Ni kweli kwamba Profesa Janabi hajawahi kusomea wala kuwa Daktari Bingwa wa Moyo?

Ni kweli kwamba Profesa Janabi hajawahi kusomea wala kuwa Daktari Bingwa wa Moyo?

Mkuu, kwa maelezo yako haya, hakuna atakayepinga kwamba wewe siyo Daktari Mbobezi wa Watoto Njiti kwa sababu, uliofanya kwanza MMED (Paed) kisha Fellowship ya Neonatal.

Kwa Prof, hakuna mahali kwenye CV yake panaonyesha alifanya kwanza MMED (Internal Medicine) kabla ya kufanya Fellowship ya Moyo ili kuwa Daktari Mbobezi wa Moyo (Super Specialist) kama anavyotambulika. Na ndiyo Hoja ya mtoa mada.

Tujitahidi kumuelewa mtoa mada, kwa tija ya mjadala wetu na kunifanya jukwaa (JF) kuendelea kuwa kisima cha maarifa.

Naamini, wengi wataelewa ngazi/hatua za Taaluma ya Udaktari na baadhi yao kuhamasika kusoma Udaktari kwa namna moja ama nyingine.
Nimekuelewa Lakini Kwa Bahati Nzuri Janabi alimaliza MD mwaka 1989 na akafanya Internship.Hapa Muhimbili Medical Centre..

Na Baadae Alisoma MMED University of Queensland in Australia (MMED in Internal medicine ) Mwaka 1995 na 96 hivi..

Ndo akaenda Fellowship ya Cardiology
 
Kwa hiyo ni specialist wa nini?
Zile clinic za Moyo ambazo anaatend wagonjwa in person ni za nini!
Sometimes inawezekana Taarifa hazijawa updated
Mara baada ya Rais Samia kutangaza kumpigia debe Professor Janabi ili kuiwakilisha Tanzania kwenye kinyang'anyiro cha ukurugenzi mkuu wa WHO kanda ya Afrika, watu wenye akili kubwa ikabidi waingie chimbo kufukua file lenye kubeba wasifu mbali mbali kumhusu Profesa Mohamed Janabi ili kuona ana kipi cha kielimu na kisayansi, na sasa imekuja kugundulika kuwa, kumbe mwamba hakuwahi kusomea udaktari bingwa wowote (Mmed) achilia mbali udaktari bingwa wa moyo (Cardiologist) na wala hana sifa zozote stahiki za kibingwa kutibu moyo.

Na kwa mifumo ya mamlaka za usimamizi wa fani ya utabibu hapa Tanzania (Medical Council of Tanganyika), daktari asiyekuwa na sifa za kibingwa za fani huzika haruhusiwi kutoa matibabu ya kibingwa moja kwa moja kwa mgonjwa, na kwa tafsiri ya moja kwa moja, Professor Janabi hakuwahi popote moja kwa moja kutibu kibingwa moyo, na kama aliwahi kufanya hivyo anastahili kushtakiwa kwenye baraza la madaktari kwa kutenda kosa la kimaadili katika fani ya udaktari.

Hapa chini nimeambanisha wasifu wa Professor Janabi wa kidaktari unaotambulika na mamlaka za usimamizi wa taaluma ya udaktari hapa Tanzania (MCT).

Mwisho kabisa, MCT wanatakiwa kutoa maelezo kwa umma, kwa hicho ulichowahi kusomea Professor Jababi (Masters of tropical health) ambacho hakina sifa yoyote ya udaktari bingwa wa moyo (maana mhitimu yoyote wa fani ya afya anaweza kusomea), kinampaje sifa mhusika kuwa daktari bingwa wa moyo?

View attachment 3173753
 
Tanzania Tuna Cardiologist Yaani wabobezi nahisi wenye fellowship 11 Kama sijakosea Zaidi ukiacha Wale wenye bachelor za Cardio
Yes mueleze kuwa Janabi amekuwq recognized kwenye eneo la cardias through professionnel certificates. Ila post graduate yake haikuwa huko nadhqn ndio alivokusudia mtoa mada

Wengi wanawasiwasi na elimu ya Janabi.

