James_patrick_
Senior Member
- Mar 20, 2017
- 102
- 194
Upo vizuri...unajua vingi zaidi ya ulivyoandika hapa.Jibu ni ndio kwa asilimia 50. Kwanza kabisa, kuchezea kichapo kikali,huathiri ubongo. Ubongo ukivurugika,pia moyo hupata mshituko. Ila ungesema maji baridi. Kuna jama wazuri kwa kutesa watu hasa kama bado wanachunguzwa kwa makosa furani. Hawa,ukiomba maji ya kunywa,utapewa vinywaji vingine na si maji. Sema tu hata mi kitu ambacho sijajua, maji yameundwa na nini cha kuathiri mtu mwenye hali ya mshtuko wa moyo?!!
Si kichapo tu, hata mtu akiwa amejeruhiwa kwa ajali ya gari au kingine, akiomba maji usimpe. Atakufa. Kiu ya ghafla inayohusiana na mtu kuumia ghafla inasababisha mwili uingie kwenye relaxation mode, ambayo inaua mtu. Mwili unatakiwa kuwa katika agitated mode wakati umeumia sana. Ni sawa na mtu alieumia anasikia usingizi, usimwache alale mwili uka relax, atakufa. Ndio maana utasikia kwenye movie wakisema "stay with me, stay with me, keep awake, open your eyes" na unatakiwa uwe unamsemeshaHabari ndugu zangu,
Naomba kuuliza,hivi ni kweli mtu akichezea kichapo cha kutosha ukimpa maji anaweza kufariki? Na je, kama ni kweli ni kitu gan upelekea hali hiyo.
Hapa nimeelewa .Si kichapo tu, hata mtu akiwa amejeruhiwa kwa ajali ya gari au kingine, akiomba maji usimpe. Atakufa. Kiu ya ghafla inayohusiana na mtu kuumia ghafla inasababisha mwili uingine kwenye relaxation mode, ambayo inaua mtu. Mwili unatakiwa kuwa katika agitated mode wakati umeumia sana. Ni sawa na mtu alieumia anasikia usingizi, usimwache alale mwili uka relax, atakufa. Ndio maana utasikia kwenye movie wakisema "stay with me, stay with me, keep awake, open your eyes" na unatakiwa uwe unamsemesha
Hata akipata ajali ya bodaboda usimpe maji ya kunywa muda huo, hii ni kutokana kama amejeruhiwa ndani ya utumbo atatoka damu kwa wingi kwani kitu cha baridi huyeyusha damu.Habari ndugu zangu,
Naomba kuuliza,hivi ni kweli mtu akichezea kichapo cha kutosha ukimpa maji anaweza kufariki? Na je, kama ni kweli ni kitu gan upelekea hali hiyo.
Kwamba mwili usiruhusiwe kuwa ktk quite mode😇🤗Si kichapo tu, hata mtu akiwa amejeruhiwa kwa ajali ya gari au kingine, akiomba maji usimpe. Atakufa. Kiu ya ghafla inayohusiana na mtu kuumia ghafla inasababisha mwili uingine kwenye relaxation mode, ambayo inaua mtu. Mwili unatakiwa kuwa katika agitated mode wakati umeumia sana. Ni sawa na mtu alieumia anasikia usingizi, usimwache alale mwili uka relax, atakufa. Ndio maana utasikia kwenye movie wakisema "stay with me, stay with me, keep awake, open your eyes" na unatakiwa uwe unamsemesha
Mbona wachezaji wa AFCON hawakuanguka wakati wa COOLING BREAK?Kwa mimi ninavyoelewa kidogo, mtu akitoka kufanya mazoezi mfano kukimbia au gym halafu muda huohuo anywe maji hasa ya baridi uwezekano wa kudondoka au kuzirai ni mkubwa kwa sababu ya mapigo ya moyo kwenda kasi (mwili umechemka) halafu ghafla uupe maji ya baridi lazima utaharibu... so it depends pia na aina ya kipigo/kichapo
