Ni kweli Sallam SK ni mwakilishi wa Apple music East Africa na Diamond ana hisa Zikiii?

Ni kweli Sallam SK ni mwakilishi wa Apple music East Africa na Diamond ana hisa Zikiii?

Slowly

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2016
Posts
10,589
Reaction score
35,268
Baada ya Harmonize kulalamika kuwa wasambazaji wa kazi zake Zikiii wanakula sahani moja na WCB kumhujumu , wadau mbali mbali wameibuka na kuanza kunyetisha za ndani.

Inavyoonyesha WCB hawakwepeki kwenye Sanaa ya bongo , utawatukana unavyojua Ila ukiingia studio unawakumbatia bila kujua.

Wakazi kamwaga mashairi na kusema kuwa Diamond ana hisa Zikii, hvyo harmonize mda wote amefanya kazi na diamond mpak sasa.

Wakazi anaandika.

IMG_20230302_222624.jpg


IMG_20230302_222635.jpg


Kwenye comment kuna mdau akaenda mbali zaidi kudai Sallam ni mwakilishi wa Apple music East Africa

IMG_20230302_222650.jpg


Ya kweli haya ??
 
Baada ya Harmonize kulalamika kuwa wasambazaji wa kazi zake Zikiii wanakula sahani moja na WCB kumhujumu , wadau mbali mbali wameibuka na kuanza kunyetisha za ndani

Inavyoonyesha WCB hawakwepeki kwenye Sanaa ya bongo , utawatukana unavyojua Ila ukiingia studio unawakumbatia bila kujua ,....

Wakazi kamwaga mashairi na kusema kuwa Diamond ana hisa Zikii , hvyo harmonize mda wote amefanya kazi na diamond mpak sasa...

Wakazi anaandika

View attachment 2535346

View attachment 2535347

Kwenye comment kuna mdau akaenda mbali zaidi kudai Sallam ni mwakilishi wa Apple music East Africa

View attachment 2535348

Ya kweli haya ??
It's about time Mmakonde aelewe Insta-story hakuwezi kumpatia solutions, hivi hata Jembe hajui watatue vipi hayo 'matatizo' mpaka dogo anamlilia Seven Mosha kana kwamba team yake hakuna mwenye uwezo wa kutafuta distributors wengine? Vipi kuhusu gharama na consequences za kuvunja mkataba wa distribution na Ziiki?

Surviving and thriving kwenye showbiz industry si kuimba na kuandika lyrics peke yake, kunahitajika a capable management team, maarifa, mbinu, mikakati na busara pamoja na discipline ya kazi.

Kitu ambacho siamini ni kama kweli hana lawyers au kama hana hata contacts au connections za reliable law firms mpaka aombe lawyers kwenye kupitia Insta-story, on that one he is just seeking for stunts.
 
Ndio Diamond Platnumz ni mwekezaji wa usambaza muziki na kufanya publishing kupitia Ziiki. Na Sallam SK ni mwakilishi wa Apple music pamoja na lebo nyingine kubwa ya duniani hapa East Africa.
Na mwakilishi wa east africa wa audiomack ni digital manager wa diamond.

Kwa kifupi huwezi epuka kupeleka hela yako ya muziki kwa WCB Wasafi. Ndio maana kuna kijana mmoja mfupi sana uwa anapiga kelele anasema katoboa mbele ya macho ya Wasafi tunamtazama tu akichukua ushujaa Instagram at the end of the day lazima apeleke hesabu kwa Diamond. Wasanii wote wakubwa Tanzania na east africa wanasimamiwa na Diamond. Huyo anaepiga kelele alishachukua advance payment akanunulia range mbili na kuweka mabango mji mzima leo anataka asaidiwe na mwana fa sijui asaidiwe nini anachotakiwa ni kuendelea kutoa nyimbo back to back ili atimize masharti ya mkataba
 
