Sidhani. Wengi ninaowaona hapa, tunafahamiana muda mrefu tu hapa JF, najua ni watu objective sana. Sioni kama kuna hoja ya udini hasa.Hapa kuna hisia za kidini zimejificha kwenye accusations and counteraccusations, I am sure.
Kitendo cha kutokuwa chini ya..Sasa je kuna maboresho yoyote yenye tija ambayo TRA toka kuanzishwa kwake imeyatekeleza au ni bora awali
Shukran sana Mkuu..Wote Mkapa na Kikwete hawasemi ukweli ulio kamili. Nitaeleza chimbuko la TRA na mchango wa kila mmoja katika nafasi aliyokuwa nayo wakati huo.
TRA ilitokana na makosa aliyofanya Profesa Kighoma malima wakati akiwa waziri wa fedha, na kikwete akiwa Naibu waziri wa fedha; Malima alikuwa akitoa misamaha mingi ya kodi, na vile vile akasemekana kuwa ana account maalumu ya Waziri wa Fedha huko London. Wakati huo Tanzania ilikuwa inapokea mikopo mingi sana kutoka IMF na World Bank. Mwaka 1993 World bank ikasitisha kutoa mikopo hadi kuhakikisha kuwa Tanzania inasimamia kodi zake vizuri na vile vile inatumia fedha za mikopo na misaada vizuri; mojawapo ya masharti yalikuwa ni kumwondoa Malima kutoka Wizara ya fedha, na vile vile kufanya kazi ya ukusanyaji kodi isiingiliewe na wanasiasa, bali kuwepo na chombo huru cha kukusanya mapato ya serikali.
Hatua ya kwanza katika kutekeleza masharti hayo ilikuwa ni Mwinyi kumfukuza kazi Profesa malima, ndipo Kikwete akapanda kuwa waziri wa fedha, nadhani mwishoni mwa mwaka 1993 au mwanzoni mwa mwaka 1994. Through process hiyo, ile account ya Waziri wa fedha iliyokuwa London ambayo ilikuwa na signatory mmoja tu (Prof malima) nayo ikawa frozen. Inasemekana sababu kubwa ya ya kifo cha profesa ilikuwa ni ule mshituko alipokwenda London na kukuta hana pesa; wakati huo hakukuwa na mtandao kama leo.
Hatua ya pili ilikuwa ni kuundwa kwa Taasisi ya kukusanya pesa na vile vile kujenga utaratibu wa kukusanya kodi kwa mfumo wa computer. World Bank ilileta wataalamu katika kusaidia uundwaji wa TRA na vile vile kufundisha maafisa wa kodi namna ya kukusanya kodi kwa njia ya Computer. Hayo yalianza mwishoni mwa mwaka 1994 na muundo wa TRA ukakamilika mwishoni mwa mwaka 1995. Baada ya maandalizi ilipofika mwishoni mwaka huo wa 1995 au mwanzoni mwa 1996 ndipo TRA ikazinduliwa.
Kwa hiyo muasisi mkubwa wa TRA siyo kikwete wala Mkapa bali ni World Bank. Kikwete alikuwapo kama waziri wa fedha mwaka 1994-95 wakati wa mchakato wa TRA unaendelea; halafu Mkapa aliizundua TRA akiwa rais mwishoni mwa mwaka 1995 au mwazoni mwa 1996.
Na hii kama nakumbuka, alienda marekani akashauriwa afute kodi ya kichwa aanzishe vat kwenye bidhaa zoteMkapa ndiye aliye introduce kodi ya VAT nadhani mwaka 1997.
Ndo MKAPAUko sawa kabisa. Kodi Nchini zilikuwa zinakusanywa hata wakati wa Mwalimu labda waseme tu walibadili jina na kuwa TRA. Sijui aliyebadili jina ni nani.
Marehemu anasingiziwa mambo mengi sanaNi vizuri kukawepo na ukweli zinapoandikwa historia za Viongozi wetu na historia ya nchi yetu Kwa ujumla..
Nimesikia mara kadhaa watu wakisema Rais Magufuli kajenga daraja la Kigambon na nabaki na maswali mengi..
Sasa hili la Mkapa kuunda TRA pia linanitatiza sana ..kivipi?
Nimemsikia mara kadhaa Rais mstaafu Kikwete akisema aliunda TRA alipokuwa waziri wa fedha wakati Rais ni Mwinyi..
Na alisema alienda Uganda nafikiri kupata uzoefu wao WA URA..na wapo waliokuwa wanamshauri vinginenevyo..
