Ni kweli mtu akichezea kichapo cha kutosha ukimpa maji anaweza kufariki?

Ni kweli mtu akichezea kichapo cha kutosha ukimpa maji anaweza kufariki?

Si kichapo tu, hata mtu akiwa amejeruhiwa kwa ajali ya gari au kingine, akiomba maji usimpe. Atakufa. Kiu ya ghafla inayohusiana na mtu kuumia ghafla inasababisha mwili uingine kwenye relaxation mode, ambayo inaua mtu. Mwili unatakiwa kuwa katika agitated mode wakati umeumia sana. Ni sawa na mtu alieumia anasikia usingizi, usimwache alale mwili uka relax, atakufa. Ndio maana utasikia kwenye movie wakisema "stay with me, stay with me, keep awake, open your eyes" na unatakiwa uwe unamsemesha
Aisee umenifumbua nilikuwa nashangaa kwenye movie mtu anamtia tia vibao wake up open your eyes.

Mie pia Dr akaniambia usilale pambana na hio hali nilikuwa nashonwa nikachomwa ganzi nikasikia masikioni ziiiiiiii nikasikia usingizi mzito nikamwambia dr akaniambia kataa hio hali usilale ndugu yangu akaambiwa awe anisememesha aniamshe nisilale.
 
Habari ndugu zangu,

Naomba kuuliza,hivi ni kweli mtu akichezea kichapo cha kutosha ukimpa maji anaweza kufariki? Na je, kama ni m kweli ni kitu gan upelekea hali hiyo.
Wataalam msituache bure hapa!
Pia kuna mwizi alipatiwa kipigo,mkongoto wa nguvu na alipokuwa hoi bin taaban akanyweshwa Azam energy akawa anasubiriwa apate nguvu ili apigwe tena!.
 
Kwa mimi ninavyoelewa kidogo, mtu akitoka kufanya mazoezi mfano kukimbia au gym halafu muda huohuo anywe maji hasa ya baridi uwezekano wa kudondoka au kuzirai ni mkubwa kwa sababu ya mapigo ya moyo kwenda kasi (mwili umechemka) halafu ghafla uupe maji ya baridi lazima utaharibu... so it depends pia na aina ya kipigo/kichapo

ni sawa na REJETA IMECHEMKA HALAFU PAAP UIFUNGUE UWEKE MAJI GHAFLA...MMMH

wenye uelewa zaidi wataongezea
Hii post yako imenitisha sana maana mimi kila nikitoka jogging huwa nakunywa maji ya baridi yaani hapa natetemeka mnoo

Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
 
Si kichapo tu, hata mtu akiwa amejeruhiwa kwa ajali ya gari au kingine, akiomba maji usimpe. Atakufa. Kiu ya ghafla inayohusiana na mtu kuumia ghafla inasababisha mwili uingine kwenye relaxation mode, ambayo inaua mtu. Mwili unatakiwa kuwa katika agitated mode wakati umeumia sana. Ni sawa na mtu alieumia anasikia usingizi, usimwache alale mwili uka relax, atakufa. Ndio maana utasikia kwenye movie wakisema "stay with me, stay with me, keep awake, open your eyes" na unatakiwa uwe unamsemesha
Aisee

Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
 
Si kichapo tu, hata mtu akiwa amejeruhiwa kwa ajali ya gari au kingine, akiomba maji usimpe. Atakufa. Kiu ya ghafla inayohusiana na mtu kuumia ghafla inasababisha mwili uingine kwenye relaxation mode, ambayo inaua mtu. Mwili unatakiwa kuwa katika agitated mode wakati umeumia sana. Ni sawa na mtu alieumia anasikia usingizi, usimwache alale mwili uka relax, atakufa. Ndio maana utasikia kwenye movie wakisema "stay with me, stay with me, keep awake, open your eyes" na unatakiwa uwe unamsemesha
Ebhanaee nimekubali kabisa hata kabla sijaingia gugo mzee
 
Back
Top Bottom