Mbangubangu
Senior Member
- May 6, 2013
- 188
- 69
Mbu ni hatari sana katika maisha yetu. wanaambukiza Malaria,Mabusha na matende.je ni kweli tumeshindwa kuwamaliza.vp kama serikali ingegawa dawa then itengwe siku moja maalumu kwa kufanya usafi na kupuliza/kumwaga dawa za kuua mbu nchi zima?