Afrocentric view
JF-Expert Member
- Jun 19, 2022
- 1,374
- 2,280
Mmmh huyo aliyesem hvy akikamatwa akibanwa kengele atasem ameonew au anatutafutia lawam wamarekan tuonekan wabayaLeo msikitini tumeambiwa kuwa Marekani ndio mfadhili mkuu wa vikundi vya kigaidi kama ISIS, Al qaeda, Al shabaab, Uamsho na wengineo.
Je wajuvi wa haya mambo, ni kweli?
Ijumaa Karim.
Kwahyo nan sasa anafadhili ugaidi?Sio kweli labda ungesema inafadhili vikundi vya kishoga.
Wanasema Osama alikuwa CIANaona mnajitafuta wavaa makobazi
Ikawaje marekani walimuua osama?
Marekani ndio mdumisha amani dunia nzima.
Shida sio quran, shida ni uhalisia....wewe unaonaje?Unataka kusema anatumia Quran tukufu kuwafakaranisha/kuwafitinisha ?
mambo mengine nikiandika hapa nitatangaziwa fatwa.Shida sio quran, shida ni uhalisia....wewe unaonaje?
Shida sio quran, shida ni uhalisia....wewe unaonaje?
SahihiWanasema Osama alikuwa CIA
Wavaa kobaz hamjawahi kuwa na akiliLeo msikitini tumeambiwa kuwa Marekani ndio mfadhili mkuu wa vikundi vya kigaidi kama ISIS, Al qaeda, Al shabaab, Uamsho na wengineo.
Je wajuvi wa haya mambo, ni kweli?
Ijumaa Karim.
Sio kweli labda ungesema inafadhili vikundi vya kishoga.
Ugaidi una fadhiliwa na vikundi vya jamii husika.Kwahyo nan sasa anafadhili ugaidi?
DuuuHivyo vikundi vinapigana sababu ya mafundisho ya quran, hadithi na sunnah..
Labda tuseme mmarekani ndie alietunga hizo quran, hadithi na sunnah