Mulangila Mukuru
JF-Expert Member
- Feb 24, 2010
- 1,945
- 728
ngoja nikajaribu ya wyf halafu nitakuja kutoa majibu
waliowahi kunyonya wanakuja...
kama ni sumu hutatuambia chochote, utakuwa mgonjwa sana au umeshakufa...LoL...ingekuwa ni sumu wengi tumeshakufa manake wakati wa kutudu ukimwandaa wife ukapitisha mdogo kwenye chuchu ingredients fulani za maziwa hutoka na wengi huwa hawazitemi.
waliowahi kunyonya wanakuja...
Nimeshawahigi kuskia mibaba bar inasifia haya maziwa yalivyo matamu.
Sasa sipati picha wanakaa mkao gani wakiyanywa. Wanakamuliwa ama wanakunywa straight from the source??
Sina uhakika ila nakumbuka mke wangu alipoacha kunyonyesha ziwa lake moja liliendelea kutoa maziwa kama miezi 4 hivi zaidi na wakati nikimnyonya yalikuwa yanatoka na nayanywa tu bila shida yeyote.
Ulifaidiiiii dah!!!
mi nliwahi sikia mtu aliharisha baada ya kunywa hayo maziwaHi JF Doctor!
Jamani mara nyingi nimekuwa nikisikia kuwa ikitokea mtu mzima akanywa maziwa ya mama anayenyonyesha huwa anapatwa na tatizo la kunyofoka nywele na kukonda kupita kiasi,
je jambo hili ni kweli? na kama ni kweli kwanini?
Lol!!!Ndo maana mibaba mingi ina vipara?
Sana na hata yalipoanza kukauka nikawa sina hamu tena kunyonya maziwa yake ingawa ndiyo hivyo inabidi kunyonya tu sometime ili kumuongezea nye.ge!