Ni kweli Papa Wemba kauawa na sumu iliyowekwa kwenye Mic?

Ni kweli Papa Wemba kauawa na sumu iliyowekwa kwenye Mic?

Kusema ukweli sijapata nafasi ya kuitizama ila kidogo Mkuu wangu nina uzoefu na hawa Wanamuziki hasa wa miziki hii ya dansi ya Kikongo na hata hapa kibongo bongo kwa hizi bendi zetu pia. Sitaki uamini 100% yale maelezo yangu kwani yawezekana ikawa ni Sumu kama usemavyo ila nimekuelezea tu kwa uzoefu wangu na ni ngumu mno kuwekewa SUMU katika Mic anayoenda kutumia isipokuwa ungeniambia kuwa alifanyiwa UCHAWI ningekuamini kwa asilimia zote kwani hakuna Mwanamuziki unayemjua Wewe wa DR Congo ambaye HAROGI. Kuna siku nitakuja na UZI hapa nikuambie UCHAWI wa wote hao hasa hasa Koffi Olomide, JB Mpiana, Werrason, Roga Roga wa Bendi ya Extra Musica, Zaiko Langa Langa, Hayati Pepe Kalle, Hayati Madilu System na hawa vijana wa sasa wawili Fally Ipupa na mwenzake Fere Gola. Mkuu nikikuambia wanayoyafanya unaweza hata ukaogopa kulala au ukazichukua dvd zao hapo ulipo sasa na ukazichoma moto! Wanamuziki ambao najua walikuwa HAWAROGI ni Hayati Franco na Hayati Tabu Ley pekee.

Ili kunogesha maelezo yako, naomba utuletee hizi habari za uchawi asap kabla vuguvugu la Papaa halijapoa
 
Kusema ukweli sijapata nafasi ya kuitizama ila kidogo Mkuu wangu nina uzoefu na hawa Wanamuziki hasa wa miziki hii ya dansi ya Kikongo na hata hapa kibongo bongo kwa hizi bendi zetu pia. Sitaki uamini 100% yale maelezo yangu kwani yawezekana ikawa ni Sumu kama usemavyo ila nimekuelezea tu kwa uzoefu wangu na ni ngumu mno kuwekewa SUMU katika Mic anayoenda kutumia isipokuwa ungeniambia kuwa alifanyiwa UCHAWI ningekuamini kwa asilimia zote kwani hakuna Mwanamuziki unayemjua Wewe wa DR Congo ambaye HAROGI. Kuna siku nitakuja na UZI hapa nikuambie UCHAWI wa wote hao hasa hasa Koffi Olomide, JB Mpiana, Werrason, Roga Roga wa Bendi ya Extra Musica, Zaiko Langa Langa, Hayati Pepe Kalle, Hayati Madilu System na hawa vijana wa sasa wawili Fally Ipupa na mwenzake Fere Gola. Mkuu nikikuambia wanayoyafanya unaweza hata ukaogopa kulala au ukazichukua dvd zao hapo ulipo sasa na ukazichoma moto! Wanamuziki ambao najua walikuwa HAWAROGI ni Hayati Franco na Hayati Tabu Ley pekee.
ukiweka huu uzi wa uchawi unitag
 
