Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama umesoma kwa makini nimeeleza sina lengo la kunyanyapaa mtu.Uzi unalenga kuhamasisha vijana wachukue hadhariHuu uzi umejaa unyanyapaa wa hali ya juu sana.........mtoa mada jua kwamba ipo siku utakua kama wao.........kama sio wewe basi hata ndugu zako
Sio kweli kabisa mkuu, Mimi natumia Arv na sipo hivyo kabisaMidomo inakua kama mlevi wa gongo...
Inabadilika rangi na kua btn purple and pink...inakua kama imeungua.
Ni kweli wengi hujikusanya hivyo.ukitaka sababu mkusanyiko huo pm kwa elinu zaidHiyo nyama inajikusanya hapo View attachment 1083179
Daaahh pole sana mkuu!!na hongera kwakujikubali.Sio kweli kabisa mkuu, Mimi natumia Arv na sipo hivyo kabisa
Daaahh pole sana mkuu!!na hongera kwakujikubali.
Macho
Ngozi
Harufu
Pia Namna ambavyo jasho linaonekana katika ngozi yake kusweat kwake sio kwa kawaida kawaida.
Ila walau uwe umekaa mazingira ya kukutana nao mara kwa mara
nilikuwepo mahali na volunteer kuhusu haya mambo
nilijua mengi sana,
Pia kama wale ambao nivitengo vyao wao wakikuona tu aiseee anakupima akurizishe but anajua tayari
Haya niliyoyaongea ni kwa wale tu ambao wamekwisha anza kutumia arv ama madhara yamekwisha onekana tayari
ila wale wanaumwa halafu hawajaanza kutumia dawa na kinga ziko juuu
Ni jambp haliwezekani, ila kinga zikianza kupungua ngozi na utokaji wa majasho utamsemelea tu
Utafika tu huko mkuu hawa nilio wasema wao ni wazoefu wa kumeza ARV!Sio kweli kabisa mkuu, Mimi natumia Arv na sipo hivyo kabisa
Sio kweli maana kuna baadhi ya watu wametumia Arv kwa zaidi ya miaka kumi na hawapo kama unavyosemaUtafika tu huko mkuu hawa nilio wasema wao ni wazoefu wa kumeza ARV!
Wale walikuwa wakipata ugonjwa wanakauka unaweza kumbeba kwenye mfuko wa rambo hakuna tena siku hiziKwamba hakuna UKIMWI?unathibitishaje mdau
Shabaha ya huu uzi ni unyanyapaa.Sie wote ni watumia ARV watarajiwa.La kufanya ni kuacha ngono, kuwa na mpenz mmoja au kutumia mpira.Mkuu hatulengi kunyanyapaa kuna wimbi la vijana kutotilia maanani suala la hili janga sasa tunakumbushana angalau initial signs kabla mtu hajaingia mkenge maana wengine wanafanyisha ngono zembe ilhali wanajijua wameukwaa.
Umeongea vizuri nisamehe kwa kunyanyapaa japo sio lengo langu,inawezekana nimefeli tu namna ya uwasilishaji wa swali langu kupitia hii sledi tukuka.Shabaha ya huu uzi ni unyanyapaa.Sie wote ni watumia ARV watarajiwa.La kufanya ni kuacha ngono, kuwa na mpenz mmoja au kutumia mpira.
Si kila unaloambiwa liko sawa,mengine unadanganywa...Kwa namna afya zao zinavyokuwa bora?
Naomba izingatiwe kwamba sina nia ya kuwanyanyapaa ndugu zangu wanaoishi na VVU. Ila nimesikia kwamba ukiona mtu ana mkono mnene na kinundu juu ya kiwiko cha mkono anatumia hizi dawa. Kuna ukweli wowote? Maana kuna baadhi wasio waaminifu wanasambaza virusi kwa maksudi.
Inadaiwa kwamba hapo kwenye arm wrinkle panakuwa na nyama imejikusanya fulani hivi.