Ni kweli Sallam SK ni mwakilishi wa Apple music East Africa na Diamond ana hisa Zikiii?

Ni kweli Sallam SK ni mwakilishi wa Apple music East Africa na Diamond ana hisa Zikiii?

Mimi mwenyewe nina mashaka kama sk ni mwakilishi wa apple music.
Diamond ana akili likika suala la kuwekeza na biashara.
He is so smart, inahitaji uwe smart pia kufanya biashara naye.
Shida inakuja msanii akiwa hajatoka atasaini chochote anachowaza yeye ni awe famous apate mademu basi.
Naona hii ilikuwa tofauti kwa diamond maana nilisikia interview ya babu tale, kuna siku walipeea contract akamtoroka kumbe kaenda kwa mwana sheria amweleze kilichomo. Babu tale akawa anahisi dogo anataka ale peke yake.
Mendez kuwa muwakilishi wa Apple music inawezekana sana kwani hizi platforms ni kawaida kuwa na representatives kwenye nchi au zones, hii issue ya Diamond kuwa na shares Ziiki ndiyo imenifikirisha lakini kwa jinsi alivyo mjanja na anavyoijua thamani ya brand yake inawezekana walivyomfuata wafanye naye kazi akakataa kulipwa akadai apatiwe percentages za shares.
 
Ndio Diamond Platnumz ni mwekezaji wa usambaza muziki na kufanya publishing kupitia Ziiki. Na Sallam SK ni mwakilishi wa Apple music pamoja na lebo nyingine kubwa ya duniani hapa East Africa.
Na mwakilishi wa east africa wa audiomack ni digital manager wa diamond.

Kwa kifupi huwezi epuka kupeleka hela yako ya muziki kwa WCB Wasafi. Ndio maana kuna kijana mmoja mfupi sana uwa anapiga kelele anasema katoboa mbele ya macho ya Wasafi tunamtazama tu akichukua ushujaa Instagram at the end of the day lazima apeleke hesabu kwa Diamond. Wasanii wote wakubwa Tanzania na east africa wanasimamiwa na Diamond. Huyo anaepiga kelele alishachukua advance payment akanunulia range mbili na kuweka mabango mji mzima leo anataka asaidiwe na mwana fa sijui asaidiwe nini anachotakiwa ni kuendelea kutoa nyimbo back to back ili atimize masharti ya mkataba
Chawa kama chawa. Mke kama mke. Huwezi kustop watu kudai haki zao umesikia mama
 
Si amesema wazi kabisa mnampiga royalties/mirabaha yake? Hamjawahi kumlipa kabisa ,mwambie boss wako amlipe konde stahiki zake.
Kusema anaweza hata kuwa anasema uongo, kama ni kweli anapigwa royalties(of which I doubt) kitu gani kinamzuia kuwashitaki mahakamani au kuripoti huo wizi(dhulma) kwa vyombo vya sheria ili wezi wachukuliwe hatua naye apate/alipwe stahiki zake?
He is a stunts seeker.
 
Kusema anaweza hata kuwa anasema uongo, kama ni kweli anapigwa royalties(of which I doubt) kitu gani kinamzuia kuwashitaki mahakamani au kuripoti huo wizi(dhulma) kwa vyombo vya sheria ili wezi wachukuliwe hatua naye apate/alipwe stahiki zake?
He is a stunts seeker.

Si ndiyo anatafuta msaada kwa wanasheria na N/W Mwana FA.
 
Kama ni kweli mond ana share ziiki basi dogo ana akili sana. Heshima kwake amekuja kuwapa elimu wasanii wa kizazi hiki jinsi ya kutumia brand uliyonayo
Mondi ana akili sana na anajitambua, brand yake anaijua thamani pia haridhiki wala kubweteka kwani hapa alipo ingekuwa artists wengine wa Kibongo either wangeshapotelea kwenye 'unga' au wangekuwa wanajisikia wasingekuwa wakiongea na artists wenzao(ref:Maongezi ya Master J kuhusu tabia za Kiba back then when he was shining).
Kufanikiwa pia kumemsababishia haters wengi, wajuba wamehangaika na masomo lakini wanapigwa na maisha hivyo hasira zao huzihamishia kwa watu ambao wanafanikiwa kupia talents zao. Sasa hivi hata mtu anayesifu mafanikio ya Diamond kuna watu wanamchukia kwani wanatamani kila mtu amchukie, Diamond ni mfano halisi wa from grass to grace.
NB:Si kila mtu lazima awe happy kuona a dude from a very humble background akifanikiwa lakini kuwa na hasira naye kwakuwa amefanikiwa it's ridiculous.
 
