King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Si amesema wazi kabisa mnampiga royalties/mirabaha yake? Hamjawahi kumlipa kabisa ,mwambie boss wako amlipe konde stahiki zake.Kadhulumiwa nini?
Kuna tofauti ya kudhulumiwa na kutotaka jasho lako liliwe na usiyempenda.
Hakuna anaedhulumiwa kila kitu kipo kwenye makaratasi.
Mendez kuwa muwakilishi wa Apple music inawezekana sana kwani hizi platforms ni kawaida kuwa na representatives kwenye nchi au zones, hii issue ya Diamond kuwa na shares Ziiki ndiyo imenifikirisha lakini kwa jinsi alivyo mjanja na anavyoijua thamani ya brand yake inawezekana walivyomfuata wafanye naye kazi akakataa kulipwa akadai apatiwe percentages za shares.Mimi mwenyewe nina mashaka kama sk ni mwakilishi wa apple music.
Diamond ana akili likika suala la kuwekeza na biashara.
He is so smart, inahitaji uwe smart pia kufanya biashara naye.
Shida inakuja msanii akiwa hajatoka atasaini chochote anachowaza yeye ni awe famous apate mademu basi.
Naona hii ilikuwa tofauti kwa diamond maana nilisikia interview ya babu tale, kuna siku walipeea contract akamtoroka kumbe kaenda kwa mwana sheria amweleze kilichomo. Babu tale akawa anahisi dogo anataka ale peke yake.
Chawa kama chawa. Mke kama mke. Huwezi kustop watu kudai haki zao umesikia mamaNdio Diamond Platnumz ni mwekezaji wa usambaza muziki na kufanya publishing kupitia Ziiki. Na Sallam SK ni mwakilishi wa Apple music pamoja na lebo nyingine kubwa ya duniani hapa East Africa.
Na mwakilishi wa east africa wa audiomack ni digital manager wa diamond.
Kwa kifupi huwezi epuka kupeleka hela yako ya muziki kwa WCB Wasafi. Ndio maana kuna kijana mmoja mfupi sana uwa anapiga kelele anasema katoboa mbele ya macho ya Wasafi tunamtazama tu akichukua ushujaa Instagram at the end of the day lazima apeleke hesabu kwa Diamond. Wasanii wote wakubwa Tanzania na east africa wanasimamiwa na Diamond. Huyo anaepiga kelele alishachukua advance payment akanunulia range mbili na kuweka mabango mji mzima leo anataka asaidiwe na mwana fa sijui asaidiwe nini anachotakiwa ni kuendelea kutoa nyimbo back to back ili atimize masharti ya mkataba
Kusema anaweza hata kuwa anasema uongo, kama ni kweli anapigwa royalties(of which I doubt) kitu gani kinamzuia kuwashitaki mahakamani au kuripoti huo wizi(dhulma) kwa vyombo vya sheria ili wezi wachukuliwe hatua naye apate/alipwe stahiki zake?Si amesema wazi kabisa mnampiga royalties/mirabaha yake? Hamjawahi kumlipa kabisa ,mwambie boss wako amlipe konde stahiki zake.
Kusema anaweza hata kuwa anasema uongo, kama ni kweli anapigwa royalties(of which I doubt) kitu gani kinamzuia kuwashitaki mahakamani au kuripoti huo wizi(dhulma) kwa vyombo vya sheria ili wezi wachukuliwe hatua naye apate/alipwe stahiki zake?
He is a stunts seeker.
Mondi ana akili sana na anajitambua, brand yake anaijua thamani pia haridhiki wala kubweteka kwani hapa alipo ingekuwa artists wengine wa Kibongo either wangeshapotelea kwenye 'unga' au wangekuwa wanajisikia wasingekuwa wakiongea na artists wenzao(ref:Maongezi ya Master J kuhusu tabia za Kiba back then when he was shining).Kama ni kweli mond ana share ziiki basi dogo ana akili sana. Heshima kwake amekuja kuwapa elimu wasanii wa kizazi hiki jinsi ya kutumia brand uliyonayo
Atafute msaada kwani harmonize hawezi kuwalipa wanasheria waende mahakamani mpaka atafute wanasheria InstagramSi ndiyo anatafuta msaada kwa wanasheria na N/W Mwana FA.
