Reuben Challe
JF-Expert Member
- Dec 10, 2021
- 2,940
- 5,511
Mwenzako kaomba elimu we unamletea kejeliInakuaje unaweza kununua smart tv alafu unawaza umeme!!? Ulitaka itumie nini!!? Waambie wakutengenezee inayo kunywa supu umeme tuuachie friji
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwenzako kaomba elimu we unamletea kejeliInakuaje unaweza kununua smart tv alafu unawaza umeme!!? Ulitaka itumie nini!!? Waambie wakutengenezee inayo kunywa supu umeme tuuachie friji
Kuna vitu huwezi kuviwazia kabisa kwenye vitu vya umeme! Uwe una kaa kwako au umepanga cha kwanza TV, king'amuzi, feni sio vitu vya kuwazia kabisa! Deki ya CD, breender, heater, jiko la umeme, rice cooker, pressure cooker, pasi ya umeme ndio vya kuumiza kichwaMwenzako kaomba elimu we unamletea kejeli
Samahani mkuu, hivi vyombo vya music navyo vinapimwa kwa watt. Mfano mziki wangu ni watt 5000 maana yake nini hapo? Sauti au umeme??Jua tu chombo chenye Watt 1000 kinatumia unit 1 kwa saa1. Sasa angalia TV yako ni Watt ngapi, piga mahesabu.
Kama Umepanga Ukatiwe Malipo yako Yaumeme Hapo una Unaukumbi wa discoSamahani mkuu, hivi vyombo vya music navyo vinapimwa kwa watt. Mfano mziki wangu ni watt 5000 maana yake nini hapo? Sauti au umeme??
Sidhani, ila sijawahi kuitumia kwa muda mrefu sababu ya purukushani za maisha. Sijui hata linakunywaje umeme.Kama Umepanga Ukatiwe Malipo yako Yaumeme Hapo una Unaukumbi wa disco
huo ni mziki tu!
Watanzania wengi hawajui hessabu... mtu anatumia home theatre ya 1000 watts anataka ile unit moja kwa siku wakati ikiwaka for 10hrs hizo ni watts 10000Jua tu chombo chenye Watt 1000 kinatumia unit 1 kwa saa1. Sasa angalia TV yako ni Watt ngapi, piga mahesabu.
Total Watts ya speaker sio consumption ya umeme. Mfano Home theater Ya Sony DAV650 ni 1000W lakini kwenye umeme inakula 65W tuWatanzania wengi hawajui hessabu... mtu anatumia home theatre ya 1000 watts anataka ile unit moja kwa siku wakati ikiwaka for 10hrs hizo ni watts 10000
Uliweka mahala pale pale uskute ukuta mmoja baridi mwingine wa motoMimi binafsi Kwa uchunguzi nilioufanya niligundua smart tv ya mtumba inatumia umeme mwingi kuliko ya dukani
Nilikuwa nikiwasha smart tv ya mtumba Baada ya muda ukigusa Kwa nyuma Kuna kuwa na joto Kali sana kiuhslisia lile joto ni umeme
Baada ya kununua smart tv ya dukani ukiwasha hata kama kutwa mzima ukigusa Kwa nyuma hakuna joto
Si kweli, kitu kinachofanya TV iwe smart ni kifaa kidogo sana kinachotumia processor ya simu lowend (cortex A53 ama A55) hivyo usmart wa TV unaongeza watts kama 3 tu.Nimesikia mara nyingi watu wakisema kwamba Smart TV zinatumia umeme mwingi, na kama ni kweli, why zitumie umeme mwingi, naomba kupewa elimu, asanten[emoji120]
Kama chombo chako ni 5000W ujue ukikitumia kwa mda wa Saa Moja utatumia 5 units. W inamaanisha joules per sec.
Total Watts ya speaker sio consumption ya umeme. Mfano Home theater Ya Sony DAV650 ni 1000W lakini kwenye umeme inakula 65W tu
Hizo ni story za vijiweni tu hazina ukweli sababu pamoja na kwamba ni smart ila ni LED hivyo ziko poa tuNimesikia mara nyingi watu wakisema kwamba Smart TV zinatumia umeme mwingi, na kama ni kweli, why zitumie umeme mwingi, naomba kupewa elimu, asanten[emoji120]
Hata TV isiyo smart TV nayo inakula umeme na afadhali hizi za smart sababu zina mfumo tofauti na TV za kawaida, pia kama unatumia Home Theatre kwa pamoja umeme unaondoka tofauti na usipotumia.Nimesikia mara nyingi watu wakisema kwamba Smart TV zinatumia umeme mwingi, na kama ni kweli, why zitumie umeme mwingi, naomba kupewa elimu, asanten[emoji120]
Chombo chochote kinachotumia umeme angalia tu pawa yake "Watts".