Ni kweli kwamba Profesa Janabi hajawahi kusomea wala kuwa Daktari Bingwa wa Moyo?

Ni kweli kwamba Profesa Janabi hajawahi kusomea wala kuwa Daktari Bingwa wa Moyo?

Sana na anajua kila kitu kuhusu udaktari.Sawa tumkubalie lakini hiyo position huko WHO haiangalii kama n bingwa wa moyo na hata asipopata siyo kwa sababu hizo za kwenu.Hiyo nafasi tulipewa Tz ikapotea so siyo kwamja tutaonewa huruma kwa mara ya pili lakini hiyo nafasi pia haiitaji Daktari bingwa wa moyo.Kwan Janabi yeye anasema aje baada ya hili mumemsikia akisema aje?
Alipewa Ndugulile sio Tz kwa hiyo inaweza kwenda kwa mtu mwingine wa nchi

nyingine.
 
Na kweli ukiingia kwenye mifumo ya Serikali katika nchi hii utakutana na maajabu katika CV za watu...kuanzia Serikali kuu, Bungeni, Mahakamani na hata katika ngazi za Halmashauri
Unamkuta mtu alisoma certificate ya sheria na diploma ya ualimu alfu unamkuta ni afsa ardhi mteule
 
Umeandika jambo la msingi sana sana ndugu 4 7mbatizaji .
Kongole sana.
Mkuu inakera sana ,kila jambo kuingiza siasa kwa mwendo huu mkuu taifa linaenda kuwa na vilaza ,Angalia ma Prof wa sasa nchini kisa siasa wamekua watu wa ajabu ajabu ,mpaka sasa unaweza kuona heshima ya uprof imeyeyuka kama barafu , why wametumiwa kisiasa na wamekwisha kabisa
 
Jambo la msingi apite tu mengine yatajulikana mbele ya safari. Hizi mambo za kuona aibu ndio zinazuia maendeleo ya nchi
Kwa elimu yake Janab hawezi kuaibisha sawa tukubali siyo bingwa wa moyo lakini ni dr bingwa maana ana masters ya tropical disease hiyo tayari ni bingwa siyo wa moyo na yeye haendi kkwenye nafasi ya madaktari bingwa kwan WHO wamesema uwe bingwa wa moyo?Ndugulile alikua wa moyo?wewe ndo kilaza unaposema ataiaibisha Tanzania sasa hapo ataiaibisha vip na udaktari embu elleza anaenda kuaibisha aje au umeona uandike tu kisa una bando
 
Jambo la msingi apite tu mengine yatajulikana mbele ya safari. Hizi mambo za kuona aibu ndio zinazuia maendeleo ya nchi
Kwa elimu yake Janab hawezi kuaibisha sawa tukubali siyo bingwa wa moyo lakini ni dr bingwa maana ana masters ya tropical disease hiyo tayari ni bingwa siyo wa moyo na yeye haendi kkwenye nafasi ya madaktari bingwa kwan WHO wamesema uwe bingwa wa moyo?Ndugulile alikua wa moyo?wewe ndo kilaza unaposema ataiaibisha Tanzania sasa hapo ataiaibisha vip na udaktari embu elleza anaenda kuaibisha aje au umeona uandike tu kisa una bando
 
Kwa elimu yake Janab hawezi kuaibisha sawa tukubali siyo bingwa wa moyo lakini ni dr bingwa maana ana masters ya tropical disease hiyo tayari ni bingwa siyo wa moyo na yeye haendi kkwenye nafasi ya madaktari bingwa kwan WHO wamesema uwe bingwa wa moyo?Ndugulile alikua wa moyo?wewe ndo kilaza unaposema ataiaibisha Tanzania sasa hapo ataiaibisha vip na udaktari embu elleza anaenda kuaibisha aje au umeona uandike tu kisa una bando
Imebidi nicheke. Umeniita kilaza. Mtu mwerevu hakurupuki kutoa majibu. Hebu angalia nilichoandika halafu fuatilia nilikuwa namjibu aliyeandika nini na wewe umekuja kuandika nini.

Kuwa nyuma ya keyboard haikupi uwezo wa akili au ufahamu kuliko wengine mkuu. Kabla ya kuandika na kujibu elewa dhima ya mwandishi vinginevyo utaenda OP uonyeshe ukilaza wako. Otherwise una mawazo mazuri ila rekebisha lugha mbofumbofu kwa vitu ambavyo hujaelewa
 
Kama ni kweli,....kwahiyo tumeamua kama Taifa kupeleka Vihiyo kwenye Taasisi za Kimataifa?!

Hii Biashara ya Kuexport Vihiyo itakua imeanzishwa na hii Awamu ya 6.
Alafu Rais mbona kama kafanya teuzi kwenye issue ambayo mhusika mwenyewe alipaswa kujifanyia tathimini kisha kuomba endorsement kwa serikali. Nadhani Ndugulile hakuteuliwa bali alionyesha nia then serikali ika support baada ya kuona anafaa
 
Exactly yeyote anaweza pewa na nchi nyingine hata Janabi kuipata siyo lazima na pia akikosa siyo kwamba hana vigezo ni kama kubet hiyo position
Ni kweli vigezo anavyo ila anaweza kuzidiwa na wengine hasa kwenye mambo

ya Public health na mambo ya Policy and legal issues.
 
Alafu Rais mbona kama kafanya teuzi kwenye issue ambayo mhusika mwenyewe alipaswa kujifanyia tathimini kisha kuomba endorsement kwa serikali. Nadhani Ndugulile hakuteuliwa bali alionyesha nia then serikali ika support baada ya kuona anafaa
Nayo hii ni irregularities, ila huwezi kujua pengine Janabi alimtafuta

akamueleza adhma yake.
 
CV yake aliyokuwa ameiweka kule ilikuwa imejaa uongo na ujanja ujanja mnoo. Sasa wakenya, waganda na waghana walishaanza kuichambua na kuipiga spana kiasi cha kuua the whole professional credibility yake. Na bora kafanya hivyo sasa, japokuwa amechelewa sana maana inaweza kuzaa mengi mnoo.
Watu hawajui tu, academic impersonation ni kosa kubwa mnoo kimataifa, inaweza kukufutia vyeti, titles nk.
Huyu kaendaaa na kama watamuemgua basi kifo cha magu kifanyike uvhunguz
 
Back
Top Bottom