Ni kweli Simba ina thamani ya bilioni 20?

Ni kweli Simba ina thamani ya bilioni 20?

Hata hiyo 20 b ni nyingi sana thanani ya timu inapatikana kwa timu kuchukuwa makombe bila kuchukuwa makombe timu haina thani.
Angalia leo hii timu zipi zinathamani ktk bora huko ulaya kwa na zipi hazipa thamani.
Miakaya 70 mpaka thamani timu kama man u ilikuwa haina thamani kwakuwa ilikuwa haichukuwi makombe leo man u ndio timu yenye thamani kubwa.
Acheni mo atengeneze timu ya ushindi na ya kisasa muhim ni mikataba imara na mizuri tu kwa maslahi ya klabu.
Hii sio dunia tena ya mpira wa kutegemea wachawi na kuhonga.
Watu wengine wampigwa ngumi ya uso, hawana jipya.
MO endeleza chama letu, achana na waganga njaa hao. Kila siku wapo na simba bado iko vile vile. Wachovu wa fikra na uchumi.
 
Bila kujali mnunuzi ni MO au mtu yeyote mwenye pesa na anayependa Simba, ni ukweli ulio dhahiri kuwa mpira wa Tanzania unahitaji mageuzi. Nayo ni kuufanya uwe wa kibiashara. Simba inahitaji kuwa na kampuni itakayoiendesha. Na inahitaji hivi mapema iwezekanavyo
 
Sis simba tunaimani na hans pop tu.... na tunamalengo ya kuacha kucheza mpira ili tujikite katika vikundi vya ushangiliaji
 
Billion 20 unaweza ukaanzisha timu nyingine na ikafanya vizuri kuliko Simba. Kinachofanya iwe hivyo simba ni brand mkuu...ndio maana thaman inafika 20billion
 
Uoga wetu ndo umasikin wetu, yule mtu sio kwamba ananunua club hapana, anachofanya ni kununua hisa kwa hiyo hata mimi na wewe tunaweza kununua hisa pale tuache uoga jamani, kuna siku nilimsikia na kumuona msemaji wa simba akiongelea kuhusu kukodi uwanja wa mazoezi kwa asubuhi tu ni kama 300000+ ina maana kwa siku 600000+ kama nitakuwa na kumbukumbu, sasa kwa mwaka ni kiasi? Timu ina miaka 80 lakini ukiuliza nini kimefanyika cha maana ni zero.
 
Huu ni uchawi dhidi ya maendeleo ya soka la bongo,,mmekaa nayo club zaid miaka 80 mmeshindwa kutuonesha ni namna gani tunaweza kuzalisha billion 1 kwa mcm ,anakuja MTU mfanyabiashara nguli anaweka mzigo wa kutosha still anapigwa majungu,wabongo tunataka nini??

Wabongo wachawi tu ndo maana sishangiliagi matimu yao labda ile azam tu
 
NAONA WENYE MIKIA POVU TU KISA KUNA KARUPIA KANATAKA KUPENYEZWA ILI MTU APIGE DILI KWA KISINGIZIO CHA MWANACHAMA KINDAKINDAKI LKN MLISHAJIULIZA KWANIN ALISHINDWA KUIENDELEZA KLABU YA LYON.
 
Mwanafalsalfa, Albert Einstein alishawahi kunena.. "If you can't explain to a six-year-old, you don't understand it yourself".

Sasa kama Mo anashindwa kutuelewesha lengo lake ni nini hasa.. Ina maana hata mwenyewe hajui anachotaka kukifanya.
mh!
 
Back
Top Bottom