Miaka ile watu waliosoma Urusi, Poland, Algeria, Cuba…. Kabla ya TCU ….. verification ya degree zao zilikuwa ni issue hivyo kulikuwa kuna shida eneo hilo hasa kwenye authenticity ya elimu yao kulikuwa na fake degree zilizopewq kibali na wizara
Alipokuja JPM , hyeti vingi fake mahospitalini na utumishi vilitoka Urusi, Cuba, Poland …… post nyingine ilibidi Ngosha aambiwe hawa wana experience sana ni bora kuwaacha

But daktari mzuri ni yule mwenye experience , Janabi has earned kwenye eneo la cardiac but hé is not cardiologist academically….. only by fellowship and professional registration

kwa sasa ni wakati ma cardiologist academically by post graduate ndio wakae mbele

Proffesional certificates walizosomea kina janabi zinalenga zaidi walio kazini with more experience . Kuna vitu vingi hawasomi as compared na wabobezi waliokaa class na kuipiga Cardiology as specilization
 
Mkuu, kwa maelezo yako haya, hakuna atakayepinga kwamba wewe siyo Daktari Mbobezi wa Watoto Njiti kwa sababu, uliofanya kwanza MMED (Paed) kisha Fellowship ya Neonatal.

Kwa Prof, hakuna mahali kwenye CV yake panaonyesha alifanya kwanza MMED (Internal Medicine) kabla ya kufanya Fellowship ya Moyo ili kuwa Daktari Mbobezi wa Moyo (Super Specialist) kama anavyotambulika. Na ndiyo Hoja ya mtoa mada.

Tujitahidi kumuelewa mtoa mada, kwa tija ya mjadala wetu na kunifanya jukwaa (JF) kuendelea kuwa kisima cha maarifa.

Naamini, wengi wataelewa ngazi/hatua za Taaluma ya Udaktari na baadhi yao kuhamasika kusoma Udaktari kwa namna moja ama nyingine.
Sheikh wangu watu kama nyie ndo huwa tunawataka JF. Unatoa hoja na Ilimu mujarab. Mashallah nimefurahishwa sana na uwasilishaji wako wa mada. Nami nakaa kitako hapa kuendelea kupata darsa na ilimu hii mujarab.
 
Sijui kama Ulichokiandika Umekisoma vizuri 🤣🤣🤣
Tuchukulie Mfano..
Mfano Mimi Ni Neonatologists
Nilifanya Neonatal fellowship Kwa Miaka Mitatu..
Baada ya Kupata MMED(Paed) degree ya Pili Au master Ya Miaka 3..

Kwahyo Fellow Huku Medicine tunairegard kama Degree ya tatu SO its equivalent na Phd Kama utakuwa Kwenye Track ya Proffesional ila Ulitoka kwenye proffesional Ndo unaweza ouchukua Degree ya Utawala ila ukibaki huku ndo unakuwa Super so Ma Super wote ni.Phd Holder..

Au Wanaitwa Wabobezi...
Ndugu yangu acha ubishi, PhD ni kitu kingine kabisa haina uhusiano wowote na hizo Mmed, Fellowship. PhD ni high academic degree, ni degree ya kifalsafa, ndio maana PhD hazifanani, kila mtu mwenye PhD maana yake ana degree ya kipekee yake, inabeba jina la kile alichokitengeneza kitaaluma yeye mwenyewe. Unasomea ili kutengeneza falsafa ya kuwezesha watu wengine kuja kusoma hicho kitu.

Hiyo ni tofauti kabisa na degree zingine za kitaalamu (Professional degree) kama Md au Mmed, ambapo unasoma ili kuwa mtaalamu wa kwenda kufanya majukumu fulani mahususi. Professional degree zinafanana, mnaweza kuwa watu 10000, wote mmesomea kitu hicho hicho, kuhitimu na kuwa na degree hiyo hiyo, mnafanana.