Ifahamike wakati Rais Mwinyi anamteua Kikwete kuwa waziri wa Fedha hata uchaguzi wa ndani wa CCM wa mgombea ulikuwa bado na hakuna aliekuwa anajua kama Mkapa au anyone atakuja kuwa Rais wa Tanzania miezi michache baadae...
Binafsi nafikiri kuna 'watu wanaostahili' credit za kuunda TRA lakini hawatajwi..
Hata Kikwete probably alikuta 'process' IPO tayari akafanya kuiongeza nguvu..
Na Mkapa alipokuwa Rais miezi michache later 'ikawa rasmi'...
Kusema Mkapa aliunda TRA sio sawa..
Na hata Kusema Kikwete aliunda TRA pia sio Sahihi..labda tuseme Mwinyi? Au
'wataaalam wetu wa wizara ya Fedha'
Ambao hawatajwi na kuacha wanasiasa kubeba credits ambazo sio zao?..
Ni Sawa na kusema Mkapa alianzisha DSE
Au UTT wakati nimewahi msikia Mtaalam mbobezi na first CEO wa DSE na first CEO wa UTT akisema alikuwa anaenda waeleza
Viongozi kuhusu UTT hawaelewi kitu..wanamshangaa..hata DSE walikuwa wanasema nchi bado haipo tayari...
Sijui Yuko wapi Hamis Kibola Leo hii na kama kuna mtu hata anamtaja kama
'The brain behind DSE na UTT....
Swali linabaki pale pale je Mkapa ndo aliunda TRA?
Ingia kwenye website ya TRA utaona ilianza lini, kwa kurahisisha ni kuwa TRA ilianzishwa mwaka 1996 , na mwaka uliofuata yaani 1997 ikatungwa sheria ya VAT ambayo ilianza kutumika tarehe 1.7.1998Ni vizuri kukawepo na ukweli zinapoandikwa historia za Viongozi wetu na historia ya nchi yetu Kwa ujumla..
Nimesikia mara kadhaa watu wakisema Rais Magufuli kajenga daraja la Kigambon na nabaki na maswali mengi..
Sasa hili la Mkapa kuunda TRA pia linanitatiza sana ..kivipi?
Nimemsikia mara kadhaa Rais mstaafu Kikwete akisema aliunda TRA alipokuwa waziri wa fedha wakati Rais ni Mwinyi..
Na alisema alienda Uganda nafikiri kupata uzoefu wao WA URA..na wapo waliokuwa wanamshauri vinginenevyo..
Ifahamike wakati Rais Mwinyi anamteua Kikwete kuwa waziri wa Fedha hata uchaguzi wa ndani wa CCM wa mgombea ulikuwa bado na hakuna aliekuwa anajua kama Mkapa au anyone atakuja kuwa Rais wa Tanzania miezi michache baadae...
Binafsi nafikiri kuna 'watu wanaostahili' credit za kuunda TRA lakini hawatajwi..
Hata Kikwete probably alikuta 'process' IPO tayari akafanya kuiongeza nguvu..
Na Mkapa alipokuwa Rais miezi michache later 'ikawa rasmi'...
Kusema Mkapa aliunda TRA sio sawa..
Na hata Kusema Kikwete aliunda TRA pia sio Sahihi..labda tuseme Mwinyi? Au
'wataaalam wetu wa wizara ya Fedha'
Ambao hawatajwi na kuacha wanasiasa kubeba credits ambazo sio zao?..
Ni Sawa na kusema Mkapa alianzisha DSE
Au UTT wakati nimewahi msikia Mtaalam mbobezi na first CEO wa DSE na first CEO wa UTT akisema alikuwa anaenda waeleza
Viongozi kuhusu UTT hawaelewi kitu..wanamshangaa..hata DSE walikuwa wanasema nchi bado haipo tayari...
Sijui Yuko wapi Hamis Kibola Leo hii na kama kuna mtu hata anamtaja kama
'The brain behind DSE na UTT....
Swali linabaki pale pale je Mkapa ndo aliunda TRA?
Ingia kwenye website ya TRA utaona ilianza lini, kwa kurahisisha ni kuwa TRA ilianzishwa mwaka 1996 , na mwaka uliofuata yaani 1997 ikatungwa sheria ya VAT ambayo ilianza kutumika tarehe 1.7.1998
Ni vizuri kukawepo na ukweli zinapoandikwa historia za Viongozi wetu na historia ya nchi yetu Kwa ujumla.
...
Sasa hili la Mkapa kuunda TRA pia linanitatiza sana ..kivipi?
...
Swali linabaki pale pale je Mkapa ndo aliunda TRA?