ni sawa na REJETA IMECHEMKA HALAFU PAAP UIFUNGUE UWEKE MAJI GHAFLA...MMMH
wenye uelewa zaidi wataongezea
Mbona wachezaji mpira wanakunywa maji baridi wanapokuwa wanaendelea kucheza uwanjani?Kwa mimi ninavyoelewa kidogo, mtu akitoka kufanya mazoezi mfano kukimbia au gym halafu muda huohuo anywe maji hasa ya baridi uwezekano wa kudondoka au kuzirai ni mkubwa kwa sababu ya mapigo ya moyo kwenda kasi (mwili umechemka) halafu ghafla uupe maji ya baridi lazima utaharibu... so it depends pia na aina ya kipigo/kichapo
ni sawa na REJETA IMECHEMKA HALAFU PAAP UIFUNGUE UWEKE MAJI GHAFLA...MMMH
wenye uelewa zaidi wataongezea
Kumbe uwa wana maana hii, ndo naelewa leoSi kichapo tu, hata mtu akiwa amejeruhiwa kwa ajali ya gari au kingine, akiomba maji usimpe. Atakufa. Kiu ya ghafla inayohusiana na mtu kuumia ghafla inasababisha mwili uingine kwenye relaxation mode, ambayo inaua mtu. Mwili unatakiwa kuwa katika agitated mode wakati umeumia sana. Ni sawa na mtu alieumia anasikia usingizi, usimwache alale mwili uka relax, atakufa. Ndio maana utasikia kwenye movie wakisema "stay with me, stay with me, keep awake, open your eyes" na unatakiwa uwe unamsemesha
Mkuu,Mbona wachezaji mpira wanakunywa maji baridi wanapokuwa wanaendelea kucheza uwanjani?
Msingi wa hili uko kwenye mfumo wa kumeza kimiminika au chakula kuelekea tumboni.Habari ndugu zangu,
Naomba kuuliza,hivi ni kweli mtu akichezea kichapo cha kutosha ukimpa maji anaweza kufariki? Na je, kama ni kweli ni kitu gan upelekea hali hiyo.
Kwa mimi ninavyoelewa kidogo, mtu akitoka kufanya mazoezi mfano kukimbia au gym halafu muda huohuo anywe maji hasa ya baridi uwezekano wa kudondoka au kuzirai ni mkubwa kwa sababu ya mapigo ya moyo kwenda kasi (mwili umechemka) halafu ghafla uupe maji ya baridi lazima utaharibu... so it depends pia na aina ya kipigo/kichapo
ni sawa na REJETA IMECHEMKA HALAFU PAAP UIFUNGUE UWEKE MAJI GHAFLA...MMMH
wenye uelewa zaidi wataongezea
Kitaalam ZaidiMsingi wa hili uko kwenye mfumo wa kumeza kimiminika au chakula kuelekea tumboni.
Kuna utaratibu unaoratibiwa na ubongo wakati wa kumeza unaitwa "GAG REFLEX".
Huu ni utaratibu ambao huelekeza chakula kwenye njia yake badala ya njia ya hewa. Hali hii huanzishwa AUTOMATIC chini ya usimamizi wa UBONGO.
Unapokuwa unaumwa sana au kupata ajali au mshituko mkubwa kuna wakati hali hii hupotea (ubongo hushindwa kuratibu kitendo hiki). Hivyo, ukimpa mtu maji au chakula kuna hatari ya kwenda kwenye MFUMO WA HEWA (CHOKING/ASPIRATION).
Kwa kuwa mtu huyu anakuwa hawezi kukohoa vyema au kuongea, maji yale au chakula kinaenda kuzuia mfumo wa upelekaji hewa kwenye damu kupitia MAPAFU. Oksijeni hupungua na mwisho mgonjwa kupoteza maisha au madhira mengine zaidi, mfano:upumuaji usiofaa na maambukizi kuanza kwenye mapafu iwapo atafanikiwa kutokupoteza maisha.
NB: Hapa ndo umakini unahitajika unapowalisha: WAGONJWA, WATOTO, MTU ALIYEKUNYWA POMBE( AU DAWA) NA HAJITAMBUI VYEMA.
Walikuwa wanapewa maji ya baridi?Mbona wachezaji wa AFCON hawakuanguka wakati wa COOLING BREAK?