Wewe ni mwenyewe..??Ata lisu inasemekana sio mwenyewe aliekuja ni feki ndio maana anatangaza kugombea lakini hatokei hadharani mpaka mabeberu wamseti kuongea na kumuwekea makovu wabongo wasigundue
Sent using Jamii Forums mobile app
alifanyiwa plastic surgery iliyofanywa na timu ya madaktari wachache toka London Uingereza, mara baada ya zoezi hilo kufanikiwa alipatiwa mazoezi ya kuongea na kutembea kama Nelson Mandela mpaka alipo fuzu ndipo mpango wa kumtoa ukatekelezwa ndomaana hata baada yakutoka alilegeza sana masharti kwa watu weupe.
HATA MIMI NINA MASHAKA NA HUYU LIPUMBA NAHISI ORIGINAL ALIIBWA NA WAZUNGU WAKATULETEA HUYU ZUZU
Kwani ni lazima wote hawa wawe gereza moja na kuwa pamoja wakati wote?Inahitajika mtu alieshikiwa akili kuamini upuuzi kama huu. Nelson Mandela alifungwa jela na wenzake wengi tu (wakiwemo Walter Sisulu; Ahmed Kathrada, Raymond Mhlaba, Andrew Mlangeni, Dennis Goldberg, Wilton Mkwayi na wengine wengi). Ina maana wote hao hakuwa na uwezo wa kumtambua huyo Mandela fake?
Kwani ni lazima wote hawa wawe gereza moja na kuwa pamoja wakati wote?
Naulizaje issue ambaye hata mtoto wa chekechea anaweza akareason na kuelewaKama hujui basi uliza. Btw, username uliyojichagulia inasadifu comment yako hii.
hii swala la laweza kuwa na mahusiano kwanini hakuhudhuria kwe msiba wa mpigania uhuru mwenzake tena wenye mikakati iliyoendana...Aliwezaje kukariri historia isiyomuhusu
Huenda ni kweli nilishtushwa na hatua yake ya kukataa kuja kumzika Mwalimu.
Naulizaje issue ambaye hata mtoto wa chekechea anaweza akareason na kuelewa
Imekolea.
Big small inasemekana yuko tukuyu.
miaka 27 jela lazma misimamo iyumbe tuHili jambo ni fikirishi sana kwasababu misimamo na hoja aliyokuwa nayo Mandela wa kabla ya kufungwa na baada ya kutoka gerezani ni tofauti kabisa.
Pia swala la kumtaliki Winnie kwa hoja dhaifu aliyoitoa Mandela nayo ina ukakasi. Si Mandela yule aliyehamasisha umoja wa kitaifa na maridhiano kati ya makabira ya wanakusini katika kupambana na mkaburu kutoa taraka kwa Winnie bila ya kusikiliza ushauri kutoka kwa wazee na marafiki zake wa karibu.
Wali'save' vifungo vyao Robben Island, Pollsmoor na Victor Verster.Naulizaje issue ambaye hata mtoto wa chekechea anaweza akareason na kuelewa