Ni kweli kwamba Profesa Janabi hajawahi kusomea wala kuwa Daktari Bingwa wa Moyo?

Ni kweli kwamba Profesa Janabi hajawahi kusomea wala kuwa Daktari Bingwa wa Moyo?

Hivi wewe kwa akili yako, kuna chuo kikuu hapa kwetu ambacho kinaweza kumpa mtu cheo cha mhadhiri (lecturer) na mtu huyo akapanda vyeo hadi kuwa profesa, bila kuwa na elimu ya MMed or equivalent? Yaani unaamini chuo kikuu chetu cha udaktari (MUHAS) kilifanya hivyo kwa Dr Janabi? Kama ni hivyo basi kinapaswa kufutwa kwenye orodha ya vyuo vikuu nchini na duniani.

Tatizo lako ni kwamba hujui kuwa MMed ni equivalent to PhD degree. Terminology ya MMed ni ya hapa kwetu tu, kwingineko duniani hakuna neno kama hilo, kuna PhD tu.
Mbona akina Dr Ben Carson wamesoma Yale University US, lakini wana MD, Mmed(Paed), Phd. Tena ni ma Neurosurgeon
 
Sio nakupiga kamba, nenda popote katika hii nchi kaulize madaktari watakwambia hichi kitu.
Mhitimu (fresh from university) wa udaktari wa binadamu (Md) aliyehitimu USSR ya zamani, Russia ya sasa, Ukraine, China au India hana uwezo kamili wa kutibu mgonjwa kumkaribia mhitimu wa hapa Tanzania hususani kutoka Muhimbili. Na siri ni moja tu, daktari mwanafunzi, tena mgeni kutoka afrika, halafu mwenye ngozi nyeusi hawezi kupewa nafasi kamili ya kujifunza kwa kutibu (clinical practice) kwenye mwili wa mzungu (mrusi), mchina au mhindi.
Usipende kuandika mambo usiyoyajua, mimi nimesoma Kharkov mji aliosoma Prof Janabi miaka ya 90 katikati mpaka 2000 mwanzoni, na masuala ya medicine ya Ukraine ninayaelewa japo sio kwa kina.

Sio kweli kwamba mwili wa mzungu hauguswi na doctor mweusi, umeandika pumba tupu, yaani bull shit.

Punguza siasa za chuki humu mitandaoni, huyo mtu anayekutuma umchafue Prof Janabi mwambie atafute shughuli nyingine ya kufanya imuingizie kipato sio kuishi kwa kuchafua CV za watu.
 
Dah Unaamini Kwamba Janabi sio Daktari Bingwa..
Kweli leyman Wakiweza Kuandika wanaandika Vitu vinakeera...

Kama Mnamchukia Samia Mchukieni Ola msichukie Fani ya Kidaktari na Kuanza kuleta Dharau soon Mnanitafutia Bann Naona kabisa
Dr Mambo, watanzania ni jamii fulani ya kipumbavu sana, ni kuwavumilia tu. Kila mtu anajaribu kuidharau taalum ya mtu wakati hana uwezo wa kusoma medicine hata mwaka wa kwanza akaufaulu.
 
Nimecheck insta yake nadhani kaifuta
CV imeondolewa Instagram ingawa watu wamesha download! Kwanini Prof Janabi ameiondoa CV aliyoiweka mwenyewe ktk kuanza kampeni ya safari yake ya WHO! Je! Ni kweli kuna mambo hayako Sawa? Tunasubiri alete mpya tulinganishe!!!

Narudia tena kama TAIFA tunaenda kupambana na Africa nzima! Muda huu wameshachambua kila kitu kwenye taaluma ya mgombea wetu! Ni vyema busara itumike nchi isiingie
Ktk kashfa!!

Huu ni ushauri TUU ktk kuendelea kuiheshimisha mamlaka yetu tukufu! Inawezekana hii CV iliyofutwa ndiyo ilipelekwa kwa Rais na kwa kweli ilikuwa appealing!!

Queen Esther
 
CV imeondolewa Instagram ingawa watu wamesha download! Kwanini Prof Janabi ameiondoa CV aliyoiweka mwenyewe ktk kuanza kampeni ya safari yake ya WHO! Je! Ni kweli kuna mambo hayako Sawa? Tunasubiri alete mpya tulinganishe!!!

Narudia tena kama TAIFA tunaenda kupambana na Africa nzima! Muda huu wameshachambua kila kitu kwenye taaluma ya mgombea wetu! Ni vyema busara itumike nchi isiingie
Ktk kashfa!!