Koffi Olomide hapandi jukwaani hadi aende chooni na kujipaka mkojo wake huku JB Mpiana kila akienda kupanda jukwaani lazima ammeze chura, Werrason kila akienda kufanya onyesho lake basi lazima alale na sokwe chumbani kwake ( hapa simaanishi kuwa anafanya nae mapenzi ), Zaiko langa langa wakiwa na onyesho basi lazima watoe kafara ya Mtu ( hakuna onyesho la Zaiko langa langa likimalizika tu asife Mtu ndani au nje ya ukumbi, Extra Musica ile ya Kiongozi wao mpiga gitaa maarufu la solo Ibambi Ikombi ( wengi mnamjua kwa jina la Roga Roga ) hawapandi jukwaani hadi waogee maji ya maiti ambayo hutunzwa katika kifaa maalum, Fally Ipupa na Ferre Gola wanatumia uchawi wa aina moja ambao kama wakiwa nchini DR Congo na wana onyesho basi huenda kulala ndani ya jeneza kwa masaa machache kabla ya kwenda ukumbini na Fally Ipupa aliamua kutumia huu uchawi baada ya kushtukiwa na Wanamuziki wenzake kuamua kumtoa kafara Mama yake Mzazi ili album yake ya kwanza ambayo imemtambulisha, kumpa umaarufu mkubwa na kumtajirisha ya " bakandja " ifanikiwe, huku Hayati Pepe Kalle yeye alikuwa akipendelea sana kufanya mapenzi na wale mbilikimo ( eskimo ) kisha anawatoa kafara ya kuwauwa kishirikina na mwisho ni Hayati Madilu System ambaye yeye uchawi wake mkubwa na ambao kila mwana Congo anaujua ni tabia yake ya kupenda kuishi na majini huku akiwafanya ndondocha wana muziki wake ambao huwaona kinyota wako vizuri. Nadhani kwa ufafanuzi huu kuntu kidogo nitakuwa nimekidhi haja yako ya moyo na pia kuwa na faida kwa wengine pia.

Mkuu big up kwa uchambuzi wako...ila inatisha kweli..Pesa hizi zinavyotafutwa..
Nikuulize sasa mkuu je hawa Wacongo walioko hapa kwetu kina Nyoshi Elsadati wao hawatumii mambo hayo ili watoke?
 
Mkuu kwa wanaujua muziki wa DR Congo ukisema Champion Estatica anamzidi Seguen Mignon Maniata wanaweza hata wakakutupa tu Mto Ruaha ukaliwe na Mamba kwa kuwaudhi. Watu pekee ambao ndiyo wanamtia tumbo joto au wanakaribiana kiuwezo na Seguen Mignon Maniata mpiga drums maarufu wa Bendi ya Wenge Musica BCBG yake JB Mpiana ni hawa wawili tu :
  1. Papii Kakol mpiga drums hatari wa Werrason na Bendi yake ya Wenge Musica Maison Mere.
  2. Ramatoulaye Diabate mpiga drums hatari wa Bendi ya Extra Musica chini yake Roga Roga kama Rais wa Bendi.
NB: Ukiachia hao wawili niliokutajia hapo waliobaki wote wanajifunza kila siku kupiga na kukaanga chips ( drums ) kwa FUNDI na MTAALAM mwenye mapigo yake Seguen Mignon Maniata.

Je yule mpiga drums wa koffi alikuwa akifunga nywele zake nyuma simjui jina lake..naona nae alikuwa mkali wa kupiga hizo drums.
 
Hakuna sumu dunuani inaweza kuua kwa spidi namna hiyo. Vinginevyo hata aliyeipeleka angeathirika.
 


Congo Television Inasema Kwamba Papa Wemba Aliwekewa Sumu Kwenye Mic Yake.

Mwangalie Huyu Jamaa, Katoa Mic Akaweka Nyingine Na Baada Ya Papa Wemba Kuanguka Akaja Fasta Kuitoa Mic Badala Ya Kumpa Msaada.

Angalia Hiyo Video Hapo.
 
Pole sana Mkuu kwa kuwa na mashaka ya Kifo cha Jules Shungu Kikumba Pene Wembandio alias PAPA WEMBA na pole pia kwa wale wote walioguswa na huu msiba wa JABALI la Afrika ambalo lilibaki la Kizazi cha kwanza baada ya Franco, Tabu Ley, Kabasele Yampanya PEPE KALLE, Madilu System.

