Isanga family
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 17,080
- 33,076
Mnaendelea kudanganyana tuu bora ujadili Simba mikataba ya Loliondo ilianza si wengine tupo shule za msingi za kubeba vidimu na mfagio hadi leo DP watu waliongea hakuna kitu zaidi zaidi ni kujiweka kwenye kundi hatarishi bora kuua Kingi tuu na kucheza ile michezo ya kula nyumba na kusafiri...Dogo unaangalia sana movie za kihindi mpaka unaanza kujiona na wewe ni Sanjey Datey au Mithun. Muda huo ungeutumia kusoma katiba au mkataba wa DP World si ingekusaidia kuchangia wanapoongelea wenzio?
Siyo simba tu hata zali la kuvamiwa na kushambuliwa na nyuki kila siku naomba na kutamani initokee. Yani nitatembeza mkono balaa.Dogo unaangalia sana movie za kihindi mpaka unaanza kujiona na wewe ni Sanjey Datey au Mithun. Muda huo ungeutumia kusoma katiba au mkataba wa DP World si ingekusaidia kuchangia wanapoongelea wenzio?
Mikataba ya Loliondo mimi nipo form 4 shule moja inaitwa Sangu huko Mbeya. Baada ya kuwa nimefukuzwa shule moja ya Jeshi hapa Dar.Mnaendelea kudanganyana tuu bora ujadili Simba mikataba ya Loliondo ilianza si wengine tupo shule za msingi za kubeba vidimu na mfagio hadi leo DP watu waliongea hakuna kitu zaidi zaidi ni kujiweka kwenye kundi hatarishi bora kuua Kingi tuu na kucheza ile michezo ya kula nyumba na kusafiri...
Nakuaminia ssna Sterling wangu.Siyo Simba tu. Hata Tembo.... Tena tembo unamkaba mpaka anakufa ....Siyo simba tu hata zali la kuvamiwa na kushambuliwa na nyuki kila siku naomba na kutamani initokee. Yani nitatembeza mkono balaa.
Mwaka gani hapo Sangu mkuu ulipita enzi za kina mzee Mwakyulu...Mikataba ya Loliondo mimi nipo form 4 shule moja inaitwa Sangu huko Mbeya. Baada ya kuwa nimefukuzwa shule moja ya Jeshi hapa Dar.
Ndo yanatengeneza chip set za electronics?Daaah hayo mavi yake simba dili kiongozi.
Google lens wameniingiza cha kikeNikiwa katika matembezi yangu hapa Iringa Mjini nimepata kusikia habari za uwepo wa makundi mawili ya Simba wanaosadikika kutafuna mifugo katika maeneo mbalimbali ikiwemo maeneo ya Lupembe lwa senga na vijiji jirani
Kama kuna mtu anaweza kuwa labda kashuhudia au muhanga tunaomba taarifa rasmi tujue maeneo haya ya jirani na mjini ni kweli kuna uwepo wa Simba?
Ikumbukwe ni msimu wa mavuno huu watu tunajinywea komoni zilizoiva vizuri kama tulale saa12 tuambiwe jamani!!!
Naambatanisha picha inayosemekana imepigwa kijijini Lupembe lwa senga baada ya Simba hao kuvamia zizi na hicho kingine inasemekana ni kinyesi Cha Simba
Wajuvi mtatusaidia kutuelewesha.
View attachment 2666345View attachment 2666348
Soma: Iringa: Mbwa Mayele asifika kusaidia kufanikisha doria ya kuwasaka Simba waliovamia vijiji
Ha ha ha... Humu tunaweza kuta watu ID zetu zinatambulika. Hilo jina la Isanga Family umewahi kaa Isanga?Mwaka gani hapo Sangu mkuu ulipita enzi za kina mzee Mwakyulu...
๐๐๐๐Akaamua na kunya kabisa
Hakuna kundi la simba la namna hiyo. Madume 6 jike mmoja!Wameonekana pande za udumuka leo asubuhi kwa saa za afrika mashariki
Wapo simba 7 likiwemo jike
Poleni sana mkuuNikiwa katika matembezi yangu hapa Iringa Mjini nimepata kusikia habari za uwepo wa makundi mawili ya Simba wanaosadikika kutafuna mifugo katika maeneo mbalimbali ikiwemo maeneo ya Lupembe lwa senga na vijiji jirani
Kama kuna mtu anaweza kuwa labda kashuhudia au muhanga tunaomba taarifa rasmi tujue maeneo haya ya jirani na mjini ni kweli kuna uwepo wa Simba?
Ikumbukwe ni msimu wa mavuno huu watu tunajinywea komoni zilizoiva vizuri kama tulale saa12 tuambiwe jamani!!!
Naambatanisha picha inayosemekana imepigwa kijijini Lupembe lwa senga baada ya Simba hao kuvamia zizi na hicho kingine inasemekana ni kinyesi Cha Simba
Wajuvi mtatusaidia kutuelewesha.
View attachment 2666345View attachment 2666348
Soma: Iringa: Mbwa Mayele asifika kusaidia kufanikisha doria ya kuwasaka Simba waliovamia vijiji
Nimeishi Isanga mkuu nimesoma pia Sangu ila Advance uliposema ulifukuzwa shule ya Jeshi daslm nikamkumbuka jamaa mmoja alitokea Makongo sijui Lugalo na alikua anacheza sana futbal ila wacha niishie hapa bhana na I'd zenu hizo...Ha ha ha... Humu tunaweza kuta watu ID zetu zinatambulika. Hilo jina la Isanga Family umewahi kaa Isanga?