Huwezi ku equivalent degree ya tatu ya kawaida (professional) na Degree ya juu kabisa (Philosophy) yaani PhD.
 
Hapana Mkuu!
Janabi kafanya vyote..
Janabi kasoma MD, Mmed (Internal medicine Specified In tropical Medicine)

Kaja Akafanya Fellowship ya Cardiology Na akafanya reseaexh na study kibao mpaoa Kufikia Alipo We Jiulize Fellowship alifanya mwaka 2001 kama sijakosea sana Sasa Mpaka Leo study ngapi kafanya..

Mleta mada ana Chuki binafsi na Janabi nimewahi kueleza Humu kuhusu Janabi tangu mwaka jana
Kuna mtu kasema alikuwa discontinued kipindi hicho inaitwa Muchs under academic grounds ni kweli?
 
Walau wewe umeuliza vyema ninaweza kukujibu hasa huo mstari wa mwisho.

Mtu kufanya fellowship kuna miaka 2 ya kufanya clinical practice chini ya usimamizi wa wataalam na mwaka mmoja wa mwisho mtu hawi limited sana chini ya usimamizi na kama mtu anatambulika na taasisi kubwa za cardiology U.S mtu ataibukaje kusema sio mbobezi?

Ndio maana nimemuuliza katika uwiano wa ufamasia japo hakuelewa concept yangu standard za Tanzania hazifanani na US na ukija katika ubora mtu aliyefanya ubobezi US atachukuliwa kabla ya Tanzania.
Sawa mkuu kwahiyo unamaanisha kwa vigezo vya uko Marekani Prof. Janabi ni cardiologist. Je ndugu Zanzibar-ASP unakubali kuelewa hili?

Na vipi ndugu Matrix19 huyu Janabi hapa Tanzania anatambulika kama cardiologist kwa vigezo hivyo vya Marekani?
 
Hii Elimu yake inatusaidia nini kwa Kipindi hiki?

Jambo la Msingi aungwe Mkono.

Huu Upuuzi wa Elimu umebakia sana hapa kwetu Africa Mashariki.

Huko kwa Mabeberu kinachoangaliwa ni Uwezo wako Ku deliver.

Tuachaneni na Hizo mambo za Kuangalia Elimu , hazilijengi Taifa.
Acha uongo. Kwa mebeberu wapi ambapo mtu hajasomea field ya udaktari aitwa dr?sheikh wangu mbona wataka kutudanganya siye kama watoto? Laaaah....usifanye hivyo tuheshimu hata kidogo.
 
Hapana Mkuu!
Janabi kafanya vyote..
Janabi kasoma MD, Mmed (Internal medicine Specified In tropical Medicine)
Kaja Akafanya Fellowship ya Cardiology Na akafanya reseaexh na study kibao mpaoa Kufikia Alipo We Jiulize Fellowship alifanya mwaka 2001 kama sijakosea sana Sasa Mpaka Leo study ngapi kafanya..

Mleta mada ana Chuki binafsi na Janabi nimewahi kueleza Humu kuhusu Janabi tangu mwaka jana
Asante mkuu.

Je ndugu Zanzibar-ASP unaikataa hii Mmed Specified in Tropical Medicine ya Prof. Janabi? Ni batiri?

Au unamaanisha Mmed ya Tropical Medicine haifai kuwa ngazi ya Cardiology?
 
Yes mueleze kuwa Janabi amekuwq recognized kwenye eneo la cardias through professionnel certificates. Ila post graduate yake haikuwa huko nadhqn ndio alivokusudia mtoa mada

Wengi wanawasiwasi na elimu ya Janabi.

