Ni kweli Samatta anatoka na Lulu?

RUKUKU BOY

JF-Expert Member
Joined
Sep 8, 2015
Posts
1,516
Reaction score
1,775
Wakuu kuna habari kuwa nahodha wa Taifa stars anayecheza Genk-Beligium anatoka na mwigizaji Elizabeth Michel, Lulu. Habari hizo zimeibuliwa na mtu wa karibu na Lulu hapa Tegeta.

Je ni kweli na kama ni kweli 255 si kiwango chake kitaporomoka maana bongo movie ni nuksi.

Eti wakuu ni kweli wapo wote?
 
Samatta anatoka na Lulu !!!!!?? Wanatoka wapi na wanaelekea wapi ........ ??
 
Hayakuhusu fata yako mkuu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wata wanapenda sana kufuatilia ya watu...

Maisha haya don't trust anyone... Mwenye kudhibitisha hizo tarifaa ni lulu mwenyewe...



Cc: mahondaw
 
Kiwango hakishuki kwa kukufanya mapenzi pekee mkuu

mafisadi hayana chama
 
Mengine yote sihofii hofu yangu mimi asije akafa ghafla tu!!!

sent from Kibiti with Nokia3310 using Jf app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…