Ukweli wa sababu ya Kifo chake ni MSHTUKO wa MOYO kwani imegundulika kuwa wiki moja kabla ya kwenda Abidjan alikuwa anaumwa sana BP na alipewa tiba ambayo ilimlazimu apumzike kwa angalau wiki mbili ndipo arejee kuendelea na muziki lakini mara baada ya PAPA WEMBA kuona kapata nafuu na huku tena Watu wa Kundi la Muziki maarufu ya nchini Ivory Coast la MAGIC SYSTEM ambao ndiyo walikuwa waandaji wakuu wa lile TAMASHA kumpelekea mwaliko aliona asikose kwenda kwani alitaka kuitumia hiyo siku pia kutambulisha album yake.

Kwa mnaoingia sana katika kumbi za muziki nadhani mnatambua aina ya sauti kubwa ambayo inaambata na mitambo mikubwa kabisa na spika za kufa mtu ambazo zinapiga kiasi kwamba kama una matatizo ya kushtuka kwa moyo au kisukari huwezi kukaa pale hivyo hata Marehemu PAPA WEMBA wakati amepanda pale stejini huku akiwa ana siku tano tu tokea atoke kwa Daktari wake kwa matatizo ya moyo ilikuwa ni dhahiri kuwa ile sound set up ya pale ingemuathiri.

Kujibu swali lako kwamba labda aliwekewa SUMU baada ya kuona yule Mtu anakuja kuitoa ile Mic pale na baadae kurudi na nyingine si kweli kwamba ni SUMU bali kila Mwanamuziki Kiongozi wa Bendi huwa na Mic yake MAALUM ambayo husetiwa KIUTAALAM sana na Band Sound System Engineer na hufanyiwa test mara kwa mara ili Bwana mkubwa akipanda nayo tu pale mbele isimumsumbue na huwa haiwi moja bali huwa mbili.

Na pia tambua kuwa kila Mwanamuziki Kiongozi wa Bendi hasa za Kikongo huwapa jukumu MAALUM watu wanaowaamini sana na mno la kukaa au kutunza hizi mic ili kuepuka hujuma kwani kwa msiojua hakuna Watu ambao huwa Wanarogana katika muziki kama Wakongo na ikumbukwe kuna wakati Werrason alimchezea mchezo JB Mpiana katika TAMASHA ambapo katika huo Uwanja kulinyesha mvua kubwa sana lakini cha kushangaza pembezoni na huo uwanja JUA KALI lilikuwa linawaka ( mfano wake ni kwamba pale ukumbi wa Diamond Jubilee sasa pawe wazi halafu inyeshe mvua kubwa lakini maeneo ya jirani kama Makao Makuu ya SKAUTI, Makao Makuu ya Jeshi, Shule ya Msingi ya Muhimbili na yale maeneo mengine kote kuwe na jua kali na linawaka kisawasawa ) hivyo kupelekea JB Mpiana kutofanya onyesho lake na alipokuja kugundua kuwa alifanyiwa ule mchezo na Werrason na yeye JB Mpiana akalipiza ambapo siku moja Werrason na bendi yake ya Maison Mere walikuwa na onyesho lao na cha kushangaza kila Werrason akishika Mic sauti haitoki lakini akiondoa tu ile Mic sauti inarudi na hata alipobadilishiwa Mic zingine tatizo lilikuwa ni lile lile hali ambayo ilipelekea sasa vipande vyote vya uimbaji vya Werrason aviimbe mwanamuziki wake aitwae Herritier lakini cha moto alikiona.

Mshika Mic mkuu wa Koffi Olomide ni yule Mkewe wa sasa aitwae Cindy ambaye ni Mwanamuziki wake pia japo hapo kabla mshika Mic wake alikuwa ni yule muimbaji aitwae Gibson a.k.a Kardinale huku mshika Mic mkuu wa Werrason ni yule mpiga drums wake maarufu aitwae PAPII KAKOL huku JB Mpiana mshika Mic wake mkuu akiwa ni Rapa wake kipenzi aitwae Gentamycine au Antibiotique Lisimo. Hao washika Mic wao wote ndiyo Watu ambao WANAAMINIKA nao kuliko Mtu yoyote katika bendi zao zote hizo na ndiyo wenye sauti kuu pia ya KIMAAMUZI ndani ya hizo bendi za hao MANGULI wa muziki tajwa hapo hivyo kuwekewa SUMU ni jambo gumu mno Mkuu na hawa jamaa Wakongo wanajilinda na vingi na hasa hasa ni NDUMBA.
Da, nimeipenda hii, ila hapo kwa Werrason aliwezaje kumwachia Herrite Watanabe wakati sauti zao in tofauti kabisa
 
