Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
WakuuMzee Canal Metili (78) akikata keki na mkewe (27) tarehe 08/01/2022 Nyumbani kwake llboru-Arusha
.
Hii ni kama Mzee Wangu Anatafuta Kifo Mapema Huyu.
.
Huyu Mzee Yuko Kwenye hostile environment [emoji3][emoji3][emoji3].
.
Yakishampata asije akaja na Law of the jungle survival for the fittest.
.
Akiweza kuhimili mikiki ya Huyo Binti basi ata delivery zitaonekana kwa naked eyes.View attachment 2078428
Sent using Jamii Forums mobile app
Ulaya sawa,Afrika hapana.Je kuoa mwanamke 38 mwanamume 28 hii imekaaje
Sina uhakika kwa sababu mm sio mdada, ila unaweza kunijibu kwa nn mimama siku hizi inakimbilia kwa vijana huko kwa wazee kuna nn?Kuna show za wazee kali kuliko vijana.Uliza wadada
Mzee Apate Tiba, Unamuona Kapuya Anapeta Anakula Koronya Lainimuache mzee atibiwe presha na sukari hapo....
Tatizo wavulana wanajifanya wanajua show za wazee kuzidi wadada hapa JFKuna show za wazee kali kuliko vijana.Uliza wadada
Hamtaki mzee afurahie siku za mwisho mwishoWakuuMzee Canal Metili (78) akikata keki na mkewe (27) tarehe 08/01/2022 Nyumbani kwake llboru-Arusha
.
Hii ni kama Mzee Wangu Anatafuta Kifo Mapema Huyu.
.
Huyu Mzee Yuko Kwenye hostile environment [emoji3][emoji3][emoji3].
.
Yakishampata asije akaja na Law of the jungle survival for the fittest.
.
Akiweza kuhimili mikiki ya Huyo Binti basi ata delivery zitaonekana kwa naked eyes.View attachment 2078428
Sent using Jamii Forums mobile app
Tupe experience AiseeeehKuna show za wazee kali kuliko vijana.Uliza wadada
Daaah Mwanangu mm Nina Demu ana 45 na natembea na watt wake Wa kike wa2 ambapo mmoja ana 26yrs mwingine ana 24yrs.Je kuoa mwanamke 38 mwanamume 28 hii imekaaje
Daaaaa unapiga familia nzima aiseeDaaah Mwanangu mm Nina Demu ana 45 na natembea na watt wake Wa kike wa2 ambapo mmoja ana 26yrs mwingine ana 24yrs.
Wa kwetu Umri ni Namba mambo mengine yanaenda Sawa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kizazi Tu Mzee Wangu [emoji3][emoji3]Daaaaa unapiga familia nzima aisee
Asante kwa uthibitishoKuna wazee wako vizuri kwenye 6x6 kuliko vijana
Wajuaje
Mfano hai ni ule wa Marehemu Reginard Mengi.Hakuna kitu hapo.
Hao wawili wana malengo tofauti kabisa. Wakati baba akidhani atamalizia vizuri (raha mustarehe) kwa kubeba mrembo , mwenziye anawaza mirathi wala si raha ya ndoa. Mifano ipo mingi
Acha tu,Kuna wazee wanasimamia ukucha tofauti na umri wao mpaka unafurahi.Na vijana wengine hawana maujanja hayo..Tatizo wavulana wanajifanya wanajua show za wazee kuzidi wadada hapa JF
mkuu ongeza sauti kidogo kuna kuku hua haziskii humu...Tutafute fedha tu. Mambo Mengine yatajiset yenyewe.