Ni kweli kwamba Profesa Janabi hajawahi kusomea wala kuwa Daktari Bingwa wa Moyo?

Ni kweli kwamba Profesa Janabi hajawahi kusomea wala kuwa Daktari Bingwa wa Moyo?

Ninakuelewa But usisahau Fellowship ya Cardiology ni 3 -7 years na MMED ya Internal medicine specified in Tropical Medicine ilimpa Yeye Uwezo wa Kusoma fellowship..

Ila Kwa sasa anayezuia Tusiwe na Cardiologist wengi Ni MCT kwa sababu hawazitambui Degree nyingi za Cardiology mpaka Degree ya Tatu au Fellowship kuna vijana wengi tu wana Degree ya Pili ya Cardio..

Na Kuhusu Full Cardiologist Nakubaliana na weww Kw saaa Tunao wachache sana saaana kwa sababu sio Kozi ya Kitoto

Mkuu, naomba kuuliza.

Kwenye CV ya Prof, kuna MSc ya Tropical Health. Wewe unasema MMED ya Internal Medicine Specified in Tropical Medicine.

Je, hizi ni Course moja au tofauti?
 
Ngoja sasa nikusaidie jibu ni jepesi.

Mtu mwenye leseni ya NAPLEX akifika Tanzanzia anapractice moja kwa moja bila mtihani wowote atakachoapply ni ile registration ni kama $75.

Ila mtu mwenye leseni ya PCTZ akija US lazima afanye training kadhaa upya na lazima afanye application na kufanya NAPLEX ndio ataruhusiwa kupractice.
Haijarishi una leseni gani au umesomea nini, ni lazima vyeti vyako vithibitishwe na TCU na uombe usajiri kwenye baraza la wafamasia, vigezo na masharti kuzingatiwa.
 
Mkuu, asante sana kwa ufafanuzi wako. Pamoja na ufafanuzi mzuri, naomba kuuliza maswali machache ya nyongeza kama ifuatabyo:-

1. Tanzania, kupitia MCT, tunafuata vigezo (standards) za Taifa gani?
Hili ni swali ambalo nimemuuliza mleta mada katika mizania ya taaluma ya ufamasia ngazi ya shahada ya kwanza.
2. Kufanya Fellowship ya Moyo kwenye Taasisi kubwa za Cardiology za US peke yake, kuna tosha kumfanya Prof kuwa Daktari Mbobezi wa Magonjwa ya Moyo?
Jibu ni ndio standard za U.S ni kubwa kuliko Tanzania.
3. Na kama Prof hajatambulika na MCT kama Daktari Mbobezi wa Magonjwa ya Moyo, kwa nini?
Hiyo sasa ni issue ya wao MCT na yeye..

Huyo anatambulika U.S wao wanashindwaje kumtambua?
 
Mkuu, naomba kuuliza.

Kwenye CV ya Prof, kuna MSc ya Tropical Health. Wewe unasema MMED ya Internal Medicine Specified in Tropical Medicine.

Je, hizi ni Course moja au tofauti?
Msc na MMED sio Course sawa hata Kidogo..
Ili kusoma MMED lazima Uwe Daktari MD/MBBS..
Ila kusoma MSc sio lazima Uwe daktari anasoma yoyote aliye kwenhe afya au Science
 
Kaileta nje ya context hasa bila kujua kwa kina exposure ni muhimu.

Nitamkosoa Janabi kwa vitu vingine sio elimu yake..


Hii unaongelea miaka mingapi nyuma ?

Yeye mwenyeww kaleta mada asiyoelewa ndio maana unaona anaruka viunzi.
Hakuna mahali anaruka viunzi. Hoja hujibiwa kwa Hoja, na siyo vinginevyo. Kwenye hili, Mleta mada Hoja zake zinaeleweka kwa nini anasema Prof siyo Daktari Mbobezi wa Magonjwa ya Moyo. Shida, wewe na wengine, tumehamaki na kumshambulia Mleta Uzi badala ya kujibu Hoja zake kwa Hoja.
 
Haijarishi una leseni gani au umesomea nini, ni lazima vyeti vyako vithibitishwe na TCU na uombe usajiri kwenye baraza la wafamasia, vigezo na masharti kuzingatiwa.
Umeelewa tofauti hizo mbili?

Mmoja atapply leseni tu.