Mkuu big up kwa uchambuzi wako...ila inatisha kweli..Pesa hizi zinavyotafutwa..
Nikuulize sasa mkuu je hawa Wacongo walioko hapa kwetu kina Nyoshi Elsadati wao hawatumii mambo hayo ili watoke?

Mkuu akhsante sana. Hakuna Bendi hapa Tanzania ambazo HAZIROGI au kufanya ULOZI. Nashindwa kuweka kila kitu hapa bayana Mkuu kwakuwa hizo Bendi zote za hapa Bongo Wanamuziki wake hasa wa Kikongo na ukiachilia baadhi wa Kitanzania kama Ally Choki, Charles Baba Kingunge na Mtani wangu Mwana Yanga aliyetukuka Muumin Mwinjuma ni Washikaji zangu kinomanoma hivyo moyo wangu unanisuta kuwawekea hapa mambo yao hadharani. Hata hivyo kwa sasa yaani hadi hivi naandika hili bandiko Bendi zinazoongoza kwa KUROGANA tena UCHAWI wa hatari kabisa ni mbili tu Twanga Pepeta na Mashujaa huku FM Academia wakiwa sasa wameamua kumrudia Mwenyezi Mungu baada ya kumfanya mwenzao NDONDOCHA LAO yule mwimbaji mahiri sana aitwae Kabesa. Ukimwona sasa hivi Kabesa unaweza UKATOKWA na machozi hadi Kesho kwa jinsi anavyoteseka kwa kufanywa kitu mbaya na Wenzake wa FM Academia.
 
Kusema ukweli sijapata nafasi ya kuitizama ila kidogo Mkuu wangu nina uzoefu na hawa Wanamuziki hasa wa miziki hii ya dansi ya Kikongo na hata hapa kibongo bongo kwa hizi bendi zetu pia. Sitaki uamini 100% yale maelezo yangu kwani yawezekana ikawa ni Sumu kama usemavyo ila nimekuelezea tu kwa uzoefu wangu na ni ngumu mno kuwekewa SUMU katika Mic anayoenda kutumia isipokuwa ungeniambia kuwa alifanyiwa UCHAWI ningekuamini kwa asilimia zote kwani hakuna Mwanamuziki unayemjua Wewe wa DR Congo ambaye HAROGI. Kuna siku nitakuja na UZI hapa nikuambie UCHAWI wa wote hao hasa hasa Koffi Olomide, JB Mpiana, Werrason, Roga Roga wa Bendi ya Extra Musica, Zaiko Langa Langa, Hayati Pepe Kalle, Hayati Madilu System na hawa vijana wa sasa wawili Fally Ipupa na mwenzake Fere Gola. Mkuu nikikuambia wanayoyafanya unaweza hata ukaogopa kulala au ukazichukua dvd zao hapo ulipo sasa na ukazichoma moto! Wanamuziki ambao najua walikuwa HAWAROGI ni Hayati Franco na Hayati Tabu Ley pekee.
Ulete huo uzi faster
 
Je yule mpiga drums wa koffi alikuwa akifunga nywele zake nyuma simjui jina lake..naona nae alikuwa mkali wa kupiga hizo drums.

Wote hao Mkuu ni Wanafunzi wa mpiga drums mahiri ambaye hajawahi kutokea DR Congo kwa kizazi hiki cha kati aitwa Titina Mbwinga Alcapone " Le grand prete ". Hao wapiga drums ( chips ) wote unaowajua Wewe wawe wa kwa Koffi, JB Mpiana, Werrason, Ferre Gola, Fally Ipupa, Felix Wazekwa na hata huyo wa Extra Musica ni Wanafunzi wa Titina japo kwa sasa anayeonekana kabisa kumkaribia Titina ni huyu mpiga drums wa Wenge Musica BCBG inayoongozwa na JB Mpiana aitwae Seguen Mignon Maniata.
 
