Ni kweli kwamba Profesa Janabi hajawahi kusomea wala kuwa Daktari Bingwa wa Moyo?

Ni kweli kwamba Profesa Janabi hajawahi kusomea wala kuwa Daktari Bingwa wa Moyo?

Professor Mohamed Yakub Janabi ni mfano wa kuigwa, ni nadra wasomi wa kiTanzania ku share knowledge yao na watanzania wa kawaida.

View attachment 3173787


Wasomi wahadhiri wa vyuo vikuu hawapo katika mitandao ya kijamii kuweza kutumia elimu waliyopata kwa kodi za raia wa Tanzania, kwa kurudisha kwa jamii kwa mtindo wa kuwapa ufahamu wananchi wa kawaida kuhusu masuala yawe ya afya, ujasirimali, kilimo cha kisasa, ufugaji, ufundi mchundo n.k

Wasomi wa mataifa yaliyoendelea wapo sana katika mitandao ya kijamii kwa kutoka nje ya ma Hall ya lecture na kutoa elimu kwa jamii pana iliyopo nje ya kuta za vyuo vya elimu ya juu.

Usomi maana yake ni kuleta mabadiliko na mguso kwa jamii pana na Prof. Janabi katika hilo ameutendea jambo kubwa usomi wake kwa jamii pana.

Kwa staili hii nadhani atakuwa miongoni mwa watia nia wakuangaliwa sana na kukubalika kufanya kazi WHO Kanda ya Afrika.

Wakikaa chini kujisifia na macertificates tu wkt hakuna kitu tangible washaongeza kwa jamii wala taaluma zao zaidi ya kukariri vya wazungu tu, pathetic

Hapa tutaona madefinition tu ya kutosha maMMED, Associates, Fellows, na kadhalika ya kubebea tittles tu ili kumdiscredit aliyepewa. The end justfies means wandugu hata kama waliokaa maradarasa yasiyosebika na madegree ya makaratasi ya kutosha, wasaidie kufundisha wanafunzi kule, wamuache mwenzao asonge ndo keshapewa hivyo!
 
Hivi Superspecialist Ni MMED eeh

Some examples of MMed programs include:
Master of Medicine in General Medicine: A three-year program that provides core training for specialty training.

I am not Medical expert, but MMED ndio hiyo hapo juu, sio fani yangu, very simple nataka kujua unijibu, Prof ni Super Specialist wa moyo or not
 
Some examples of MMed programs include:
Master of Medicine in General Medicine: A three-year program that provides core training for specialty training.

I am not Medical expert, but MMED ndio hiyo hapo juu, sio fani yangu, very simple nataka kujua unijibu, Prof ni Super Specialist wa moyo or not
Ni super specialist wa Moyo na Daktari Binafsi wa Rais Kikwete, Rais Magufuli na sasa Ameteuliwa kuwa Daktari binafsi na Mshauri wa Rais Samia
 
Tatizo Kubwa Linakuja kuwa Muundo wa Afya Tanzania Hautambui Mchanganyiko ama Course inayoitwa MMED (Internal Medicine Specified In Tropical disease) ila wanaitambua tu ni Kama MSc In Tropical D'se..
Kitu ambacho kwa Tanzania Kinampa Ubingwa Kwenye Tropical Disease Peke yake na wala Hakumpi Ubingwa kwenye Magonjwa yote ya Ndani..

Kwa Tanzania (Muundo ma kanuni za MCT) Atakosa Sifa ya Moja kwa Moja Kusoma Fellowship ya Cardiology ila kwa Nje Anayosifa Hiyo kwa kuwa wanatambua Course hiyo..

Shida Kubwa ni Muundo Maana Tanzania Hawaitambui kama MMED inakosa Sifa Kuwa MMed ila Wanaitambua kama MSc..
Daktari leo umepuyanga kubali yaishe tu.

Angalia ulivyopuyanga mwanzo
"
Unajua Maana Ya Fellowship??
🤣🤣
Unajua Kuna Wakati kuna Maswala tuyaache tu..
Mmed Za janab zote unazijua??

Angewezaje kusoma Msc Bila Kusoma Mmed?
Sio Vyote Vinaandikwa MCT..
Kasoma MMED internal medicine hapo hapo University of Queensland in Australia Mwaka 1996 ndo alimaliza..
Fellowship alifanya na Cardiology..

