sblandes
JF-Expert Member
- Apr 25, 2010
- 6,632
- 4,737
Huu ni mfumo uliotokana na Taasisi za fedha za kimataifa yaani IMF na World Bank.Siyo wazo lake, lilikuwa ni moja ya pendekezo kwenye The Structural Adjustment Program.
Sisi tuliridhia mfumo huo kisheria baada ya kukidhi matakwa hayo yaliwekwa kisheria wakati Mkapa akiwa Raisi wa Tanzania.