Miaka ile watu waliosoma Urusi, Poland, Algeria, Cuba…. Kabla ya TCU ….. verification ya degree zao zilikuwa ni issue hivyo kulikuwa kuna shida eneo hilo hasa kwenye authenticity ya elimu yao kulikuwa na fake degree zilizopewq kibali na wizara
Alipokuja JPM , hyeti vingi fake mahospitalini na utumishi vilitoka Urusi, Cuba, Poland …… post nyingine ilibidi Ngosha aambiwe hawa wana experience sana ni bora kuwaacha

But daktari mzuri ni yule mwenye experience , Janabi has earned kwenye eneo la cardiac but hé is not cardiologist academically….. only by fellowship and professional registration

kwa sasa ni wakati ma cardiologist academically by post graduate ndio wakae mbele

Proffesional certificates walizosomea kina janabi zinalenga zaidi walio kazini with more experience . Kuna vitu vingi hawasomi as compared na wabobezi waliokaa class na kuipiga Cardiology as specilization
Ninakuelewa But usisahau Fellowship ya Cardiology ni 3 -7 years na MMED ya Internal medicine specified in Tropical Medicine ilimpa Yeye Uwezo wa Kusoma fellowship..

Ila Kwa sasa anayezuia Tusiwe na Cardiologist wengi Ni MCT kwa sababu hawazitambui Degree nyingi za Cardiology mpaka Degree ya Tatu au Fellowship kuna vijana wengi tu wana Degree ya Pili ya Cardio..

Na Kuhusu Full Cardiologist Nakubaliana na weww Kw saaa Tunao wachache sana saaana kwa sababu sio Kozi ya Kitoto
 
Walau wewe umeuliza vyema ninaweza kukujibu hasa huo mstari wa mwisho.

Mtu kufanya fellowship kuna miaka 2 ya kufanya clinical practice chini ya usimamizi wa wataalam na mwaka mmoja wa mwisho mtu hawi limited sana chini ya usimamizi na kama mtu anatambulika na taasisi kubwa za cardiology U.S mtu ataibukaje kusema sio mbobezi?

Ndio maana nimemuuliza katika uwiano wa ufamasia japo hakuelewa concept yangu standard za Tanzania hazifanani na US na ukija katika ubora mtu aliyefanya ubobezi US atachukuliwa kabla ya Tanzania.
Narudia kuandika hapa mtu kufanya cardiology fellowship USA hakukufanyi kuwa Cardiac superspecialist popote pale duniani.
Kwa Tanzania utaratibu wa MCT uko wazi, ni lazima kwanza uwe na Mmed ya internal medicine (au Paediatric ikiwa utahusika na watoto) kabla ya kutaka kusomea ubobezi wa moyo. No shortcut.
 
Walau wewe umeuliza vyema ninaweza kukujibu hasa huo mstari wa mwisho.

Mtu kufanya fellowship kuna miaka 2 ya kufanya clinical practice chini ya usimamizi wa wataalam na mwaka mmoja wa mwisho mtu hawi limited sana chini ya usimamizi na kama mtu anatambulika na taasisi kubwa za cardiology U.S mtu ataibukaje kusema sio mbobezi?

Ndio maana nimemuuliza katika uwiano wa ufamasia japo hakuelewa concept yangu standard za Tanzania hazifanani na US na ukija katika ubora mtu aliyefanya ubobezi US atachukuliwa kabla ya Tanzania.
Mkuu, asante sana kwa ufafanuzi wako. Pamoja na ufafanuzi mzuri, naomba kuuliza maswali machache ya nyongeza kama ifuatabyo:-

1. Tanzania, kupitia MCT, tunafuata vigezo (standards) za Taifa gani?

2. Kufanya Fellowship ya Moyo kwenye Taasisi kubwa za Cardiology za US peke yake, kuna tosha kumfanya Prof kuwa Daktari Mbobezi wa Magonjwa ya Moyo?

3. Na kama Prof hajatambulika na MCT kama Daktari Mbobezi wa Magonjwa ya Moyo, kwa nini?
 
Ndugu yangu acha ubishi, PhD ni kitu kingine kabisa haina uhusiano wowote na hizo Mmed, Fellowship. PhD ni high academic degree, ni degree ya kifalsafa, ndio maana PhD hazifanani, kila mtu mwenye PhD maana yake ana degree ya kipekee yake, inabeba jina la kile alichokitengeneza kitaaluma yeye mwenyewe. Unasomea ili kutengeneza falsafa ya kuwezesha watu wengine kuja kusoma hicho kitu.

