Katiba inamzuia kuajiriwa tena ....wala kuteuliwa sehemu yeyote serikalini labda privatemm mkristo, ila sehem nyeti za uongozi zikishililiwa na waislamu maisha yanakuwa ya haki na mazuri..
ijapo sio wote though
mwinyi ali hassan, kikwete now samia
namkumbuka prof Assad pia, hiki chuma kwann wasikipangie majukumu mengine?
Kisa tamaaa na ulevi wa madarakaWayasweke tu, yalitesa na kuua watu wasio na hatia kisa siasa !!
ana kipi hadi hasiwezekane??? ana kesi ya kumteka MO na za mahuajiMakonda hawatamweza, nawahakikishieni wakuu.
ibadilishwe tu hiyo katiba hasa hilo eneo, mbona ilikuwa inawezekana kubadili rais aongoze bila kikomo?Katiba inamzuia kuajiriwa tena ....wala kuteuliwa sehemu yeyote serikalini labda private
Asad yupo zake Muslim university of Morogoro katulia tu..ni DVC finance..Nilikutana nae Jana.mm mkristo, ila sehem nyeti za uongozi zikishililiwa na waislamu maisha yanakuwa ya haki na mazuri..
ijapo sio wote though
mwinyi ali hassan, kikwete now samia
namkumbuka prof Assad pia, hiki chuma kwann wasikipangie majukumu mengine?
Askari mdogo Shona utulie ushuhudie vile mama anavyolenga range majambazi washirika wa mwendakuzimu.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]dose dose.
tamthiria hii iko mwanzo kabisaa.