Fellowship Kafanya kutoka Fellow American College of Cardiology (FACC) mwaka 1996/97 Mpaka 98

Internal Medicine and Molecular Science, Graduated in School of Medicine Osaka University Hospital Osaka, Japan 2000 (Post Doctorate)

Bergen University Norway Cardiology Department

and Medical University of South Carolina-USA Clinical attachment ya mwaka 2005"
MCT ipo hivi
  • Qualification(s)
    • MD(1989) - Khakor Medical Institute-ukraine Ussr
    • MSc.(Tropical Health)(1993) - University Of Queensland
    • PhD(Bioregulatory Medical Science)(2001) - Osaka University
Sasa miaka uliyotaja na kwenye MCT haiko sawa na sasa unasema ni MMed specified in Tropical health ambayo ni kitu kimoja, yani full kutupiga tu
 
Zanzibar-ASP kuna hoja mbili hapa na zote ni independent from each other (Hazitegemeani).

Mosi, Janabi ni daktari bingwa wa moyo?

Pili, Janabi anaweza kugombea DG-WHO Africa?

Labda niulize, in the medical field, kati ya Janabi na Ndugulile nani ana resume iliyoshiba?

Hoja ya kwamba Janabi sio bingwa au hana Mmed ni hoja nzuri ila haina tija sana kwenye mbio zake za kuwania DG-WHO Africa. Janabi ana resume iliyoshiba kuliko Ndugulile in the medical field nadhani wote tunakuliana na hilo na tumeshuhudia Ndugulile akishinda by landslide na Ndugulie hakuwa daktari bingwa alisoma MD na MPH tu kama sijakosea.

Kama Janabi sio cardiologist na hajawahi kutibu mtu moyo tatizo lipo wapi? Yeye alikua administrator tu huko hajavunja msingi wowote na positiona anayoenda kuwania DG-WHO Africa nayo ni administration tu haendi field kutibu watu.
 
Daktari leo umepuyanga kubali yaishe tu.

Angalia ulivyopuyanga mwanzo
"
Unajua Maana Ya Fellowship??
🤣🤣
Unajua Kuna Wakati kuna Maswala tuyaache tu..
Mmed Za janab zote unazijua??

Angewezaje kusoma Msc Bila Kusoma Mmed?
Sio Vyote Vinaandikwa MCT..
Kasoma MMED internal medicine hapo hapo University of Queensland in Australia Mwaka 1996 ndo alimaliza..
Fellowship alifanya na Cardiology..

Fellowship Kafanya kutoka Fellow American College of Cardiology (FACC) mwaka 1996/97 Mpaka 98

Internal Medicine and Molecular Science, Graduated in School of Medicine Osaka University Hospital Osaka, Japan 2000 (Post Doctorate)

Bergen University Norway Cardiology Department

and Medical University of South Carolina-USA Clinical attachment ya mwaka 2005"
MCT ipo hivi
  • Qualification(s)
    • MD(1989) - Khakor Medical Institute-ukraine Ussr
    • MSc.(Tropical Health)(1993) - University Of Queensland
    • PhD(Bioregulatory Medical Science)(2001) - Osaka University
Sasa miaka uliyotaja na kwenye MCT haiko sawa na sasa unasema ni MMed specified in Tropical health ambayo ni kitu kimoja, yani full kutupiga tu
Mkuu Umeelewa nilichoeleza Kuhusu MCT?
Kuhusu Muundo wa Baadhi ya fani?
 
Fellowship[emoji16][emoji16][emoji6][emoji6]
Huo ndo ubobezi kwenye kutibu moyo?

Anyway hata hivyo hakuwahi kutibu bali alikuwa mtawala ktk hospitali ya JKSI na alikua anashiriki na madaktari bingwa kama msaidizi(kama walivyo manesi) wakati wa operation.
Hawezi kuwa second oncall kwenye ishu ya moyo[emoji3][emoji2][emoji3][emoji2][emoji3][emoji2]
Fellowship ya moyo ni kumsaidia daktari kuwa na uanafunzi wa juu katika fani ya cardiology ili aweze kutibu magonjwa ya moyo kwa njia ya kisayansi, ya kimaumbile, na yenye ufanisi mkubwa.

