Jambazi
JF-Expert Member
- Jan 18, 2014
- 16,648
- 18,742
Ushawah kuckia mtu kafa kwa kula pialau?
Jiongezee basi!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ushawah kuckia mtu kafa kwa kula pialau?
ahsante sana MziziMkavu kwa kunitoa tongotongo.
Sasa ntaanza kulila kwa fujo, hasa pilau lilioandaliwa vizuri (kitaalamu). Ili nsisumbuliwe tumbo.
Kinachopelekea kuumwa tumbo pengine ni wapishi kuzidisha viungo kipita kiasi
exactly! mkuu Nimegundua hili ndo tatizo haswaa! pia na kuviunguza had vinakua vyeusi / mkaa. bila kusahau kumiminia mafuta utadhani yamemwagikia!!!. :becky:
Pole, hilo sio pilau sasa, viungo vinatakiwa viwe brown na sio vyeusi, mafuta yawe masafi na yasizidi (I prefer olive oil) uwe unapika mwenyewe na usisahau kuweka zabibu kavu ili litoke tamu zaidi.
kwa kuongezea tu, hivi tunasema "hili ni pilau" au "hii ni pilau" ??
Habarini wapendwa,
Nimekua nkisikiasikia mara nyingi kua chakula aina ya pilau sio kizuri kwa afya ya binadamu. Hivo nmekua nkikikwepa, pia pindi nilapo chakula hiki lazima tumbo linisumbue. Tena kuna tetesi ambazo mi binafsi sijazithibitisha kuwa chakula hiki kina sumu takribani zaidi ya 10.
Naomba mwenye uelewa kuhusu hili anifafanulie kwani kinachonichanganya zaid ni kwamba chakula hiki mara nying hupikwa na viungo asilia kabisa ambavyo pengne ni tiba mf: vitunguu swaumu, vitunguu maji, iriki, mdalasini na bizari nyembamba.
Sasa Swali ni je! kivipi hasa pilau huwa sumu?
Natanguliza shukrani.
Changamoto ya kwanza: kwa nini Tomjelly kaleta uzi wake tarehe 11th Dec kwa nini isiwe siku 10 au 15 kabla ya hiyo 11th Dec.
Kinachopelekea kuumwa tumbo pengine ni wapishi kuzidisha viungo kipita kiasi