Shule muruaBaada ya Harmonize kulalamika kuwa wasambazaji wa kazi zake Zikiii wanakula sahani moja na WCB kumhujumu , wadau mbali mbali wameibuka na kuanza kunyetisha za ndani.
Inavyoonyesha WCB hawakwepeki kwenye Sanaa ya bongo , utawatukana unavyojua Ila ukiingia studio unawakumbatia bila kujua.
Wakazi kamwaga mashairi na kusema kuwa Diamond ana hisa Zikii, hvyo harmonize mda wote amefanya kazi na diamond mpak sasa.
Wakazi anaandika.
View attachment 2535346
View attachment 2535347
Kwenye comment kuna mdau akaenda mbali zaidi kudai Sallam ni mwakilishi wa Apple music East Africa
View attachment 2535348
Ya kweli haya ??
Wanasheria anawatafutia Insta-story? All those three years halipwi kitu management yake hapa namlenga sana Jembe kwani ameenda shule na inaosemekana familia yao kuna lawyers wa kutosha tu.Si ndiyo anatafuta msaada kwa wanasheria na N/W Mwana FA.
Akili mtu wangu…. Huwezi elewaNapenda kuuliza , Wasafi wamemdhulumu vip Harmonize
Mjinga sana yule dogoNdio Diamond Platnumz ni mwekezaji wa usambaza muziki na kufanya publishing kupitia Ziiki. Na Sallam SK ni mwakilishi wa Apple music pamoja na lebo nyingine kubwa ya duniani hapa East Africa.
Na mwakilishi wa east africa wa audiomack ni digital manager wa diamond.
Kwa kifupi huwezi epuka kupeleka hela yako ya muziki kwa WCB Wasafi. Ndio maana kuna kijana mmoja mfupi sana uwa anapiga kelele anasema katoboa mbele ya macho ya Wasafi tunamtazama tu akichukua ushujaa Instagram at the end of the day lazima apeleke hesabu kwa Diamond. Wasanii wote wakubwa Tanzania na east africa wanasimamiwa na Diamond. Huyo anaepiga kelele alishachukua advance payment akanunulia range mbili na kuweka mabango mji mzima leo anataka asaidiwe na mwana fa sijui asaidiwe nini anachotakiwa ni kuendelea kutoa nyimbo back to back ili atimize masharti ya mkataba
Anaedhulumiwa aendi kuongea Instagram. Yeye na management wangekuwa mahakamani sasa hivi wanadai haki yao.Si amesema wazi kabisa mnampiga royalties/mirabaha yake? Hamjawahi kumlipa kabisa ,mwambie boss wako amlipe konde stahiki zake.
Bwana Mondi huu muda wa kujibu comments unapata wapiFamilia ya meneja wake jembe ni jembe ni lawyers angekuwa anamaanisha angeanzia hapo. Dogo anapiga yowe la kuchanganyikiwa. Wajanja ambao mitandaoni wanaonekana wajinga wameamua kukaa karibu na Mondi wale nae yeye kachagua vita na bongofleva maana diamond ndio bongofleva kwa sasa. Huwezi shindana na system wakati unapata ugali kupitia hiyo system anawadanganya wajinga na wenye mihemko.
Wewe umekurupuka lazima ujue key points za malalamiko ya wasanii kwenda kwa clouds kwanza kabla ujajenga hoja, clouds ilikuwa ina tumia nguvu yao ya media kukuharibu yaani wanakupa contract yao ukiikataa wanaban nyimbo zisisike kabisa redioni lini umeona WCB wanamlazimisha mtu kwa nguvuJambo linalonifurahisha,
Sijui kweli au ni uongo ila hizi kelele wanazopigiwa wcb ndio zilezile walizojuwa wakipigiwa clouds na ruge ila kwa sasa wcb ina watetezi wengi watakwambia mikataba na biashara ila wakati ule wakimlaumu ruge hilo suala la biashara na mikataba hawakutaka kulisikia.