Kuna mambo mengi sana yameboreshwa. Makusanyo ya kodi yameongezeka sana tena sana.Sasa je kuna maboresho yoyote yenye tija ambayo TRA toka kuanzishwa kwake imeyatekeleza au ni bora awali
Prof Saimon Mbilinyi alipokuwa waziri wa Fedha ndiyo aliongoza mageuzi na kuunda TRA. Nakumbuka siku moja alielezea huo mchakato, Mzee yule alikuwa mbobezi wa maswala ya uchumi lakini alipigwa vita sana kundi la wanamtandao wa akina JK na Lowassa wakahakikisha ametolewa kwenye uwaziri maana alikua tishio kwa mtandao na pia alikuwa mtu wa karibu na Mkapa na hata Hassy Kitine alipigwa vita mpaka akachomolewa, Mwandosya nae alikua target ya wanamtandao na walichomfanya hatahau ktk maisha yake. Bhatai mbaya wanamtandao wakavulugana kwenye kugombania madaraka na matokeo yake kila mtu aliona kwenye uchaguzi wa mwaka 2015 na mapaka sasa mabaki ya matandao yanaendea kuvukuga chama.Ni vizuri kukawepo na ukweli zinapoandikwa historia za Viongozi wetu na historia ya nchi yetu Kwa ujumla..
Nimesikia mara kadhaa watu wakisema Rais Magufuli kajenga daraja la Kigambon na nabaki na maswali mengi..
Sasa hili la Mkapa kuunda TRA pia linanitatiza sana ..kivipi?
Nimemsikia mara kadhaa Rais mstaafu Kikwete akisema aliunda TRA alipokuwa waziri wa fedha wakati Rais ni Mwinyi..
Na alisema alienda Uganda nafikiri kupata uzoefu wao WA URA..na wapo waliokuwa wanamshauri vinginenevyo..
Ifahamike wakati Rais Mwinyi anamteua Kikwete kuwa waziri wa Fedha hata uchaguzi wa ndani wa CCM wa mgombea ulikuwa bado na hakuna aliekuwa anajua kama Mkapa au anyone atakuja kuwa Rais wa Tanzania miezi michache baadae...
Binafsi nafikiri kuna 'watu wanaostahili' credit za kuunda TRA lakini hawatajwi..
Hata Kikwete probably alikuta 'process' IPO tayari akafanya kuiongeza nguvu..
Na Mkapa alipokuwa Rais miezi michache later 'ikawa rasmi'...
Kusema Mkapa aliunda TRA sio sawa..
Na hata Kusema Kikwete aliunda TRA pia sio Sahihi..labda tuseme Mwinyi? Au
'wataaalam wetu wa wizara ya Fedha'
Ambao hawatajwi na kuacha wanasiasa kubeba credits ambazo sio zao?..
Ni Sawa na kusema Mkapa alianzisha DSE
Au UTT wakati nimewahi msikia Mtaalam mbobezi na first CEO wa DSE na first CEO wa UTT akisema alikuwa anaenda waeleza
Viongozi kuhusu UTT hawaelewi kitu..wanamshangaa..hata DSE walikuwa wanasema nchi bado haipo tayari...
Sijui Yuko wapi Hamis Kibola Leo hii na kama kuna mtu hata anamtaja kama
'The brain behind DSE na UTT....
Swali linabaki pale pale je Mkapa ndo aliunda TRA?
Prof Saimon Mbilinyi alipokuwa waziri wa Fedha ndiyo aliongoza mageuzi na kuunda TRA. Nakumbuka siku moja alielezea huo mchakato, Mzee yule alikuwa mbobezi wa maswala ya uchumi lakini alipigwa vita sana kundi la wanamtandao wa akina JK na Lowassa wakahakikisha ametolewa kwenye uwaziri maana alikua tishio kwa mtandao na pia alikuwa mtu wa karibu na Mkapa na hata Hassy Kitine alipigwa vita mpaka akachomolewa, Mwandosya nae alikua target ya wanamtandao na walichomfanya hatahau ktk maisha yake. Bhatai mbaya wanamtandao wakavulugana kwenye kugombania madaraka na matokeo yake kila mtu aliona kwenye uchaguzi wa mwaka 2015 na mapaka sasa mabaki ya matandao yanaendea kuvukuga chama.
Aksante nashukuru sana Ndugu yangu kumbe nimeandika upupu! Ungenisaidia tu kwa kunieleza ningeelewa lakini kuniambia nimeandika upupu dah kuna watu mna maneno ya kukwaza sana.Ungesoma thread yote kabla ya kuchangia usingeandika upupu huu..
Tra mchakato ulianza zamani ukakamilika august 1995..mbilinyi alikuwa waziri kipindi hiki?
