Blackcornshman
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 6,514
- 15,701
Uzuri wao Wamerakani hata ukiwaita wachawi hawakukamati wala kukushitaki, wao wanataka wese na madini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahyo hakuna Objective truth?Jibu linaweza kua kweli ama hapana inategemea na reasoning na proofs
Wanasema Quran na Hadith zinapotoshwa ili kuwahadaa vijana wasio na ajira kujiunga Kwenye ugaidiHivyo vikundi vinapigana sababu ya mafundisho ya quran, hadithi na sunnah..
Labda tuseme mmarekani ndie alietunga hizo quran, hadithi na sunnah
Hakuna mkuu,Ebu izungumzie Russia tuone je anafadhili ama lah?!!Kwahyo hakuna Objective truth?
Kwahyo wewe huamini katika ukweli?Hakuna mkuu,Ebu izungumzie Russia tuone je anafadhili ama lah?!!
Mfano tu ,wew BBC unaiamin katika ukweli ama uwongo?Kwahyo wewe huamini katika ukweli?
Achana na BBC...kwani huko Duniani kwenye reality...Kuna ukweli usiofata mawazo ya watu wala propaganda?Mfano tu ,wew BBC unaiamin katika ukweli ama uwongo?
Ukweli ni upi?Sio kweli usikubali kulishwa chuki
Soma Kitabu kimoja kinaitwa Jews consiprancLeo msikitini tumeambiwa kuwa Marekani ndio mfadhili mkuu wa vikundi vya kigaidi kama ISIS, Al qaeda, Al shabaab, Uamsho na wengineo.
Je, wajuvi wa haya mambo, ni kweli?
Ijumaa Karim.
Kinasemaje?Soma Kitabu kimoja kinaitwa Jews consipranc
[emoji16]Mmmh huyo aliyesem hvy akikamatwa akibanwa kengele atasem ameonew au anatutafutia lawam wamarekan tuonekan wabaya
Kwa tabia ya Marekani ,kwangu nasema ndioLeo msikitini tumeambiwa kuwa Marekani ndio mfadhili mkuu wa vikundi vya kigaidi kama ISIS, Al qaeda, Al shabaab, Uamsho na wengineo.
Je, wajuvi wa haya mambo, ni kweli?
Ijumaa Karim.