lerato
Member
- Aug 11, 2012
- 41
- 4
kwaza za jioni.... naomba nisaidiwe nijue kama nimeshika mimba au laaaa...nimesex 31 juzi wthout kinga nina wasiwasi huenda nikawa na mimba mara ya mwisho kwenda period ilikuwa octor 16 mzunguko wangu ni wa siku 33 na sina permanent date ya p yang ninawasiwasi huenda nilipokea mimba naomba jf doctors end other member wanisaidie niondokane na wasiwasi huu kuhesabu date nashindwa kutokana na kutokuwa na tarehe kamili naomba kujibiwa nw plzzzz nisaidiwe kwa hilo .......