It's about time Mmakonde aelewe Insta-story hakuwezi kumpatia solutions, hivi hata Jembe hajui watatue vipi hayo 'matatizo' mpaka dogo anamlilia Seven Mosha kana kwamba team yake hakuna mwenye uwezo wa kutafuta distributors wengine? Vipi kuhusu gharama na consequences za kuvunja mkataba wa distribution na Ziiki?
Surviving and thriving kwenye showbiz industry si kuimba na kuandika lyrics peke yake, kunahitajika a capable management team, maarifa, mbinu, mikakati na busara pamoja na discipline ya kazi.
Kitu ambacho siamini ni kama kweli hana lawyers au kama hana hata contacts au connections za reliable law firms mpaka aombe lawyers kwenye kupitia Insta-story, on that one he is just seeking for stunts.
Familia ya meneja wake jembe ni jembe ni lawyers angekuwa anamaanisha angeanzia hapo. Dogo anapiga yowe la kuchanganyikiwa. Wajanja ambao mitandaoni wanaonekana wajinga wameamua kukaa karibu na Mondi wale nae yeye kachagua vita na bongofleva maana diamond ndio bongofleva kwa sasa. Huwezi shindana na system wakati unapata ugali kupitia hiyo system anawadanganya wajinga na wenye mihemko.
 
Harmonize kazi anayo , hamna vita mbaya kama ya kupigana na adui ambaye Kakaba angle zote, yaan no escape route .... Jamaa amekuja kugundua anakula sahani moja na Wasafi toolate ,.... Jamaa Katoa back to back nyingi Sana mpak amezoeleka kitaa , Kwa miaka hii mitatu mingine sioni akiwa na jipya , imagine pension yako ya kustaafu unagawana na adui yako 😁😁😁😁
 
Music industry bongo ni ngumu na ina umafia sana toka enzi za kina Sugu na wasanii kibao walilia sana na Clouds Media ambayo ndo ilikua imeshika industry kwa enzi hizo. Zama hizi za digital industry imeshikwa na WCB/Diamond na vilio nishasikika sana tu kutoka kwa wasanii mbalimbali.

Mmakonde awe mpole tu aache ego na pride za kishamba akae na watoto wa mjini vizuri apige pesa yake maisha yaenda.

The World have Never been Fair.!
 
Ni Kiki

Fella Alisha weka wazi kuwa ana tumia makelele yake kupata kiki, basi atumie vizuri yamsaidie

Hivi kiba nae ana semaje? WCB wana muhujumu na hayo mauwakilishi yao sijui ya Apple sijui zuku

Kitu chenyewe ni Zulu na yeye analilia hiyo ziki, acha imtafune ziki kuu japo ni Kiki kama mahusiano ya Bandia ya zuchu na mondi
 
Baada ya Harmonize kulalamika kuwa wasambazaji wa kazi zake Zikiii wanakula sahani moja na WCB kumhujumu , wadau mbali mbali wameibuka na kuanza kunyetisha za ndani

Inavyoonyesha WCB hawakwepeki kwenye Sanaa ya bongo , utawatukana unavyojua Ila ukiingia studio unawakumbatia bila kujua ,....

Wakazi kamwaga mashairi na kusema kuwa Diamond ana hisa Zikii , hvyo harmonize mda wote amefanya kazi na diamond mpak sasa...

Wakazi anaandika

View attachment 2535346

View attachment 2535347

Kwenye comment kuna mdau akaenda mbali zaidi kudai Sallam ni mwakilishi wa Apple music East Africa

View attachment 2535348

Ya kweli haya ??
Wcb hawakwepeki kama choo
 
Mondi hana hisa ziiki wala huyo Salam ,Mondi contract anazoingia na Ziiki ni tofauti na wasanii wengine. Jamaa ana akili ya kutafuta hela,Mondi Kenya hela anayolipwa na Safaricom,yy na wasanii wa label yake ni tofauti wanaolipwa wasanii wengine. Jamaa ameingia contract maalum na Safaricom ambayo analipwa % kubwa tofauti na wasanii wengine.
 