Hiyo ni tofauti kabisa na degree zingine za kitaalamu (Professional degree) kama Md au Mmed, ambapo unasoma ili kuwa mtaalamu wa kwenda kufanya majukumu fulani mahususi. Professional degree zinafanana, mnaweza kuwa watu 10000, wote mmesomea kitu hicho hicho, kuhitimu na kuwa na degree hiyo hiyo, mnafanana.

Huwezi ku equivalent degree ya tatu ya kawaida (professional) na Degree ya juu kabisa (Philosophy) yaani PhD.
Nimekuelewa Mkuu
 
Mara baada ya Rais Samia kutangaza kumpigia debe Professor Janabi ili kuiwakilisha Tanzania kwenye kinyang'anyiro cha ukurugenzi mkuu wa WHO kanda ya Afrika, watu wenye akili kubwa ikabidi waingie chimbo kufukua file lenye kubeba wasifu mbali mbali kumhusu Profesa Mohamed Janabi ili kuona ana kipi cha kielimu na kisayansi, na sasa imekuja kugundulika kuwa, kumbe mwamba hakuwahi kusomea udaktari bingwa wowote (Mmed) achilia mbali udaktari bingwa wa moyo (Cardiologist) na wala hana sifa zozote stahiki za kibingwa kutibu moyo.

Na kwa mifumo ya mamlaka za usimamizi wa fani ya utabibu hapa Tanzania (Medical Council of Tanganyika), daktari asiyekuwa na sifa za kibingwa za fani huzika haruhusiwi kutoa matibabu ya kibingwa moja kwa moja kwa mgonjwa, na kwa tafsiri ya moja kwa moja, Professor Janabi hakuwahi popote moja kwa moja kutibu kibingwa moyo, na kama aliwahi kufanya hivyo anastahili kushtakiwa kwenye baraza la madaktari kwa kutenda kosa la kimaadili katika fani ya udaktari.

Hapa chini nimeambanisha wasifu wa Professor Janabi wa kidaktari unaotambulika na mamlaka za usimamizi wa taaluma ya udaktari hapa Tanzania (MCT).

Mwisho kabisa, MCT wanatakiwa kutoa maelezo kwa umma, kwa hicho ulichowahi kusomea Professor Jababi (Masters of tropical health) ambacho hakina sifa yoyote ya udaktari bingwa wa moyo (maana mhitimu yoyote wa fani ya afya anaweza kusomea), kinampaje sifa mhusika kuwa daktari bingwa wa moyo?

View attachment 3173753
Hizi taarifa amekupa Dr. Kisenge wa hapo JKCI kwa sababu ya tamaa zake.. ili uje umchafue janabi Jamiiforum kwa sababu hajapendekezwa yeye
 
Proffesional certificates walizosomea kina janabi zinalenga zaidi walio kazini with more experience . Kuna vitu vingi hawasomi as compared na wabobezi waliokaa class na kuipiga Cardiology as specilization
Mtu anaye maliza MD anapata basic knowledge ya kila eneo. MMED, ana 'focus' kwenye eneo maalum; kama hiyo cardiology; huyu pia ili kutambuliwa hivyo inabidi awe 'certified' mara kwa mara kwa kufanya mitihani na taratibu za eneo hilo ili aendelee kuwa upto date na yanayo endelea huko
 
Asante mkuu.

Je ndugu Zanzibar-ASP unaikataa hii Mmed Specified in Tropical Medicine ya Prof. Janabi? Ni batiri?

Au unamaanisha Mmed ya Tropical Medicine haifai kuwa ngazi ya Cardiology?
Nakusahihisha.
Professor Janabi alifanya Msc in Tropical health (ambayo mhitimu yoyote wa kada ya afya anaweza kufanya, sio lazima awe Md) na hakufanya Mmed of Tropical medicine.
Msc of tropical health sio sawa na Mmed.
 
Back
Top Bottom