Huu ni ushauri TUU ktk kuendelea kuiheshimisha mamlaka yetu tukufu! Inawezekana hii CV iliyofutwa ndiyo ilipelekwa kwa Rais na kwa kweli ilikuwa appealing!!

Queen Esther
Nimefanikiwa kuiona inakurasa (page) 18 .

Nahisi ndio itakuwa hiyo nahisi kaiondoa maana imekua mapema Sana kufanya hivyo labda
 
Hii imetengenezwa ili kufit WHO?
20241211_101653.jpg
20241211_101701.jpg
20241211_101703.jpg
20241211_101708.jpg
20241211_101711.jpg
20241211_101717.jpg

20241211_101726.jpg

20241211_101720.jpg

20241211_101728.jpg
20241211_101737.jpg

20241211_101735.jpg

20241211_101744.jpg

20241211_101747.jpg
20241211_101751.jpg
20241211_101754.jpg
20241211_101801.jpg
 
WHO utata huu,umefika😂 hata kabla hajaomba nafasi husika

Pia WHO wanajiuliza,mteule wao ambaye alikuwa hajaripoti kazini alipatwa nani?
Na kabla ya kwenda India kutibiwa alitibiwa hospital ipi hapa Tz?
Na no nani mkuu wa Hospital hiyo?
Maswali huko WHO ni mengi kuliko majibu
 
WHO utata huu,umefika😂 hata kabla hajaomba nafasi husika

Pia WHO wanajiuliza,mteule wao ambaye alikuwa hajaripoti kazini alipatwa nani?
Na kabla ya kwenda India kutibiwa alitibiwa hospital ipi hapa Tz?
Na no nani mkuu wa Hospital hiyo?
Maswali huko WHO ni mengi kuliko majibu
Maamuzi ya mtu kwenda kutibiwa sehemu Fulani ni maamuzi binafasi hayahusiani na Taifa. Wewe unaweza kuamua uende kutibiwa hospital Fulani na hakuna atakaekupangia au kukukataza ikiwa hospital hiyo haipo katika level ya kuhudumia tatizo lako au haina vifaa tosha au watalamu tosha watakupa Referral (rufaa) uende sehemu nyingine..

Karibu kutumia uelewa usilete Chuki za Ajabu
 
Tatizo Kubwa Linakuja kuwa Muundo wa Afya Tanzania Hautambui Mchanganyiko ama Course inayoitwa MMED (Internal Medicine Specified In Tropical disease) ila wanaitambua tu ni Kama MSc In Tropical D'se..
Kitu ambacho kwa Tanzania Kinampa Ubingwa Kwenye Tropical Disease Peke yake na wala Hakumpi Ubingwa kwenye Magonjwa yote ya Ndani..

Kwa Tanzania (Muundo ma kanuni za MCT) Atakosa Sifa ya Moja kwa Moja Kusoma Fellowship ya Cardiology ila kwa Nje Anayosifa Hiyo kwa kuwa wanatambua Course hiyo..

Shida Kubwa ni Muundo Maana Tanzania Hawaitambui kama MMED inakosa Sifa Kuwa MMed ila Wanaitambua kama MSc..
Hapo nimekupata mkuu. Uwiano unakosekana sometimes, mwenyewe kuna sister alinipa vyeti vyake nifuatilie ile taasisi iko karibu na ikulu. Ngazi walizoweka ni changamoto yeye hajafuata hizo, kwanza kasoma mtaala wa kimataifa, hajaenda A level, kasoma nje ya nchi ngazi zote alafu chuo kasomea Wuhan, China.

Mpaka wanakuja kugrade udaktari wake wa meno sijui walifanyaje.
 
Hivi wewe kwa akili yako, kuna chuo kikuu hapa kwetu ambacho kinaweza kumpa mtu cheo cha mhadhiri (lecturer) na mtu huyo akapanda vyeo hadi kuwa profesa, bila kuwa na elimu ya MMed or equivalent? Yaani unaamini chuo kikuu chetu cha udaktari (MUHAS) kilifanya hivyo kwa Dr Janabi? Kama ni hivyo basi kinapaswa kufutwa kwenye orodha ya vyuo vikuu nchini na duniani.

Tatizo lako ni kwamba hujui kuwa MMed ni equivalent to PhD degree. Terminology ya MMed ni ya hapa kwetu tu, kwingineko duniani hakuna neno kama hilo, kuna PhD tu.
Mkuu, kwani tumekukosea nini? Mbona unajaribu kutupiga kamba nyepesi hivyo? We huogopi?
Hii ni Harvard
IMG-20241211-WA0015.jpg
 
Back
Top Bottom