Ila kiukweli kibongo bongo kwenda international ni ngumu kinoma bila kupita kwa platnumz vita ni kubwa mno
Jambo linalonifurahisha,
Sijui kweli au ni uongo ila hizi kelele wanazopigiwa wcb ndio zilezile walizojuwa wakipigiwa clouds na ruge ila kwa sasa wcb ina watetezi wengi watakwambia mikataba na biashara ila wakati ule wakimlaumu ruge hilo suala la biashara na mikataba hawakutaka kulisikia.
 
Mondi hana hisa ziiki wala huyo Salam ,Mondi contract anazoingia na Ziiki ni tofauti na wasanii wengine. Jamaa ana akili ya kutafuta hela,Mondi Kenya hela anayolipwa na Safaricom,yy na wasanii wa label yake ni tofauti wanaolipwa wasanii wengine. Jamaa ameingia contract maalum na Safaricom ambayo analipwa % kubwa tofauti na wasanii wengine.
Mimi mwenyewe nina mashaka kama sk ni mwakilishi wa apple music.
Diamond ana akili likika suala la kuwekeza na biashara.
He is so smart, inahitaji uwe smart pia kufanya biashara naye.
Shida inakuja msanii akiwa hajatoka atasaini chochote anachowaza yeye ni awe famous apate mademu basi.
Naona hii ilikuwa tofauti kwa diamond maana nilisikia interview ya babu tale, kuna siku walipeea contract akamtoroka kumbe kaenda kwa mwana sheria amweleze kilichomo. Babu tale akawa anahisi dogo anataka ale peke yake.
 
Mimi mwenyewe nina mashaka kama sk ni mwakilishi wa apple music.
Diamond ana akili likika suala la kuwekeza na biashara.
He is so smart, inahitaji uwe smart pia kufanya biashara naye.
Shida inakuja msanii akiwa hajatoka atasaini chochote anachowaza yeye ni awe famous apate mademu basi.
Naona hii ilikuwa tofauti kwa diamond maana nilisikia interview ya babu tale, kuna siku walipeea contract akamtoroka kumbe kaenda kwa mwana sheria amweleze kilichomo. Babu tale akawa anahisi dogo anataka ale peke yake.
Anaweza kuwa mwakilishi wa Apple ila yy haamui msanii anapata asilimia ngapi. Wasanii wenyewe mikatab wanayoingia hawa washirikishi wanasheria na hii ni kwa wasanii wote wakubwa na wachanga.
 
Anaweza kuwa mwakilishi wa Apple ila yy haamui msanii anapata asilimia ngapi. Wasanii wenyewe mikatab wanayoingia hawa washirikishi wanasheria na hii ni kwa wasanii wote wakubwa na wachanga.
Kama Sallam Sk kajishikiza pia Appel ina mana kuna pesa ya apple anakula , na kama mond atakuwa mwanahisa pia ina mana kuna sent anakula hii ndo inamuumiza Mmakonde , wenzake wanakula hela yake kisheria tatizo huenda hajui kama wanakula kisheria , yeye anahs wapo kama yeye , akiona majina Yao kwenye platform anaona kama kuna ujanja unafanyika ...jamaa anawachukia WCB mpak basi
 
Kama Sallam Sk kajishikiza pia Appel ina mana kuna pesa ya apple anakula , na kama mond atakuwa mwanahisa pia ina mana kuna sent anakula hii ndo inamuumiza Mmakonde , wenzake wanakula hela yake kisheria tatizo huenda hajui kama wanakula kisheria , yeye anahs wapo kama yeye , akiona majina Yao kwenye platform anaona kama kuna ujanja unafanyika ...jamaa anawachukia WCB mpak basi
Contract ndio kila kitu ukiwa vizuri kwenye mikataba utafaidi kipaji chako.

Ila sijui Contract yake na Jembe ipoje,ila sitoshangaa siku nikisikia kwamba aliingia mkataba na Jembe bila mwanasheria na unaweza ukakuta hata mkataba aliuandaa Jembe.
 
Back
Top Bottom