Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kigwangalla ana CV nzuri tu 😄Daah, Hatari sana hii, na Hamisi Kigwangala nimesikia naye anagombea nafasi ya Faustine Ndugulile
CV yake ikoje?
Professor Janabi hana qualification yoyote ya kutibu moyo kibingwa, hana. Hakusomea popote na hakuwahi kutambuliwa na baraza la madaktari hapa Tanzania kama Daktari bingwa wa moyo. Na hata pale Muhimbili hajawahi kutibu moyo mtu kibingwa tangu awepo. Hana huo uwezo.Mbona ana qualification za juu sana
Utamaliza calories buree kuya elezea majitu ambayo yamesha kua na PERCEPTION ZAO ZA KI NEGATIVITY.Unajua Maana Ya Fellowship??
🤣🤣
Unajua Kuna Wakati kuna Maswala tuyaache tu..
Mmed Za janab zote unazijua??
Angewezaje kusoma Msc Bila Kusoma Mmed?
Sio Vyote Vinaandikwa MCT..
Kasoma MMED internal medicine hapo hapo University of Queensland in Australia Mwaka 1996 ndo alimaliza..
Fellowship alifanya na Cardiology..
Fellowship Kafanya kutoka Fellow American College of Cardiology (FACC) mwaka 1996/97 Mpaka 98
Internal Medicine and Molecular Science, Graduated in School of Medicine Osaka University Hospital Osaka, Japan 2000 (Post Doctorate)
Bergen University Norway Cardiology Department
and Medical University of South Carolina-USA Clinical attachment ya mwaka 2005
Kiko fit mzee usimpimie 😄Ni naona Afya ya profesa kama ni mbaya/anaumwa. Nafikiri anazidisha dieting! Kwa majukumu ya Dunia ndiyo mtamuua kabsaaa.
Mkuu ndio maana naonaga nayazidi maprof mengi tu😁😁😁Unajua Maana Ya Fellowship??
🤣🤣
Unajua Kuna Wakati kuna Maswala tuyaache tu..
Mmed Za janab zote unazijua??
Angewezaje kusoma Msc Bila Kusoma Mmed?
Sio Vyote Vinaandikwa MCT..
Kasoma MMED internal medicine hapo hapo University of Queensland in Australia Mwaka 1996 ndo alimaliza..
Fellowship alifanya na Cardiology..
Fellowship Kafanya kutoka Fellow American College of Cardiology (FACC) mwaka 1996/97 Mpaka 98
Internal Medicine and Molecular Science, Graduated in School of Medicine Osaka University Hospital Osaka, Japan 2000 (Post Doctorate)
Bergen University Norway Cardiology Department
and Medical University of South Carolina-USA Clinical attachment ya mwaka 2005
Apewe Kigwangalla 😂Je nafasi anayogombea WHO ni kuhusu moyo?Lini tutabadilika
Njoo na facts, acha ushabiki.Utamaliza calories buree kuya elezea majitu ambayo yamesha kua na PERCEPTION ZAO ZA KI NEGATIVITY.
Lakini inatutia doa sana kuupeleka ujinga wetu kimataifa,yaani wenzetu wanapambana kupeleka vichwa sisi tunapeleka vituko?Tanzania ndio ilivyo uyo ni mtu wa system kubebwa ni lazima tu
Unaishi kwenye historia za Kinjekitile Ngwale...standard ya bongo ilikua ni kujeuza risasi kuwa maji... that's Bongo medics & ChemistryAcha uongo ndugu yangu.
Standard ya elimu ya utabibu kipindi cha USSR mpaka leo hii haijawahi kuwa bora kupita yetu katika kipindi chochote kile. Mhitimu wa Muhimbili amekuwa better dhidi ya hao wa USSR.
![]()
Prof. Mohamed Yakub Janabi
Accreditations & Qualifications
- MD., MSc., PhD. and Fellow of American College of Cardiology (FACC)
- Certified Aviation Medical Examiner by FAA-USA
Career
- CEO – MNH, Oct 2022 - Present
- CEO- JKCI, 2015 - Sept 2022
- Head, Physician to former President of United Republic of Tanzania (2005 - Present)
- Faculty Member of Muhimbili University of Health and Allied Sciences (MUHAS) (2000 - Present)
- Faculty Member of Medical University of South Carolina, USA (2003 - Present)
Corporate Governance Experience
- Council Member MUHAS - Oct 2022 - Present
- Board Member Jakaya Kikwete Cardiac Institute – Oct 2022 - Present
- Board Member Ocean Road Cancer Institute - Oct 2022 - Present
- Board Member SUA (2015 - Present)
- Senior Researcher Scientist HIV Vaccine Trial (TaMoVac) (1998-2002)
- Medical Director at Madaktari Africa, a USA-based NGO (Tanzania)
CEO Muhimbili National Hospital
Note:
- Prof. Janabi has made over 83 publications
- Prof. has a good command of Kiswahili, English, Russian, and Japanese
View: https://m.youtube.com/watch?v=x4KAPkM_GDE