Ni kweli Simba waliovamia Iringa vijijini wamefika maeneo ya karibu na mjini?

Hadithi hizo Simba asile kitu anachoua hizi habari za wapi hizi ndio zile za Wamasai wanaua Simba...Simba ana kisasi ila sio cha kuacha kitu alichoua kama kwake ni mlo Simba anaenda na mamba aache mbuzi kisa hasira...
 
Paka likinya linafukia.
 
Huo mkoa wapewe DP- World tu
 
Huyo hapo
Your browser is not able to display this video.
 
Je hizo alama za miguu ni za simba mla watu?
 
Taarifa hii ina ukweli wakuu, ndo mitaa yangu hii nilikuwa nakula upepo hapa nje ila baada ya kuupata huu ujumbe nimeona upepo hauna maana nimelock na mlango kama ndo usiku vile
 
Tunaishauri serikali ikawafuate tiger wa Siberia waje wawape mkon'goto hawa simba wetu, hawana adabu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…