Wewe ulokua unalialia uanzishwaji wa TRA umesikia mambo aliyoanzisha na kufanya Mzee Mkapa kwenye hotuba ya Mh.Rais?Ni vizuri kukawepo na ukweli zinapoandikwa historia za Viongozi wetu na historia ya nchi yetu Kwa ujumla..
Nimesikia mara kadhaa watu wakisema Rais Magufuli kajenga daraja la Kigambon na nabaki na maswali mengi..
Sasa hili la Mkapa kuunda TRA pia linanitatiza sana ..kivipi?
Nimemsikia mara kadhaa Rais mstaafu Kikwete akisema aliunda TRA alipokuwa waziri wa fedha wakati Rais ni Mwinyi..
Na alisema alienda Uganda nafikiri kupata uzoefu wao WA URA..na wapo waliokuwa wanamshauri vinginenevyo..
Ifahamike wakati Rais Mwinyi anamteua Kikwete kuwa waziri wa Fedha hata uchaguzi wa ndani wa CCM wa mgombea ulikuwa bado na hakuna aliekuwa anajua kama Mkapa au anyone atakuja kuwa Rais wa Tanzania miezi michache baadae...
Binafsi nafikiri kuna 'watu wanaostahili' credit za kuunda TRA lakini hawatajwi..
Hata Kikwete probably alikuta 'process' IPO tayari akafanya kuiongeza nguvu..
Na Mkapa alipokuwa Rais miezi michache later 'ikawa rasmi'...
Kusema Mkapa aliunda TRA sio sawa..
Na hata Kusema Kikwete aliunda TRA pia sio Sahihi..labda tuseme Mwinyi? Au
'wataaalam wetu wa wizara ya Fedha'
Ambao hawatajwi na kuacha wanasiasa kubeba credits ambazo sio zao?..
Ni Sawa na kusema Mkapa alianzisha DSE
Au UTT wakati nimewahi msikia Mtaalam mbobezi na first CEO wa DSE na first CEO wa UTT akisema alikuwa anaenda waeleza
Viongozi kuhusu UTT hawaelewi kitu..wanamshangaa..hata DSE walikuwa wanasema nchi bado haipo tayari...
Sijui Yuko wapi Hamis Kibola Leo hii na kama kuna mtu hata anamtaja kama
'The brain behind DSE na UTT....
Swali linabaki pale pale je Mkapa ndo aliunda TRA?
Aliibadili jina na mfumo na kuiboresha hili halilingik... ila ikiwa aliianzisha kweli basi inamaanisha hakukuwepo ulipaji kodi ya mapato wala leseni za biashara!!Ni vizuri kukawepo na ukweli zinapoandikwa historia za Viongozi wetu na historia ya nchi yetu Kwa ujumla..
Nimesikia mara kadhaa watu wakisema Rais Magufuli kajenga daraja la Kigambon na nabaki na maswali mengi..
Sasa hili la Mkapa kuunda TRA pia linanitatiza sana ..kivipi?
Nimemsikia mara kadhaa Rais mstaafu Kikwete akisema aliunda TRA alipokuwa waziri wa fedha wakati Rais ni Mwinyi..
Na alisema alienda Uganda nafikiri kupata uzoefu wao WA URA..na wapo waliokuwa wanamshauri vinginenevyo..
Ifahamike wakati Rais Mwinyi anamteua Kikwete kuwa waziri wa Fedha hata uchaguzi wa ndani wa CCM wa mgombea ulikuwa bado na hakuna aliekuwa anajua kama Mkapa au anyone atakuja kuwa Rais wa Tanzania miezi michache baadae...
Binafsi nafikiri kuna 'watu wanaostahili' credit za kuunda TRA lakini hawatajwi..
Hata Kikwete probably alikuta 'process' IPO tayari akafanya kuiongeza nguvu..
Na Mkapa alipokuwa Rais miezi michache later 'ikawa rasmi'...
Kusema Mkapa aliunda TRA sio sawa..
Na hata Kusema Kikwete aliunda TRA pia sio Sahihi..labda tuseme Mwinyi? Au
'wataaalam wetu wa wizara ya Fedha'
Ambao hawatajwi na kuacha wanasiasa kubeba credits ambazo sio zao?..
Ni Sawa na kusema Mkapa alianzisha DSE
Au UTT wakati nimewahi msikia Mtaalam mbobezi na first CEO wa DSE na first CEO wa UTT akisema alikuwa anaenda waeleza
Viongozi kuhusu UTT hawaelewi kitu..wanamshangaa..hata DSE walikuwa wanasema nchi bado haipo tayari...
Sijui Yuko wapi Hamis Kibola Leo hii na kama kuna mtu hata anamtaja kama
'The brain behind DSE na UTT....
Swali linabaki pale pale je Mkapa ndo aliunda TRA?