Ni kweli Marekani anafadhili vikundi vya kigaidi?

Ni kweli Marekani anafadhili vikundi vya kigaidi?

Naona mnajitafuta wavaa makobazi
Ikawaje marekani walimuua osama?
Marekani ndio mdumisha amani dunia nzima.
 
Na kama ni kweli, kwa nini dini yetu itumike kama kificho cha ugaidi? Kuna udhaifu gani katika mafundisho mtume wetu Mohamed ?
 
Jibu linaweza kua kweli ama hapana inategemea na reasoning na proofs
 
Back
Top Bottom