kila wkeend nina semina arusha...lol, kupika lilikuwa jaribio langu la kwnza, nikiwa kwake hakuna cku tutasema tunaenda kula hotel/nyama choma bar...nope, tutakula home tunaenda kunywa bar!...huo mtihani nilifanikiwa kwa asilimia 100, sasa baadhi ya wadada wa cku hizi wao ni ooh tupitie cjui steers, cjui best bite hakuna walijualo...