Afrocentric view
JF-Expert Member
- Jun 19, 2022
- 1,374
- 2,280
Leo msikitini tumeambiwa kuwa Marekani ndio mfadhili mkuu wa vikundi vya kigaidi kama ISIS, Al qaeda, Al shabaab, Uamsho na wengineo.
Je, wajuvi wa haya mambo, ni kweli?
Ijumaa Karim.
Je, wajuvi wa haya mambo, ni kweli?
Ijumaa Karim.