Kwa kifupi, Fellowship ya Moyo ni programu ya upecialisti inayotoa mafunzo ya juu kwa madaktari waliobobea katika internal medicine ili waweze kuwa daktari bingwa wa moyo.

Na inahusisha mtaala wa kina wa matibabu, uchunguzi, na utafiti katika magonjwa ya moyo.

Ova
 
Mara baada ya Rais Samia kutangaza kumpigia debe Professor Janabi ili kuiwakilisha Tanzania kwenye kinyang'anyiro cha ukurugenzi mkuu wa WHO kanda ya Afrika, watu wenye akili kubwa ikabidi waingie chimbo kufukua file lenye kubeba wasifu mbali mbali kumhusu Profesa Mohamed Janabi ili kuona ana kipi cha kielimu na kisayansi, na sasa imekuja kugundulika kuwa, kumbe mwamba hakuwahi kusomea udaktari bingwa wowote (Mmed) achilia mbali udaktari bingwa wa moyo (Cardiologist) na wala hana sifa zozote stahiki za kibingwa kutibu moyo.

Na kwa mifumo ya mamlaka za usimamizi wa fani ya utabibu hapa Tanzania (Medical Council of Tanganyika), daktari asiyekuwa na sifa za kibingwa za fani huzika haruhusiwi kutoa matibabu ya kibingwa moja kwa moja kwa mgonjwa, na kwa tafsiri ya moja kwa moja, Professor Janabi hakuwahi popote moja kwa moja kutibu kibingwa moyo, na kama aliwahi kufanya hivyo anastahili kushtakiwa kwenye baraza la madaktari kwa kutenda kosa la kimaadili katika fani ya udaktari.

Hapa chini nimeambanisha wasifu wa Professor Janabi wa kidaktari unaotambulika na mamlaka za usimamizi wa taaluma ya udaktari hapa Tanzania (MCT).

Mwisho kabisa, MCT wanatakiwa kutoa maelezo kwa umma, kwa hicho ulichowahi kusomea Professor Jababi (Masters of tropical health) ambacho hakina sifa yoyote ya udaktari bingwa wa moyo (maana mhitimu yoyote wa fani ya afya anaweza kusomea), kinampaje sifa mhusika kuwa daktari bingwa wa moyo?

NOTE:
Daktari bingwa mbombezi (kama daktari bingwa wa moyo) yoyote mwenye sifa stahiki za kutambulika na baraza la madaktari la Tanganyika (MCT) ni lazima utambulisho wake kwenye ukurasa rasmi wa MCT (Professional Profile status) usomeke SUPER SPECIALIST DOCTOR. Kwa Professor Janabi hakuna hicho kitu.

View attachment 3173753
hii story yako imeua kabisa press ya mbowe, makala akuteue tu uwe mwenezi
 
Zanzibar-ASP kuna hoja mbili hapa na zote ni independent from each other (Hazitegemeani).

Mosi, Janabi ni daktari bingwa wa moyo?

Pili, Janabi anaweza kugombea DG-WHO Africa?

Labda niulize, in the medical field, kati ya Janabi na Ndugulile nani ana resume iliyoshiba?

Hoja ya kwamba Janabi sio bingwa au hana Mmed ni hoja nzuri ila haina tija sana kwenye mbio zake za kuwania DG-WHO Africa. Janabi ana resume iliyoshiba kuliko Ndugulile in the medical field nadhani wote tunakuliana na hilo na tumeshuhudia Ndugulile akishinda by landslide na Ndugulie hakuwa daktari bingwa alisoma mmed na MPH tu kama sijakosea.

Kama Janabi sio cardiologist na hajawahi kutibu mtu moyo tatizo lipo wapi? Yeye alikua administrator tu huko hajavunja msingi wowote na positiona anayoenda kuwania DG-WHO Africa nayo ni administration tu haendi field kutibu watu.
Hivi ukisoma MMed huwi daktari bingwa ? kwa huku Tanzania
 
  • NA HII JE INA MAANA GANI? ACHENI UJINGA !!
  • MD., MSc., PhD. and Fellow of American College of Cardiology (FACC)
 
Back
Top Bottom