shungurui
JF-Expert Member
- Sep 1, 2008
- 3,765
- 5,160
Ni kweli Mandela yule aliyefungwa sio Yule aliyetoka jela na kuwa rais, miaka 27 jela sio midogo ni lazima umebadilike completely hasa ikizingatiwa alifungwa toka akiwa kijana. Hivyo lazima awe na tofauti kipindi kuingia na kutoka jel,watu wanabadilika.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app