Wa pili atafanya training , atafanya mtihani akifaulu ndio ataruhusiwa kupractice na training yenyewe sio ya miezi.
 
Sijui kama Ulichokiandika Umekisoma vizuri 🤣🤣🤣
Tuchukulie Mfano..
Mfano Mimi Ni Neonatologists
Nilifanya Neonatal fellowship Kwa Miaka Mitatu..
Baada ya Kupata MMED(Paed) degree ya Pili Au master Ya Miaka 3..

Kwahyo Fellow Huku Medicine tunairegard kama Degree ya tatu SO its equivalent na Phd Kama utakuwa Kwenye Track ya Proffesional ila Ulitoka kwenye proffesional Ndo unaweza ouchukua Degree ya Utawala ila ukibaki huku ndo unakuwa Super so Ma Super wote ni.Phd Holder..

Au Wanaitwa Wabobezi...
Dr Tale Tale ile PhD ni degree ya ngapi?
 
Hili ni swali ambalo nimemuuliza mleta mada katika mizania ya taaluma ya ufamasia ngazi ya shahada ya kwanza.

Jibu ni ndio standard za U.S ni kubwa kuliko Tanzania.

Hiyo sasa ni issu ya wao MCT na yeye..

Huyo anatambulika U.S wao wanashindwaje kumtambua?
Kuna kipindi alikua anafanyia Kazi U.S ila walimbembeleza aje Bongo kwa kumhaidi atapewa maslahi makubwa na kuonesha uzalendo.
 
Hakuna mahali anaruka viunzi. Hoja hujibiwa kwa Hoja, na siyo vinginevyo. Kwenye hili, Mleta mada Hoja zake zinaeleweka kwa nini anasema Prof siyo Daktari Mbobezi wa Magonjwa ya Moyo. Shida, wewe na wengine, tumehamaki na kumshambulia Mleta Uzi badala ya kujibu Hoja zake kwa Hoja.
Kama Janabi sio mbobezi wa hayo masuala mleta mada atueleze Janabi ni mbobezi kwenye nini.
 
Yes mueleze kuwa Janabi amekuwq recognized kwenye eneo la cardias through professionnel certificates. Ila post graduate yake haikuwa huko nadhqn ndio alivokusudia mtoa mada
Hii ni sentensi yenye utata mkubwa sana hii.
"Amekuwa "recognized" na nani? "Professional certificates" conferred by which authority; cardiologists (wa wapi)?
 
Nitajie Fellowship Moja tu ambazo Inatolewa kwa Miezi au Mwaka mmoja..
Niko tayari Kujifunza..
Karibu
Zipo nying sana. Mfano rahisi ni hizi
-Fellowship Council Clinical Fellowship (mwaka mmoja tu)
-ASHA Clinical fellowship (hii ni miezi 9 tu)
-Canon Foundation Research Fellowship (miezi 3 tu)

Narudia tena kuandika, Fellowship haina uhusiano wowote na muda ili kufaa kuitwa fellowship.
 
Elimu Ya USA ni elimu Ambayo Iko Very practical Kuliko Yetu Nimekaa Kule..
Ukimaliza Zako MD haugusi Mgonjwa Bila Kufanya Residency angalau ya Miaka mitatu ambayo Huku Tunaita MMED..Au attending Dr.. yaani Ili upate Medical Licences lazima Ufanye Residency..

Elimu yao Ni Very practical Daktari aliyesomea USA yuko Vizuri Kuliko aliyesomea Tz
Marekani 😂😂😂😂

Wambura pale Agakhan Ali..

Lakini basi 🐼
 
Zipo nying sana. Mfano rahisi ni hizi
-Fellowship Council Clinical Fellowship (mwaka mmoja tu)
Unaelewa hata Ulichokiandika 😁🤣🤣🤣
-ASHA Clinical fellowship (hii ni miezi 9 tu)
-Canon Foundation Research Fellowship (miezi 3 tu)
MKUU hivi Ulivoviandika Unavielewa maana Yake🤣🤣🤣🤣
Narudia tena kuandika, Fellowship haina uhusiano wowote na muda ili kufaa kuitwa fellowship.

Dah Kweli mi naomba Nikuache 🤣🤣🤣
Matrix19 hebu Njoo nisaidie Kunielewesha Hizi ni Nini
 
Back
Top Bottom