Ni kweli Simba na Yanga zimefeli kuidhoofisha Azam?

Ni kweli Simba na Yanga zimefeli kuidhoofisha Azam?

MFUKUZI; mkuu umesahau na ndondo cup, chandimu, chibuku maana hizo ndo saiz yenu...lakin unaikumbuka LIBOLO?

Maneno ya Kanga hayasaidii kufuta statistics au takwimu..

Ndiyo maana sijapinga YANGA kuchukua kombe la ligi mara nyingi..
Lakini ni ukweli pia Simba ndiyo yenye mafanikizo zaidi linapkuja suala la mafanikio ya jumla.

Ndiyo bingwa wa kihistoria wa CECAFA,

Mnacheza na waarabu kesho kutwa hiyo michuano Simba ilishacheza fainali achilia mbali kuzitoa timu za waarabu mara nyingi tu hata hao mnaocheza nao walishakaa kwa mnyama.

Kufika robo fainali ya Klabu Bingwa Afrika,

Bingwa wa kihistoria kombe la mapinduzi

Bingwa wa kihistoria kombe la hedex/nyerere cup

Bingwa wa kihistoria mtani jembe

Bingwa wa Kombe la ABC bank.

Usiwe na ushabiki kama wa Steve 'Huu ni Uzalendo'. Siku zote mpira unaongelewa kwa statistics.. hizo unazoleta ni porojo tu.
 
Hebu ishughulishe akili yako kidogo, Si lazima rangi za timu ya taifa zifanane na Bendera ya nchi.. Niambie uholanzi rangi ya bendera ndiyo rangi ya jezi zao za taifa, Ujerumani pia jezi za timu ya taifa ni tofauti na bendera ya nchi..

Usikariri.. Bendera ya taifa ina maana zaidi ya mpira..

Mwenye macho haambiwi 'tazama'.
 

Attachments

  • Germany National Flag.png
    Germany National Flag.png
    683 bytes · Views: 76
  • Germany Jersey.jpg
    Germany Jersey.jpg
    10.4 KB · Views: 77
  • Netherlands Kingdom Flag.png
    Netherlands Kingdom Flag.png
    1,010 bytes · Views: 75
  • Netherlands Team Jersey.png
    Netherlands Team Jersey.png
    22.1 KB · Views: 78
Hee!!,maelezo meeeengi,pumba tupu,hivii,Simba ishirikiane na Azam kuiua vyura fc kwa mantiku gani,yaani eti mtu utumie gharama kuubwa kuwa na timu na miundombinu yake kuimaliza vyura,khaa,mi naamini mmiliki wa Azam hadi sasa ana malengo mazuri sana na timu yake sema wachezaji ndio wanaomuangusha,haiingii akilini kutumia gharama kubwa kuanzisha timu halafu unaungana na timu nyngn kuiumiza timu nyingine,hayo ni mawazo mgando na ya kishabiki ya shabiki wa vyura fc

kaka suala la mkataba wa kupeana wachezaj azam na simba lipo wazi.yote kwa yote mm dua yangu simba wasipate nafasi ya pili.inatakiwa akina manyikajr wasipande ndege halaf wanyooshe maelezo km raheem sterling...
 
kaka suala la mkataba wa kupeana wachezaj azam na simba lipo wazi.yote kwa yote mm dua yangu simba wasipate nafasi ya pili.inatakiwa akina manyikajr wasipande ndege halaf wanyooshe maelezo km raheem sterling...


Yanga kweli vichwa maji,nyie mnawaza kupanda ndege tu badala ya kuchukua kombe,ndege hata Bukoba zinaenda itakuwa nyie kwenda kwa waarabu na ndege,mnachekelea kimbwigambwiga utafikiri watoto wa vijijini wasiojua ndege,waarabu lazima wawapige mbele na nyuma,wehu nyie
 
Back
Top Bottom