Mtambachuo
JF-Expert Member
- May 6, 2023
- 1,907
- 3,560
Alipewa Ndugulile sio Tz kwa hiyo inaweza kwenda kwa mtu mwingine wa nchiSana na anajua kila kitu kuhusu udaktari.Sawa tumkubalie lakini hiyo position huko WHO haiangalii kama n bingwa wa moyo na hata asipopata siyo kwa sababu hizo za kwenu.Hiyo nafasi tulipewa Tz ikapotea so siyo kwamja tutaonewa huruma kwa mara ya pili lakini hiyo nafasi pia haiitaji Daktari bingwa wa moyo.Kwan Janabi yeye anasema aje baada ya hili mumemsikia akisema aje?
nyingine.