Baada ya Harmonize kulalamika kuwa wasambazaji wa kazi zake Zikiii wanakula sahani moja na WCB kumhujumu , wadau mbali mbali wameibuka na kuanza kunyetisha za ndani.

Inavyoonyesha WCB hawakwepeki kwenye Sanaa ya bongo , utawatukana unavyojua Ila ukiingia studio unawakumbatia bila kujua.

Wakazi kamwaga mashairi na kusema kuwa Diamond ana hisa Zikii, hvyo harmonize mda wote amefanya kazi na diamond mpak sasa.

Wakazi anaandika.

View attachment 2535346

View attachment 2535347

Kwenye comment kuna mdau akaenda mbali zaidi kudai Sallam ni mwakilishi wa Apple music East Africa

View attachment 2535348

Ya kweli haya ??
Shule murua
 
Si ndiyo anatafuta msaada kwa wanasheria na N/W Mwana FA.
Wanasheria anawatafutia Insta-story? All those three years halipwi kitu management yake hapa namlenga sana Jembe kwani ameenda shule na inaosemekana familia yao kuna lawyers wa kutosha tu.
Konde gang hawana lawyer/lawyers? Hawana contacts zozote za reliable law firms? Mwana FA(Naibu Waziri) hana uwezo wa kuingilia mikataba kwani hayuko juu ya sheria.
 
Mmakonde anajua kuhonga pisi ila hataki kulipa lawyers kupitia mikataba na kufungua kesi if there are any discrepancies? Hapo anajua hamna kesi ya kujibu ndo maana anatafuta public sympathy, boya sana.
 
Ndio Diamond Platnumz ni mwekezaji wa usambaza muziki na kufanya publishing kupitia Ziiki. Na Sallam SK ni mwakilishi wa Apple music pamoja na lebo nyingine kubwa ya duniani hapa East Africa.
Na mwakilishi wa east africa wa audiomack ni digital manager wa diamond.

Kwa kifupi huwezi epuka kupeleka hela yako ya muziki kwa WCB Wasafi. Ndio maana kuna kijana mmoja mfupi sana uwa anapiga kelele anasema katoboa mbele ya macho ya Wasafi tunamtazama tu akichukua ushujaa Instagram at the end of the day lazima apeleke hesabu kwa Diamond. Wasanii wote wakubwa Tanzania na east africa wanasimamiwa na Diamond. Huyo anaepiga kelele alishachukua advance payment akanunulia range mbili na kuweka mabango mji mzima leo anataka asaidiwe na mwana fa sijui asaidiwe nini anachotakiwa ni kuendelea kutoa nyimbo back to back ili atimize masharti ya mkataba
Mjinga sana yule dogo
 
Familia ya meneja wake jembe ni jembe ni lawyers angekuwa anamaanisha angeanzia hapo. Dogo anapiga yowe la kuchanganyikiwa. Wajanja ambao mitandaoni wanaonekana wajinga wameamua kukaa karibu na Mondi wale nae yeye kachagua vita na bongofleva maana diamond ndio bongofleva kwa sasa. Huwezi shindana na system wakati unapata ugali kupitia hiyo system anawadanganya wajinga na wenye mihemko.
Bwana Mondi huu muda wa kujibu comments unapata wapi
 
Jambo linalonifurahisha,
Sijui kweli au ni uongo ila hizi kelele wanazopigiwa wcb ndio zilezile walizojuwa wakipigiwa clouds na ruge ila kwa sasa wcb ina watetezi wengi watakwambia mikataba na biashara ila wakati ule wakimlaumu ruge hilo suala la biashara na mikataba hawakutaka kulisikia.
Wewe umekurupuka lazima ujue key points za malalamiko ya wasanii kwenda kwa clouds kwanza kabla ujajenga hoja, clouds ilikuwa ina tumia nguvu yao ya media kukuharibu yaani wanakupa contract yao ukiikataa wanaban nyimbo zisisike kabisa redioni lini umeona WCB wanamlazimisha mtu kwa nguvu
 
Back
Top Bottom