Ni kweli mtoto wa kiume anatakiwa kutahiriwa wakati wa baridi?

Ni kweli mtoto wa kiume anatakiwa kutahiriwa wakati wa baridi?

Fateema

JF-Expert Member
Joined
Feb 8, 2024
Posts
234
Reaction score
495
Nimeshauriwa muda mzuri wa kutahiri watoto ni wakati wa baridi na sio wakati wa joto. Je ni kweli?

Kwa hapa Dar es salaam ni mwezi gani mzuri wa kutahiri mtoto( mwezi wenye baridi).


Asante sana
 
Back
Top Bottom