Da, nimeipenda hii, ila hapo kwa Werrason aliwezaje kumwachia Herrite Watanabe wakati sauti zao in tofauti kabisa

Wakongo ni Watu wa kukurupuka na kutaka sana UFAHARI na KUJULIKANA hivyo akishajiona tu ANAKUBALIKA na mashabiki huamua na wao kuanzisha Bendi zao ambazo hata hivyo wengi wao waliozianzisha hawajafanikiwa na hatimaye kujikuta wanarudi kwa Walezi wao akina Koffi, JB na Werrason.
 
Umeona eeh! Pilika za jamaa zinaonekana 3 times, 1.Akija kutoa Mic ambayo Papa Wemba alikua anatumia, Na Ni baada Tu ya Papa Wemba kusogea mbele kuongea Na Mashabiki... 2.anaileta Stand Na Mic nyingine... 3.anakuja kuondoa Ile mic aloileta baada ya papa wemba kuanguka! Na unaona wakati watu wote wanahangaika Na Papa aliyekua kalala chini, yeye peke yake anaonekana akijishughurisha Na kuondoa Ile mic
Ndugu observation yako ina convince, kweli yule jamaa wa MIC muda wote yeye hana habari na pp wemba, yeye ali stick na MIC tu
 
Aliachana na Koffi Olomide na kuwa katika mpango wa kuanzisha Bendi yake na bado hajafanikiwa kihivyo na sasa inasemekana anataka kujiunga na Mwimbaji mwenzie aitwae Solei Wanga ambaye anafanya vizuri kiasi. Tatizo la Wanamuziki wa DR Congo wanadhani kila Mtu tu anaweza kuanzisha Bendi yake kwakuwa tu wameshakuwa na majina huku Wakisahau kuwa hao wanaowaiga akina Koffi, JB na Werrason wameingia MAAGANO makali sana ya KISHIRIKINA ambayo nisingependa kuyaweka hapa HADHARANI kwani mnaweza MKAOGOPA na hata KUWACHUKIA. Hata hivyo hao Wanamuziki wote wakishindwa huko waendapo hurudi kwa hawa Wakubwa zao waliowakuza. Kwa mfano Mwanamuziki mwingine wa Bendi hiyo hiyo ya Quarter Latin ya Koffi Olomide aitwae Shela Mputu aliondoka kwa Koffi kwa NYODO sana ila sasa anampigia magoti Koffi arudi kundini ila Koffi kampotezea.

Nataka kujua uchawi wao siogopi chochote
 
Ndugu observation yako ina convince, kweli yule jamaa wa MIC muda wote yeye hana habari na pp wemba, yeye ali stick na MIC tu
Sure! Katika hari kama ile ambapo Kila mtu alikua anajaribu kutoa Huduma ya kwanza kwa Papaa, unaona Kila mtu amepagawa, yeye anapata wapi nguvu ya kujishughurisha na Mic?
 
Wote hao Mkuu ni Wanafunzi wa mpiga drums mahiri ambaye hajawahi kutokea DR Congo kwa kizazi hiki cha kati aitwa Titina Mbwinga Alcapone " Le grand prete ". Hao wapiga drums ( chips ) wote unaowajua Wewe wawe wa kwa Koffi, JB Mpiana, Werrason, Ferre Gola, Fally Ipupa, Felix Wazekwa na hata huyo wa Extra Musica ni Wanafunzi wa Titina japo kwa sasa anayeonekana kabisa kumkaribia Titina ni huyu mpiga drums wa Wenge Musica BCBG inayoongozwa na JB Mpiana aitwae Seguen Mignon Maniata.
Titina capone nilimkubali penye utunzi wa tour eiffel kile kibao kwangu mimi kimetulia.
 
Back
Top Bottom