tomjelly
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 560
- 198
Habarini wapendwa,
Nimekuwa nkisikiasikia mara nyingi kua chakula aina ya pilau sio kizuri kwa afya ya binadamu. Hivyo nimekua nikikikwepa, pia pindi nilapo chakula hiki lazima tumbo linisumbue. Tena kuna tetesi ambazo mi binafsi sijazithibitisha kuwa chakula hiki kina sumu takribani zaidi ya 10.
Naomba mwenye uelewa kuhusu hili anifafanulie kwani kinachonichanganya zaid ni kwamba chakula hiki mara nying hupikwa na viungo asilia kabisa ambavyo pengne ni tiba mfano: vitunguu swaumu, vitunguu maji, iriki, mdalasini na bizari nyembamba.
Sasa Swali ni je! kivipi hasa pilau huwa sumu?
Natanguliza shukrani.
Nimekuwa nkisikiasikia mara nyingi kua chakula aina ya pilau sio kizuri kwa afya ya binadamu. Hivyo nimekua nikikikwepa, pia pindi nilapo chakula hiki lazima tumbo linisumbue. Tena kuna tetesi ambazo mi binafsi sijazithibitisha kuwa chakula hiki kina sumu takribani zaidi ya 10.
Naomba mwenye uelewa kuhusu hili anifafanulie kwani kinachonichanganya zaid ni kwamba chakula hiki mara nying hupikwa na viungo asilia kabisa ambavyo pengne ni tiba mfano: vitunguu swaumu, vitunguu maji, iriki, mdalasini na bizari nyembamba.
Sasa Swali ni je! kivipi hasa pilau huwa sumu?
Natanguliza shukrani.
Last edited by a moderator: