Ni kweli Papa Wemba kauawa na sumu iliyowekwa kwenye Mic?

Ni kweli Papa Wemba kauawa na sumu iliyowekwa kwenye Mic?

Nenda ITC au Kinshasa kashtaki,,,,,umbea tu ulitaka aishi milele au jiuwe ukamsikilize peke yako huko alipoenda,,,tena unadai mods waache ujinga wako hapa,,sokomoko wahed bin mashadda wewe
 
Tutajie ni sumu gani hiyo, taja jina lake wachambuzi wa taaluma ya chemical wakujuze.
 
Aisee ndugu Echililo nadhani humu wanaojibu hii mada kama vile wametoka usingizini au niwale ambao hawawezi kupanganua mambo ama vepee mtu umepewa link ukatazame we hutaki unataka mabishano sasa unaposema inatuhusu nini kisa jamaa mkongo ingekuwa hio ishu imetokea kwa msanii marufu hapo bongo wala msingesema hayo yote yoote hii nikwakua hamjaelewa ninimaana ya majadiliano mnatoa tu negative stuff wabongo bhanaa kwa kupenda ubishi nakujiona wao ndio wana akili zaidi ya wengine sasa kila mtu akitaka kuwa on top kutakuwa na maelewano hapo
 
Aisee ndugu Echililo nadhani humu wanaojibu hii mada kama vile wametoka usingizini au niwale ambao hawawezi kupanganua mambo ama vepee mtu umepewa link ukatazame we hutaki unataka mabishano sasa unaposema inatuhusu nini kisa jamaa mkongo ingekuwa hio ishu imetokea kwa msanii marufu hapo bongo wala msingesema hayo yote yoote hii nikwakua hamjaelewa ninimaana ya majadiliano mnatoa tu negative stuff wabongo bhanaa kwa kupenda ubishi nakujiona wao ndio wana akili zaidi ya wengine sasa kila mtu akitaka kuwa on top kutakuwa na maelewano hapo
wise samura ahsante kwa kuliona hilo mkuu, watu hawajui majadiliano wanajua kubishana tu, kama hujui jambo kaa kimya ujifunze kutoka kwa wanaojua
 
wise samura ahsante kwa kuliona hilo mkuu, watu hawajui majadiliano wanajua kubishana tu, kama hujui jambo kaa kimya ujifunze kutoka kwa wanaojua
Eti inatuhusu nini?! Ebo! Hawajui kua unaweza kujifundisha kua makini coz hata wewe unaweza kufanyiwa hivyo siku moja,tunajifunza kutokana na makosa yetu na pia tunajifunza kutokana na makosa ya wenzetu, kama lengo lenu kua Papa Wemba hakua mbongo,sasa nyinyi mnavyofuatilia ligi ya Uingereza hua inawahusu nini?
 
Habari wanaJf

Mods tafadhari hoja yangu ilindwe.

Mimi ni mmoja wa watu walioguswa sana na kifo cha nguli wa muziki wa lumba barani Afrika papa wemba, hivyo nimekua nikiangalia mara kwa mara sana clip zinazoonesha tukio la kudondoka kwake jukwaani na kupoteza maisha moja ya clip hiyo ni hii itazame kwa makini

halo news: This is the moment an African rumba singer collapsed on stage mid-way through a song

Ukiingalia kwa umakini clip hizo utagundua na kuungana nami kuwa kifo chake kinatokana na sumu zinazotumika kupitia mic kama ambavyo ziliwahi kuwaondoa wasanii wengi huko nyuma hasa wa kutoka DRC Congo

Papa wemba anadondoka chini mmoja wa wale crew badala ya kwenda kutoa msaada anawaacha wale wanenguaji watoe msaada yeye anakimbilia ile Mic aliyokuwa akiitumia Papa Wemba anaichukua na kuondoka nayo na kuacha nyingine zote kwanini??

Kwa wale wasiojua hii imekuwa njia maarufu sana ya kummaliza msanii kwa wale wabaya wake.

Hapa chini ni video ikionesha jinsi Mic ilivyobadilishwa

halo news: microphone replaced without papa wemba know

Karibu kwa mjadala

ungetueleza kwanini unahisi wamemuwekea kitu cha kumdhuru kwenye mic tungekuelewa badala ya kuweka video clip tu ambazo tunajua zinaweza tengenezwa.
 
Kakojoe ulale haya mambo yanahitaji utumie akili pana zaidi kuyajadili na kuyatambua, tatizo lako umezaliwa juzi
Acha upuuzi wako. Kwanza lazima ujue kuwa nimezaliwa kabla ya uhuru wa Tanganyika. Wewe umekalia kukitangaza hicho kiblog chako uchwara na vijistori vya kuokota kijiweni. Hata kanuni za stage hujui. Huyo msaidizi ilibidi aondoe hiyo mic na kuiweka pembeni wakati shughuli za kujaribu kumuokoa Papa Wemba zikiendelea. Ni wapi umemuona jamaa anaondoka nayo hiyo mic? Alichofanya huyo msaidizi ni kwenda na kukaa nayo hiyo mic pembeni. Unafikiri vyombo vya muziki vinauzwa kwa shilingi tano za madafu? Kawadanganye watoto wenzako huko.

 
Acha upuuzi wako. Kwanza lazima ujue kuwa nimezaliwa kabla ya uhuru wa Tanganyika. Wewe umekalia kukitangaza hicho kiblog chako uchwara na vijistori vya kuokota kijiweni. Hata kanuni za stage hujui. Huyo msaidizi ilibidi aondoe hiyo mic na kuiweka pembeni wakati shughuli za kujaribu kumuokoa Papa Wemba zikiendelea. Ni wapi umemuona jamaa anaondoka nayo hiyo mic. Kawadanganye watoto wenzako.
Nani kakudanganya kuzaliwa kabla ya uhuru ni akili nani?? Macho unayo lakini kwa kiburi tu hutaki kuyatumia
 
Eti inatuhusu nini?! Ebo! Hawajui kua unaweza kujifundisha kua makini coz hata wewe unaweza kufanyiwa hivyo siku moja,tunajifunza kutokana na makosa yetu na pia tunajifunza kutokana na makosa ya wenzetu, kama lengo lenu kua Papa Wemba hakua mbongo,sasa nyinyi mnavyofuatilia ligi ya Uingereza hua inawahusu nini?
Ni mara chache sana utaona mtanzania akitaka kujifunza. Ama kweli mjinga ni yule anasubiri aliejaribu kushindwa na hajifunzi
 
Nani kakudanganya kuzaliwa kabla ya uhuru ni akili nani?? Macho unayo lakini kwa kiburi tu hutaki kuyatumia
Wewe mpuuzi hapo nilikuwa nakujibu uliposema nimezaliwa juzi. Kaa chonjo. Sio wote humu ni watoto wa rika lako.
 
kutupia uzi jf yataka moyo,tena moyo kweli,mijitu inaleta ujuaji tuu.kubisha au kuwa tofaut haimaanishi kuwa wewe ndo mwelevu kuliko wengine.Kama una doubts Bora ubishe kwa hoja kuliko kusema kitu kama hayo mengine hapo juu.Nahis hayo majibu yana forums zake lakini sina uhakika
 
Back
Top Bottom