Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani wa tanga hawa hawa matapeli wa mapenzi ndio wawe walimu wa mapenzi hiki ni kitu kizito sana ingewezekana watuombe radhi ni hadaa kubwa.[emoji3][emoji3],inabidi hawa watutake radhi aisee
[emoji23][emoji23],aisee sikutegemea kama watu wangewakataa kiasi hiki,maana wanavypoambwa utadhani ukifika Tanga sijui unakutana na mapenzi ganiYaani wa tanga hawa hawa matapeli wa mapenzi ndio wawe walimu wa mapenzi hiki ni kitu kizito sana ingewezekana watuombe radhi ni hadaa kubwa.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Mambo ya unyago..yanafanya mapenzi kunoga bwana wewe..Mkuu naunga mkono hoja kwa [emoji817] wamwera na wamakonde NI balaa...nimepata mwali wa kujua mambo ya kunoga aisee bwana wewe NI hatari.nineamua nioe kbs Huku japo mwanzo nikidhani kwamba nitarudi kaskazini kuoa
Ni kweli afadhali umewarudisha kwenye mstari,maana mapenzi ni mjumuiko wa mambo mengi sana...Huko wanawake wanakatika viuno Feni inasubiri,na ukiwa mzembe kitandani wnakuaibisha.... mtoa mada hajauliza kama TANGA NDO VIUNO VILIKOZALIWA.... ameuliza TANGA NDO MAPENZI yalikozaliwa? Viuno hata TWANGAPEPETA wanakata...
Hahaaaa..wanawake wakule ndoa ni sehemu ndogo katika maisha yao..80% ya wanawake wa huko ni singo maza..Kwanini usingeoa kabisa [emoji28]
Wote wako kwenye mawindo sio wanaume sio wanawake..kuachana hata sio ishu sana.Du!inashangaza,kwanini sasa?
Kama ni hivyo yalizaliwa kweli ila naona yameshakufa sasa,hii sifa itafutiwe mkoa mwingine sio huko tena
historia na malezi ya familia ndio inaamua hayo...[emoji3]Aisee,vipi kuhusu utii,heshima na tabia njema?
Lisemwalo lipo, wengi wa kutokea mombasa pande zile...Inasemekana lakini sio kweli,kwa mujibu wa wadau
Bado sijaona MKOA wa kuizidi tanga.
Labda Zanzibar
Hata Zanzibar hawaipati Tanga Kwa aspects
Nyingi tu.
Hata mapishi Tanga wako vizuri zaidi ya Zanzibar