Ni kweli kwamba Profesa Janabi hajawahi kusomea wala kuwa Daktari Bingwa wa Moyo?

Ni kweli kwamba Profesa Janabi hajawahi kusomea wala kuwa Daktari Bingwa wa Moyo?

Kama Janabi sio mbobezi wa hayo masuala mleta mada atueleze Janabi ni mbobezi kwenye nini.
Nami naungana naye ya kwamba, kwa mujibu wa taarifa na CV zilizoletwa humu, Prof siyo Daktari Mbobezi wa Magonjwa ya Moyo wala kitu chochote kwa sababu anakosa sifa za kuwa Mbobezi. Labda kama kuna taarifa (CV) nyingine mbali na hizi zilizoletwa hapa.
 
Education and Training
Dr. Janabi's academic and medical training spans multiple continents, including:

Kharkiv Medical Institute, Ukraine: Completed his medical degree

University of Queensland, Australia: Earned a master’s degree under Prof. Ian Riley at the Herston Medical School.

Osaka University, Japan: Acquired a PhD in cardiology and post-doctoral training, supported by the Japan Society for the Promotion of Science under Prof. Yuji Matsuzawa, a co-founder of the Syndrome X concept.

Bergen University, Norway: Pursued advanced cardiology studies.
Clinical training stints in the USA, including the Medical University of South Carolina and Liverpool School of Tropical Medicine, UK.

Achievements and Contributions

Global Influence: Collaborated on cardiovascular research globally, especially in Africa.

Publications: Authored numerous papers in national and international journals.

Mentorship: Trains and guides MSc and internal medicine residents at JKCI and MUHAS.

Cardiology Conferences: A host of the East African Cardiology Conference and a pioneer in starting Africa’s first chapter of the American College of Cardiology.

Dr. Janabi is also involved in Madaktari Africa, fostering healthcare collaboration between Tanzanian doctors and international experts.


Bado tu mna wasi wasi na elimu ya Mzee?
 
Msc na MMED sio Course sawa hata Kidogo..
Ili kusoma MMED lazima Uwe Daktari MD/MBBS..
Ila kusoma MSc sio lazima Uwe daktari anasoma yoyote aliye kwenhe afya au Science
Mwalimu wa biology hapa Tanzania mwenye degree anaweza kusoma masters of science in urology kwa mujibu wa comment uliyoandika?
 
Sio nakupiga kamba, nenda popote katika hii nchi kaulize madaktari watakwambia hichi kitu.
Mhitimu (fresh from university) wa udaktari wa binadamu (Md) aliyehitimu USSR ya zamani, Russia ya sasa, Ukraine, China au India hana uwezo kamili wa kutibu mgonjwa kumkaribia mhitimu wa hapa Tanzania hususani kutoka Muhimbili. Na siri ni moja tu, daktari mwanafunzi, tena mgeni kutoka afrika, halafu mwenye ngozi nyeusi hawezi kupewa nafasi kamili ya kujifunza kwa kutibu (clinical practice) kwenye mwili wa mzungu (mrusi), mchina au mhindi.
Wewe jamaa upo vzr sana nakufatilia kwa makini
 
Tatizo kubwa Huenda Lipo Kwenye MCT kuhusu Kutambua Course yake..

Nitakupa Mfano Mdogo..

Kuna baadhi ya Facult Ukienda Nje ya Nchi zinatolewa Kama MMED (Yaani Level Ya ubingwa), Lakini Ukija Tanzania Tunazitambua kwa Level ya Ubobezi Msc Ya Ubobezi.. Yaani Super..

Shida Inakuja Ukija Nayo Huku hawataitambua Hata Kama wanajua Kuwa ilikuwa halali Kuingilia Facult hiyo..
Kwa mfano Msc In cardiology Hii Tanzania Ni super..

japo ukienda baadhi ya Nchi inatolewa kama point D ya ubingwa tu na sio Super sasa Ukija MCT Hawakutambui tena so ni lazi.a usome kwanza MMed ndo waitambue hiyo Msc yako..

So changamoto Huenda Ikawa Kwa MCT kuhusu Kuweka sawa Miundo yao..

Unajua Muundo Mara ya Mwisho Uliwekwa Mwaka 2009 pale ambapo Ilipotambulishwa Ngazi ya Ubingwa na Ubobezi mpaka Leo Bado Hakuna Muundo mpya Uliowekwa..

Na Wizara ya afya inapiga chenga Kuweka Muundo tangu mwaka 2015 wanasema watatoa Muundo Ila bdo..

So kinachotucost wengi Ni Muundo..

HUenda Miundo Ingekuwa Sawa hata watu wasingekuwa na Maswali Kuhusu Janabi

Asante
Umeongea point Dr
 

1733839379256-png.3173775

Prof. Mohamed Yakub Janabi

Hapa alikua Bado hajaanza zile diet zake😆
 
Na mbaya swali la mleta mada halija pata jibu au majibu yaliyo nyooka.
Na yasipopatikana MAJIBU kuhusu elimu feki ya Janabi, tutakwenda hadi website ya WHO kumsagia kunguni Janabi.

Tutasaga kunguni kama tulivyosaga kwenye page ya Aston Villa walivyokuwa wananyima pasi Mbwana Samatta hususan mchezaji wao Grealish wakati ule
 
Back
Top Bottom