Ni kweli kwamba Profesa Janabi hajawahi kusomea wala kuwa Daktari Bingwa wa Moyo?

Ni kweli kwamba Profesa Janabi hajawahi kusomea wala kuwa Daktari Bingwa wa Moyo?

Mbona ana qualification za juu sana
Professor Janabi hana qualification yoyote ya kutibu moyo kibingwa, hana. Hakusomea popote na hakuwahi kutambuliwa na baraza la madaktari hapa Tanzania kama Daktari bingwa wa moyo. Na hata pale Muhimbili hajawahi kutibu moyo mtu kibingwa tangu awepo. Hana huo uwezo.
 
Hii Elimu yake inatusaidia nini kwa Kipindi hiki?

Jambo la Msingi aungwe Mkono.

Huu Upuuzi wa Elimu umebakia sana hapa kwetu Africa Mashariki.

Huko kwa Mabeberu kinachoangaliwa ni Uwezo wako Ku deliver.

Tuachaneni na Hizo mambo za Kuangalia Elimu , hazilijengi Taifa.
 
Unajua Maana Ya Fellowship??
🤣🤣
Unajua Kuna Wakati kuna Maswala tuyaache tu..
Mmed Za janab zote unazijua??

Angewezaje kusoma Msc Bila Kusoma Mmed?
Sio Vyote Vinaandikwa MCT..
Kasoma MMED internal medicine hapo hapo University of Queensland in Australia Mwaka 1996 ndo alimaliza..
Fellowship alifanya na Cardiology..

Fellowship Kafanya kutoka Fellow American College of Cardiology (FACC) mwaka 1996/97 Mpaka 98

Internal Medicine and Molecular Science, Graduated in School of Medicine Osaka University Hospital Osaka, Japan 2000 (Post Doctorate)

Bergen University Norway Cardiology Department
and Medical University of South Carolina-USA Clinical attachment ya mwaka 2005
Utamaliza calories buree kuya elezea majitu ambayo yamesha kua na PERCEPTION ZAO ZA KI NEGATIVITY.
 
Unajua Maana Ya Fellowship??
🤣🤣
Unajua Kuna Wakati kuna Maswala tuyaache tu..
Mmed Za janab zote unazijua??

Angewezaje kusoma Msc Bila Kusoma Mmed?
Sio Vyote Vinaandikwa MCT..
Kasoma MMED internal medicine hapo hapo University of Queensland in Australia Mwaka 1996 ndo alimaliza..
Fellowship alifanya na Cardiology..

Fellowship Kafanya kutoka Fellow American College of Cardiology (FACC) mwaka 1996/97 Mpaka 98

Internal Medicine and Molecular Science, Graduated in School of Medicine Osaka University Hospital Osaka, Japan 2000 (Post Doctorate)

Bergen University Norway Cardiology Department
and Medical University of South Carolina-USA Clinical attachment ya mwaka 2005
Mkuu ndio maana naonaga nayazidi maprof mengi tu😁😁😁
 
Utamaliza calories buree kuya elezea majitu ambayo yamesha kua na PERCEPTION ZAO ZA KI NEGATIVITY.
Njoo na facts, acha ushabiki.
Mimi ni miongoni mwa watu wanaomkubali sana Professor Janabi kutokana na namna anavyoamsha jamii kwenye masuala ya afya.
Lakini hili la kutokuwa na elimu husika ya kutibu moyo kibingwa halafu ajipashike lazima nilipinge. Nyeusi tuiite nyeusi na sio nyeupe.
 
Professor Mohamed Yakub Janabi ni mfano wa kuigwa, ni nadra wasomi wa kiTanzania ku share knowledge yao na watanzania wa kawaida.

1733840252009.jpeg



Wasomi wahadhiri wa vyuo vikuu hawapo katika mitandao ya kijamii kuweza kutumia elimu waliyopata kwa kodi za raia wa Tanzania, kwa kurudisha kwa jamii kwa mtindo wa kuwapa ufahamu wananchi wa kawaida kuhusu masuala yawe ya afya, ujasirimali, kilimo cha kisasa, ufugaji, ufundi mchundo n.k

Wasomi wa mataifa yaliyoendelea wapo sana katika mitandao ya kijamii kwa kutoka nje ya ma Hall ya lecture na kutoa elimu kwa jamii pana iliyopo nje ya kuta za vyuo vya elimu ya juu.

Usomi maana yake ni kuleta mabadiliko na mguso kwa jamii pana na Prof. Janabi katika hilo ameutendea jambo kubwa usomi wake kwa jamii pana.

Kwa staili hii nadhani atakuwa miongoni mwa watia nia wakuangaliwa sana na kukubalika kufanya kazi WHO Kanda ya Afrika.
 
Acha uongo ndugu yangu.
Standard ya elimu ya utabibu kipindi cha USSR mpaka leo hii haijawahi kuwa bora kupita yetu katika kipindi chochote kile. Mhitimu wa Muhimbili amekuwa better dhidi ya hao wa USSR.
Unaishi kwenye historia za Kinjekitile Ngwale...standard ya bongo ilikua ni kujeuza risasi kuwa maji... that's Bongo medics & Chemistry
 

1733839379256-png.3173775

Prof. Mohamed Yakub Janabi

Accreditations & Qualifications

  • MD., MSc., PhD. and Fellow of American College of Cardiology (FACC)
  • Certified Aviation Medical Examiner by FAA-USA

Career

  • CEO – MNH, Oct 2022 - Present
  • CEO- JKCI, 2015 - Sept 2022
  • Head, Physician to former President of United Republic of Tanzania (2005 - Present)
  • Faculty Member of Muhimbili University of Health and Allied Sciences (MUHAS) (2000 - Present)
  • Faculty Member of Medical University of South Carolina, USA (2003 - Present)

Corporate Governance Experience

  • Council Member MUHAS - Oct 2022 - Present
  • Board Member Jakaya Kikwete Cardiac Institute – Oct 2022 - Present
  • Board Member Ocean Road Cancer Institute - Oct 2022 - Present
  • Board Member SUA (2015 - Present)
  • Senior Researcher Scientist HIV Vaccine Trial (TaMoVac) (1998-2002)
  • Medical Director at Madaktari Africa, a USA-based NGO (Tanzania)

CEO Muhimbili National Hospital


Note:

  • Prof. Janabi has made over 83 publications
  • Prof. has a good command of Kiswahili, English, Russian, and Japanese

View: https://m.youtube.com/watch?v=x4KAPkM_GDE

Daktari bingwa yoyote hapa Tanzania ni lazima awe na Mmed. Professor Janabi hana na hajawahi kuwa nayo.
 
Wasomi wengi wa kiTanzania ni kama waganga wa kienyeji kwa kuficha utaalamu wao.

Katika Tanzania ni maprofesa wachache kama Prof. Issa Shivji siasa / sheria, Prof. Janabi utabibu / elimu kwa umma (Public health), Prof. Prosper Ngowi wa Mzumbe University somo lake la kujiajiri ndiyo wasomi wachache wanaorudi kwa jamii kuwainua ufahamu waTanzania kwa elimu ya buree mtandaoni

Prof. Ngowi, Presenting Paper on Education for Liberation of the Poor in Africa at Nyerere Intellectual Festival UDSM, on 12.04.2018. Key issue; EDUCATION should Liberate the Poor Economically, should be relevant and demand-Driven


View: https://m.youtube.com/watch?v=gUu5YZEaPjk
 
Back
Top Bottom