Slowly
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 10,589
- 35,268
Baada ya Harmonize kulalamika kuwa wasambazaji wa kazi zake Zikiii wanakula sahani moja na WCB kumhujumu , wadau mbali mbali wameibuka na kuanza kunyetisha za ndani.
Inavyoonyesha WCB hawakwepeki kwenye Sanaa ya bongo , utawatukana unavyojua Ila ukiingia studio unawakumbatia bila kujua.
Wakazi kamwaga mashairi na kusema kuwa Diamond ana hisa Zikii, hvyo harmonize mda wote amefanya kazi na diamond mpak sasa.
Wakazi anaandika.
Kwenye comment kuna mdau akaenda mbali zaidi kudai Sallam ni mwakilishi wa Apple music East Africa
Ya kweli haya ??
Inavyoonyesha WCB hawakwepeki kwenye Sanaa ya bongo , utawatukana unavyojua Ila ukiingia studio unawakumbatia bila kujua.
Wakazi kamwaga mashairi na kusema kuwa Diamond ana hisa Zikii, hvyo harmonize mda wote amefanya kazi na diamond mpak sasa.
Wakazi anaandika.
Kwenye comment kuna mdau akaenda mbali zaidi kudai Sallam ni mwakilishi wa Apple music East Africa
Ya kweli haya ??